Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Sikutarajia wala sikuwa na akili kuwa anataka tuwe na mahusiano ya mapenzi.

Kwa jinsi tulivyokuwa washkaji, niliona kichekesho, nilipomlia kobisi baada ya kufunguka kwangu akakasirika akanichunia nami nikakaza tukanuniana karibu mwaka mzima...😁😁.
Kukulana ni kitu bora zaidi kuliko urafiki.
Bora kuvunja urafiki kuliko kutokumkula rafikiyo🤣🏃‍♂️🏃‍♂️
 
FB_IMG_1718913634788.jpg
 
Sikutarajia wala sikuwa na akili kuwa anataka tuwe na mahusiano ya mapenzi.

Kwa jinsi tulivyokuwa washkaji, niliona kichekesho, nilipomlia kobisi baada ya kufunguka kwangu akakasirika akanichunia nami nikakaza tukanuniana karibu mwaka mzima...😁😁.
🤸🤸🤸
Urafiki na Me hapana mtakulana tu one day yes.....
 
Back
Top Bottom