Mbona rahisi tuu jameni....wee muombe kumfua marinda 🤣🤣🤣🤣
Mbona rahisi tuu jameni....wee muombe kumfua marinda 🤣🤣🤣🤣
Dah kumbe huyu basi hawezi kiwa mtamu
Kuna kile kitambi pale kwa chini kinakuwa kizuri sanaKitambi ngweee!

Wazee mnashika chuchu mnavuta ova mnakamua ng'ombe maziwaHawana shukran hawa...haya semeni chuchu zenu tuzifanyeje
Hapo lazim umwage ubongooo
Wee bwan hujagegeda demu mzuri yani unapagawa mara ushike chuchu tako basi dah ila mbona wanasemaga ukituni kama redio ndio utelezi unaongezeka sana kwa mbususuWazee mnashika chuchu mnavuta ova mnakamua ng'ombe maziwa
Technically ni kama unakamua uteleziWee bwan hujagegeda demu mzuri yani unapagawa mara ushike chuchu tako basi dah ila mbona wanasemaga ukituni kama redio ndio utelezi unaongezeka sana kwa mbususu

Hapo lazim umwage ubongooo
Hakuomba mbususu kweliHuu usemi umenikumbusha baba mmoja wa serikalini idara flani hivi, alikuwa anapenda kuusema mkiwa mnastorisha na akiwa amewaka...😄😄😄
Babu alikuwa mstaarabu sana amenyooka idara zote very humble and reserved.
Udhaifu wake ulikuwa kwenye mbususu japo alikuwa na misimamo yake.
Alipenda kustorisha na mie sababu ya masihara yangu na kuchukulia mambo kwa mrengo chanya 😊.
Anaweza asiombe direct lakn mimi always huwa najisemea men are perverts. Unaweza ukamuona wa maana/charming/humble/caring/doesn't look like.. etc ila siku ukijipindua tu nayeye shwaaa anajipindua kama upepoHakuomba mbususu kweli

Ila kweli maana ndio tulivyo...we men just love to get naked 🤣🤣🤣🤣Anaweza asiombe direct lakn mimi always huwa najisemea men are perverts. Unaweza ukamuona wa maana/charming/humble/caring/doesn't look like.. etc ila siku ukijipindua tu nayeye shwaaa anajipindua kama upepo![]()
huyu mzee ni 85! huu utani wa ngumi sasa
Hakuomba mbususu kweli
Anaweza asiombe direct lakn mimi always huwa najisemea men are perverts. Unaweza ukamuona wa maana/charming/humble/caring/doesn't look like.. etc ila siku ukijipindua tu nayeye shwaaa anajipindua kama upepo![]()
Ila kweli maana ndio tulivyo...we men just love to get naked 🤣🤣🤣🤣
Sisi kama watu wazima tushaelewa mama wala usiseme... 😁Aahahahahahaa sijui niseme ukweli au niache tuu ipitee....🤔🤔🤔
Ok nimekuelewa...to summarize...hamna urafiki wa mwanaume na mwanamke 🤣🤣🤣🤣🤣Aahahahahahaa sijui niseme ukweli au niache tuu ipitee....🤔🤔🤔
Maana mtandao huwa hausahau ukishaweka rekodi hata ukifuta kwenye seva inabaki...
Tuachane na swali lako ila, acha niongelee mambo chanya....
Yule baba alikuwa ananikubali sana kutokana na namna nilivyokuwa naishi pale kazini, ilifika mahala hadi masuala yake binafsi alikuwa ananiambia japo ni mtu msiri sana hapendi mambo yake yajulikane.
Na hata akienda kupata moja moto moja baridi alikuwa hapendi watu wa ofisini wajue maisha yake, ila mara moja moja aliomba tupite mahala tule mbuzi kisha yeye anamalizia na one two one two basi hapo ndo stori zinaanza.
Alikuwa anatongoza mademu nikiwa nae halafu ananiambia kama anafaa au achukue mwingine.
Of course hakuwa mtu wa mahusiano, yeye alikuwa anataka mdada wa siku moja wamalizane halafu basi...
Kiaina flani utapata jibu kama alishaniomba au hapana sababu hadi nahama idara yake tulikuwa washkaji sana.