Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 47,774
- 256,797
Ukinireply sipati notification sijui kwanini🙄🙄🤐🤐🤐🤐
Ukinireply sipati notification sijui kwanini🙄🙄🤐🤐🤐🤐
Sana!Uko vizuri....
Mimi App zote za JF zinazingua hivyo wala sishangai!Ukinireply sipati notification sijui kwanini🙄🙄
Bado tunapambana anategemea kuondolewa ziwa lingine vipimo vikikamilika.Sana!
Mpaka miaka 77 hii bila shaka nshaona na kujifunza mengi. Kwa kujifunza zaidi fungua PM au bonyeza 6 kwenye simu yako 😁😁🏃🏿♂️🏃🏿♂️
➡️➡️➡️ On a serious note vipi yule mgonjwa wako? Anaendeleaje? Natumaini anaelekea kwenye uponyaji sasa. Pole kwa kuuguza aisee 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Asante.Mimi App zote za JF zinazingua hivyo wala sishangai!
Pole..
Poleni sana! Ni kupambana tu bila kukoma huku mkitegemea Mungu Amguse. Naamini Atapona 🙏🏿🙏🏿🙏🏿Bado tunapambana anategemea kuondolewa ziwa lingine vipimo vikikamilika.
🙏🙏🙏Poleni sana! Ni kupambana tu bila kukoma huku mkitegemea Mungu Amguse. Naamini Atapona 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Huku ni kupatwa kwa watanzania badala ya kupatwa kwa jua