Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Baada kupokea kichapo cha kufa mtu
IMG-20240327-WA0002.jpg
 
IMG_20240328_051321_132.jpg

DAR: Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema mara kadhaa Rais Samia amekuwa akichafuliwa Mitandaoni lakini amekuwa kimya huku akisisitiza yasichukuliwe maamuzi yatakayowadhuru Raia

Nape amesema “Kuna jamaa fulani walimshambulia sana Rais na Familia yake kwenye Mitandao, huku ndani wakaanza kuuliza tunafanyaje? Mjadala ukawa mkubwa tuwachukulie hatua. Tukasema kwa hawa au kwa jukwaa lote lililotumika?”

Ameongeza “Lakini wakati majadiliano yakiendelea, Rais Samia aliniita na kuniambia nataka utatue jambo hili kwa busara. Nilitangaza 4R, mojawapo ni kuvumiliana, hata kama mnataka kufanya lolote, hakikisheni hamuingilii Uhuru wa Watu kujieleza."
 
Back
Top Bottom