Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,833
Atakuja kufyatua magoti. Ahamie tu kwenye vimbaumbau kama mimi. Vyepesiiiiiii! πππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈMkaka yupo vizuri!!
Angalau hivi sasa. Siyo ile mikangafu waliyoleta wakati ule πVimewasiliView attachment 2952763
Kwenye taifa hilo lenye organ donor vipi kasi ya wizi wa viungo vya mwilili ikoje?View attachment 2952730
Ndiyo. Ni operesheni ya kawaida tu. Nadhani hata Muhimbili wanafanya kama sikosei japo wenye hela zao huwa wanakimbilia nje.
Marekani kule ukienda kukata leseni ya udereva unaulizwa kama unataka kuwa organ donor. Ukikubali leseni yako inakuwa na alama ya moyo kwa nyuma na neno Organ Donor.
Siku ikitokea umepata ajali na huwezi kupona basi wanavuna viungo vyote ambavyo havijaharibika na kwenda kuvipandikiza kwa wanaovihitaji ambao huwa ni wengi. Ndiyo maana biashara ya viungo vya binadamu ni biashara ya mabilioni ya dola kwa mwaka maana kuna waiting list ndefu sana kwa viungo hivi.
Kwenye taifa hilo lenye organ donor vipi kasi ya wizi wa viungo vya mwilili ikoje?
ππππ
miaka 31 yuko na glas ya mvinyo na bag tuu wakat mama yake alishakuwa na watoto wawili.
mideko njoo uone huku.
ππππmideko njoo uone huku.
Kumbe unaweza kuwa organ donor na bado viungo vyako vitauzwa[emoji849] na pia utajiweka kwenye hatari ya kunyofolewa viungo vyako katika mazingira ya ajali ingawa ungeweza kupona[emoji849][emoji849].Nasikia organ black market ni biashara kubwa na ni biashara za wakubwa maana baadhi ya viungo ni ghali sana. Na ukijiandikisha wewe ni organ donor siku ukipata ajali kama hakuna mtu wa kukuangalia vizuri hata kama ilikuwa upone jamaa wanavuna tu viungo ili wapige mamilioni yao ya dola.
Waiting list ni ndefu japo wenye pesa zao wanaweza kupata shortcut. Ndivyo alivyofanya Steve Jobs kipindi kile akapandikizwa ini chap chap japo alikuwa keshachelewa.
Hawatakubali hiyo