🤣🤣🤣🤣😅Kuna boya tukiwa form 2 aliwahi kuniandika noise makers wakati sikuwepo shule.
una balaa wewe huwa nikiwa nimevurugwa nikipita huku nafrahi hasa nikikuta ulivyovipost
View attachment 2903106williaam huyu jamaa ni kituko kweli
mtoto halali na hela dp yake
🙏🙏🙏 🤣🤣una balaa wewe huwa nikiwa nimevurugwa nikipita huku nafrahi hasa nikikuta ulivyovipost
Kumbe ndo walianza kumpiga majini kwa njia hiyo🙄🙄