Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Inasemekana mtoto wa kuku wa siku moja (kifaranga) ana akili kuliko mtoto wa binadamu wa miaka minne, ila mtoto wa binadamu kadri anavyokua ndio akili yake kuongezeka na ya mtoto wa kuku hupungua, ila kuna watoto wengine wa binadamu akili zao hubakia zile zile za miaka minne hadi uzeeni wao , moja wapo ni huyo mama.
Ushahidi wa kisayansi imekosekana lakini ni kweli katika uhalisia.
Na wewe hii web-based app ya JF inakusumbua. Unabofya post reply hai-respond unabofya tena ukifikiri haijakuwa posted. Matokeo yake unajikuta umerudia post ile ile hata mara tano!
Shida ni u Chawa ndugu yangu...Inasemekana mtoto wa kuku wa siku moja (kifaranga) ana akili kuliko mtoto wa binadamu wa miaka minne, ila mtoto wa binadamu kadri anavyokua ndio akili yake kuongezeka na ya mtoto wa kuku hupungua, ila kuna watoto wengine wa binadamu akili zao hubakia zile zile za miaka minne hadi uzeeni wao , moja wapo ni huyo mama.
Wapare ni watani zangu.