Kuna mjomba yetu alitushangaza sana alisikia baba mkwe wake kafariki alisikitika sana almanusura akajirushe mtoni nae afe.
Alikuwa na siri gani na huyo babamkwe wake?Kuna mjomba yetu alitushangaza sana alisikia baba mkwe wake kafariki alisikitika sana almanusura akajirushe mtoni nae afe.
Nadhani ni mapenzi tu yaliyopitiliza kwa mke wake hadi anaona kwao na mke ndo kila kitu kwenye maisha yakeAlikuwa na siri gani na huyo babamkwe wake?
I bet she is Hawaiian...