Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Hapo lazim umwage ubongooo

Huu usemi umenikumbusha baba mmoja wa serikalini idara flani hivi, alikuwa anapenda kuusema mkiwa mnastorisha na akiwa amewaka...😄😄😄

Babu alikuwa mstaarabu sana amenyooka idara zote very humble and reserved.
Udhaifu wake ulikuwa kwenye mbususu japo alikuwa na misimamo yake.

Alipenda kustorisha na mie sababu ya masihara yangu na kuchukulia mambo kwa mrengo chanya 😊.
 
FB_IMG_1718869380523.jpg
 
Huu usemi umenikumbusha baba mmoja wa serikalini idara flani hivi, alikuwa anapenda kuusema mkiwa mnastorisha na akiwa amewaka...😄😄😄

Babu alikuwa mstaarabu sana amenyooka idara zote very humble and reserved.
Udhaifu wake ulikuwa kwenye mbususu japo alikuwa na misimamo yake.

Alipenda kustorisha na mie sababu ya masihara yangu na kuchukulia mambo kwa mrengo chanya 😊.
Hakuomba mbususu kweli
 
Hakuomba mbususu kweli

Aahahahahahaa sijui niseme ukweli au niache tuu ipitee....🤔🤔🤔

Maana mtandao huwa hausahau ukishaweka rekodi hata ukifuta kwenye seva inabaki...

Tuachane na swali lako ila, acha niongelee mambo chanya....

Yule baba alikuwa ananikubali sana kutokana na namna nilivyokuwa naishi pale kazini, ilifika mahala hadi masuala yake binafsi alikuwa ananiambia japo ni mtu msiri sana hapendi mambo yake yajulikane.

Na hata akienda kupata moja moto moja baridi alikuwa hapendi watu wa ofisini wajue maisha yake, ila mara moja moja aliomba tupite mahala tule mbuzi kisha yeye anamalizia na one two one two basi hapo ndo stori zinaanza.

Alikuwa anatongoza mademu nikiwa nae halafu ananiambia kama anafaa au achukue mwingine.

Of course hakuwa mtu wa mahusiano, yeye alikuwa anataka mdada wa siku moja wamalizane halafu basi...

Kiaina flani utapata jibu kama alishaniomba au hapana sababu hadi nahama idara yake tulikuwa washkaji sana.
 
Anaweza asiombe direct lakn mimi always huwa najisemea men are perverts. Unaweza ukamuona wa maana/charming/humble/caring/doesn't look like.. etc ila siku ukijipindua tu nayeye shwaaa anajipindua kama upepo

Hii nakubaliana na wewe, kuna mkaka sikuwahi kudhani atakuja kunitongoza...
Huyo hadi tulinuniana sababu tulikuwa marafiki sana kumbe alikuwa na wivu na mimi hataki mwanaume mwingine anitongoze, na alikuwa ananipenda aahahahhaaaa siku ya siku ananiambia ukweli.... nilichekaaa.....😆😆😆😆.
 
Aahahahahahaa sijui niseme ukweli au niache tuu ipitee....🤔🤔🤔

Maana mtandao huwa hausahau ukishaweka rekodi hata ukifuta kwenye seva inabaki...

Tuachane na swali lako ila, acha niongelee mambo chanya....

Yule baba alikuwa ananikubali sana kutokana na namna nilivyokuwa naishi pale kazini, ilifika mahala hadi masuala yake binafsi alikuwa ananiambia japo ni mtu msiri sana hapendi mambo yake yajulikane.

Na hata akienda kupata moja moto moja baridi alikuwa hapendi watu wa ofisini wajue maisha yake, ila mara moja moja aliomba tupite mahala tule mbuzi kisha yeye anamalizia na one two one two basi hapo ndo stori zinaanza.

Alikuwa anatongoza mademu nikiwa nae halafu ananiambia kama anafaa au achukue mwingine.

Of course hakuwa mtu wa mahusiano, yeye alikuwa anataka mdada wa siku moja wamalizane halafu basi...

Kiaina flani utapata jibu kama alishaniomba au hapana sababu hadi nahama idara yake tulikuwa washkaji sana.
Ok nimekuelewa...to summarize...hamna urafiki wa mwanaume na mwanamke 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom