Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Hii nakubaliana na wewe, kuna mkaka sikuwahi kudhani atakuja kunitongoza...
Huyo hadi tulinuniana sababu tulikuwa marafiki sana kumbe alikuwa na wivu na mimi hataki mwanaume mwingine anitongoze, na alikuwa ananipenda aahahahhaaaa siku ya siku ananiambia ukweli.... nilichekaaa......
Vijana sikuhizi wanapenda mama zao wadogo, ukicheka nae kidogo hutoamini yatakayomtoka.
 
Vijana sikuhizi wanapenda mama zao wadogo, ukicheka nae kidogo hutoamini yatakayomtoka.

Aahahahhaaa hili nalo ni tatizo jingine...

Sema huyo mkaka alikuwa mkubwa kwangu sana tuu.

Mi nikajua damu zetu zimeivana kumbe ana yake ya moyoni....😄😄😄

Maana ilikuwa hadi chakula tunakula sahani moja ila mie sikuwa na akili za kuwa na mahusiano nae, yaani hiyo siku ananiambia nilicheka hadi alijiskia vibaya....😆😆😆

I was like.....!!! Are you serious......, seriously...!!!😂😂😂😂😂
 
Ok nimekuelewa...to summarize...hamna urafiki wa mwanaume na mwanamke 🤣🤣🤣🤣🤣

Aahahahaa nakubaliana na wewe kabisa japo kwa mrengo mwingine....

Kama inavyosemekana wanaume wametoka Mars na wanawake Venus (kama nimekosea nirekebishwe)...

Mtizamo wa mwanamke ni kuwa inawezekana kabisa kukawa na urafiki wa kishakaji kati ya mwanaume na mwanamke na mwanamke akawa muaminifu kuhakikisha urafiki unabaki urafiki na ushkaji unadumu daima dumu milele. Na mwanamke anakuwa anamuamini huyu mwanaume mshkaji hata nikivua nguo mbele yake hawezi patwa na hisia za kimapenzi sababu wao ni washkaji.

Kumbe mtizamo wa mwanaume ni kuwa anasubiria nafasi tuu itokee hapohapo shwaaa mkuyenge uingie kwenye punene....

Halafu wanaume huwa hawafikirii, mwanamke na mwanaume wakiwa washkaji na ikatokea wakakulana basi upande wa mwanamke ushkaji unafutika na unaweza shangaa kuanzia hapo mambo yakabadilika na inawezekana kabisa ushkaji na urafiki ukafa mkawa maadui.... na mwanaume asielewe sababu ya ugomvi.

WANAUME.....! mkipata nafasi ya kuwa na ushkaji na mwanamke msiuharibu huo ushkaji kwa kutafuta nafasi ya kushiriki nae ngono, mtaharibu ule urafiki na ushkaji....

MEN, Don't ruin the sweet friendship for sex.

I know it's complicated but the friendship is better than sex. Get sex somewhere else and let's keep on being buddies 😉.

Akili za Kasinde Matata.
 
Sisi kama watu wazima tushaelewa mama wala usiseme... 😁

Ahahahaaaa jamaniii, huyu baba muamala haukufanyika kabisa, alikuwa ananichukulia kama mdogo wake. Yeye alikuwa mtu wa Singida na Bukoba, alikuwa ananiita jirani sababu Sindida na Tabora ni majirani.

Mmeelewa vibaya hakyanani tena....😅😅😅😅.
 
Aahahahaa nakubaliana na wewe kabisa japo kwa mrengo mwingine....

Kama inavyosemekana wanaume wametoka Mars na wanawake Venus (kama nimekosea nirekebishwe)...

Mtizamo wa mwanamke ni kuwa inawezekana kabisa kukawa na urafiki wa kishakaji kati ya mwanaume na mwanamke na mwanamke akawa muaminifu kuhakikisha urafiki unabaki urafiki na ushkaji unadumu daima dumu milele. Na mwanamke anakuwa anamuamini huyu mwanaume mshkaji hata nikivua nguo mbele yake hawezi patwa na hisia za kimapenzi sababu wao ni washkaji.

Kumbe mtizamo wa mwanaume ni kuwa anasubiria nafasi tuu itokee hapohapo shwaaa mkuyenge uingie kwenye punene....

Halafu wanaume huwa hawafikirii, mwanamke na mwanaume wakiwa washkaji na ikatokea wakakulana basi upande wa mwanamke ushkaji unafutika na unaweza shangaa kuanzia hapo mambo yakabadilika na inawezekana kabisa ushkaji na urafiki ukafa mkawa maadui.... na mwanaume asielewe sababu ya ugomvi.

WANAUME.....! mkipata nafasi ya kuwa na ushkaji na mwanamke msiuharibu huo ushkaji kwa kutafuta nafasi ya kushiriki nae ngono, mtaharibu ule urafiki na ushkaji....

MEN, Don't ruin the sweet friendship for sex.

I know it's complicated but the friendship is better than sex. Get sex somewhere else and let's keep on being buddies 😉.

Akili za Kasinde Matata.
Wee bwana kulana muhimu bwana tena hiyo ya mlikiwa washikaji alafu siku itokee tuu mmedinyana aisee huo mdinyo wake unakuwa mtamu.

Sema nyie hampendi hiyo kwa sababu ikitokea baso mwanaume ndio anakuwa na power kaenye hiyo urafiki after kudinyana
 
Wee bwana kulana muhimu bwana tena hiyo ya mlikiwa washikaji alafu siku itokee tuu mmedinyana aisee huo mdinyo wake unakuwa mtamu.

Sema nyie hampendi hiyo kwa sababu ikitokea baso mwanaume ndio anakuwa na power kaenye hiyo urafiki after kudinyana

Aahahahahaa acha tuu nature itake place ila, let's agree with this truth that....,

after sex the relationship won't be the same....
 
Aahahahhaaa hili nalo ni tatizo jingine...

Sema huyo mkaka alikuwa mkubwa kwangu sana tuu.

Mi nikajua damu zetu zimeivana kumbe ana yake ya moyoni....

Maana ilikuwa hadi chakula tunakula sahani moja ila mie sikuwa na akili za kuwa na mahusiano nae, yaani hiyo siku ananiambia nilicheka hadi alijiskia vibaya....

I was like.....!!! Are you serious......, seriously...!!!
In case you didn't notice hakuna urafiki kati ya mwanaume na mwanamke . Rejea kauli ya mzabzab hapo juu.

If they're not currently smashing basi ndio wapo kwenye mchakato, na wakitofautiana sera utaona tu kila mmoja na mishe zake urafiki unakufa. Haihitaji D mbili kujua hilo
 
In case you didn't notice hakuna urafiki kati ya mwanaume na mwanamke . Rejea kauli ya mzabzab hapo juu.

If they're not currently smashing basi ndio wapo kwenye mchakato, na wakitofautiana sera utaona tu kila mmoja na mishe zake urafiki unakufa. Haihitaji D mbili kujua hilo

Nimekubali.....🙌🙌🙌
Japo kwa shingo upande....

Kuna namna kama mwanamke natamani kuwa na ukaribu na mwanaume flani ila kusiwe na mahusiano ya kimapenzi kabisa.

Ila ndo hivyo, wenzetu hamuwezi.... na uzee wangu huu sijui kama bado kuna vibabu vitataka kupitiliza kwenye ushkaji au bado haina umri....🤣🤣🤣🤣🤣

Well nshaachana na mambo hayo nimewaachia vijana, uzee dawa 🙂.
 
Nimekubali.....
Japo kwa shingo upande....

Kuna namna kama mwanamke natamani kuwa na ukaribu na mwanaume flani ila kusiwe na mahusiano ya kimapenzi kabisa.

Ila ndo hivyo, wenzetu hamuwezi.... na uzee wangu huu sijui kama bado kuna vibabu vitataka kupitiliza kwenye ushkaji au bado haina umri....

Well nshaachana na mambo hayo nimewaachia vijana, uzee dawa .
Hayo mambo ni ya vijana... Wazee wengi sidhani kama wana hizo mambo kwanza hata hizo nguvu za mihemko hiyo sidhan kama ipo tena
 
Usijidanganye wazee tena ndio wabaya pamoja na kwamba havina nguvu lakini bado wanataka tamuuu

Aahahahahahaaa nimechekaaaa......🤣🤣🤣🤣🤣

Jamaniii aahahahahahhahaa looh...!!!

Haya basi ntabaki na mashosti tuu kupiga umbeya, wanaume wazee kwa vijana ntawakimbia wasije wakapata nafasi ya kupita nayo nikijisahau nikabinuka....😁😁😁.
 
Aahahahahahaaa nimechekaaaa......🤣🤣🤣🤣🤣

Jamaniii aahahahahahhahaa looh...!!!

Haya basi ntabaki na mashosti tuu kupiga umbeya, wanaume wazee kwa vijana ntawakimbia wasije wakapata nafasi ya kupita nayo nikijisahau nikabinuka....😁😁😁.
Tena kijana ndio usijaribu kabisa atakuonjeaha utamu never felt before uanze kuwanyima watoto urithi
 
Wakishua tulichezea hizi

1718923841435.png
 
Back
Top Bottom