Njoo Kilingeni Msata Mzee nikugangeNa wewe hii web-based app ya JF inakusumbua. Unabofya post reply hai-respond unabofya tena ukifikiri haijakuwa posted. Matokeo yake unajikuta umerudia post ile ile hata mara tano!

🥰🥰🥰Let's not forget to tell mom I'm sorry and thank you
Jumamosi njema yenye utulivu .
View attachment 2899263
Hujawahi kuihangaikia 😝🏃🏃🏃🏃🏃
DahWapare ni watani zangu.
Na Valentine hii nina mpango wa kula pisi ya Kipare na hakuna kitu utanifanya![]()

Nakataga tamaa mapema sana; na unaweza ukanipa nikaisusa hasa nikigundua kwamba kumbe hauko kama vile nilivyokudhania. Kwangu mimi nikimpenda mtu hata asiponipa ni sawa tu maana huwa nathamini sana urafiki, ushikaji na lile vibe la kwamba huyu ni mshikaji wangu and she cares for me. That type of relationship is more meaningful and priceless!Hujawahi kuihangaikia 😝🏃🏃🏃🏃🏃
Unaogopa kutekwa?🤐🤐🤐🤐
Kuna wengine hawana vifua wanaishia kujiua. So usichukulie poa!
Uko vizuri....Nakataga tamaa mapema sana; na unaweza ukanipa nikaisusa hasa nikigundua kwamba kumbe hauko kama vile nilivyokudhania. Kwangu mimi nikimpenda mtu hata asiponipa ni sawa tu maana huwa nathamini sana urafiki, ushikaji na lile vibe la kwamba huyu ni mshikaji wangu and she cares for me. That type of relationship is more meaningful and priceless!
#Busarazavibabukazi 😁🙌