Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Omutindi! 🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️

IMG_20240620_153035_070.jpg
 
Hii nakubaliana na wewe, kuna mkaka sikuwahi kudhani atakuja kunitongoza...
Huyo hadi tulinuniana sababu tulikuwa marafiki sana kumbe alikuwa na wivu na mimi hataki mwanaume mwingine anitongoze, na alikuwa ananipenda aahahahhaaaa siku ya siku ananiambia ukweli.... nilichekaaa.....😆😆😆😆.
Madam kilichokuchekesha kipi hapo?
Unajua huyo jamaa alikuwa na upendo wa dhati kwako ingawa alichelewa kukujurisha, lakini angalau ujumbe umekufikia.
 
Back
Top Bottom