Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Wa 3
 

Attachments

  • FB_IMG_1706306869282.jpg
    FB_IMG_1706306869282.jpg
    26.3 KB · Views: 9
Kula mbakishie baba
Hii app ya browser-based ni mtihani. Labda ni kwangu tu lakini picha zikiwekwa moja kwa moja zinakuwa hazionekani vizuri mpaka mtu abonyeze kama anataka ku-download...👇

Screenshot_20240308_011924_Chrome.jpg


Ukitaka zionekane vizuri wakati wa kuposti ni lazima u-click Insert 👇

Screenshot_20240308_011820_Chrome.jpg


Halafu uchague full image ndiyo upost....

Screenshot_20240308_011829_Chrome.jpg


Sijui kama na wengine mna tatizo hili au ni mimi peke yangu...

App ya zamani ilikuwa nzuri mtu unaweka tu picha mara moja badala ya hizi steps zote. Hovyo tu yaani!
 
Back
Top Bottom