Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Siku mideko ukihama uzi huu mimi na hama Jf moja kwa moja.
😅😅😅😅Siku mideko ukihama uzi huu mimi na hama Jf moja kwa moja.
Hongera lakini, ila hautaumizwa in the name of Jesus
sasa mbona mwanaume amemtumia mwanaume mwnzakeUzinzi una tabia ya kutapanya. Chagua pisi yako moja utulie nayo maana kusema kweli hakuna kipya unachokitafuta huko nje mbali na kutapanya pesa zako bure tu na kujitafutia UKIMWI 🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️
View attachment 2944450
Wewe ni me au ke? Tuanzie hapo kwanza....sasa mbona mwanaume amemtumia mwanaume mwnzake
alafu anasema kwaajili ya kwenda kukiwasha........
ni kwa mwanaume mwenzake?