Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,307
- 829,371
- Thread starter
- #213,121
Inafikirisha sana sana,ukiwaza vile wanaume wa shoka wanavyo mkunjaa inauma sio kidogo. Lakini tunaendelea kuvumilia.Hata ufanyeje kama mtu ni wa kuchapwa nje atachapwa tu. Unaweza ukamwachisha kazi ukamfungulia biashara na akaendelea kuliwa na wateja.
Trust your lady...na mengine waachie akina mzabzab na Mzee wa kupambania
View attachment 2904507View attachment 2904508
#KuchapiwaHakuepukiki![]()
Nimekumbuka mbali aisee kufulia mtoni

Akichapwa na kibamia hautaumia 😅😅Inafikirisha sana sana,ukiwaza vile wanaume wa shoka wanavyo mkunjaa inauma sio kidogo. Lakini tunaendelea kuvumilia.
Tajeni vyote katika ubaya lakini sio pombe bwana!
Hii ndio sababu ilinifanya niwe naenda misa ya tatu ya watoto tena kigangoni hukoo
Mimi hata akishikwa ziwa tu moyo ushavimba! Kibamia si kinaingia vile vile!Akichapwa na kibamia hautaumia 😅😅
Hahaaà Pole Sana.Mimi hata akishikwa ziwa tu moyo ushavimba! Kibamia si kinaingia vile vile!
Yupo basi hata wa kupewa pole!Hahaaà Pole Sana.