mtoto halali na hela dp yake
Haya majina unaweza kuyajua maeneo ya kuogelea mtoni. Kimangare, kwa wasichana, kwa shetani, kitoshoni,kwa alani karibu na chuo cha ttc... 😂😂😂umenikumbusha mbali sana. Tulikua tunabembea maeneo hatari sana. Kwenye kamba za miti unatoka ng, ambo hadi ng'ambo..... Hadi naikumbuka analogy. Ila Muumba wetu katutoa mbali sana♥Nimekumbuka mbali aisee kufulia mtoni![]()
🥴🥴🥴🥴