Taavid
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 8,320
- 71,079
Vijana sikuhizi wanapenda mama zao wadogo, ukicheka nae kidogo hutoamini yatakayomtokaHii nakubaliana na wewe, kuna mkaka sikuwahi kudhani atakuja kunitongoza...
Huyo hadi tulinuniana sababu tulikuwa marafiki sana kumbe alikuwa na wivu na mimi hataki mwanaume mwingine anitongoze, na alikuwa ananipenda aahahahhaaaa siku ya siku ananiambia ukweli.... nilichekaaa......
.





.