Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG-20240209-WA0077.jpg
IMG-20240209-WA0076.jpg
 
Inasemekana mtoto wa kuku wa siku moja (kifaranga) ana akili kuliko mtoto wa binadamu wa miaka minne, ila mtoto wa binadamu kadri anavyokua ndio akili yake kuongezeka na ya mtoto wa kuku hupungua, ila kuna watoto wengine wa binadamu akili zao hubakia zile zile za miaka minne hadi uzeeni wao , moja wapo ni huyo mama.
 
Inasemekana mtoto wa kuku wa siku moja (kifaranga) ana akili kuliko mtoto wa binadamu wa miaka minne, ila mtoto wa binadamu kadri anavyokua ndio akili yake kuongezeka na ya mtoto wa kuku hupungua, ila kuna watoto wengine wa binadamu akili zao hubakia zile zile za miaka minne hadi uzeeni wao , moja wapo ni huyo mama.
Shida ni u Chawa ndugu yangu...

IMG-20240208-WA0350.jpg
 
Wenzetu walishatuzidi tena sana! Mifumo yao iko wazi. Hakuna kupotezeana muda. Hakuna kujuana wala usumbufu.

Hii ni barua kutoka idara ya uhamiaji. Nakumbushwa kwamba passport ya binti yangu itamaliza muda wake ndani ya mwaka; na kwamba ni lazima niihuishe.

Na kila kitu kinafanyika mtandaoni. Nitajaza fomu. Nitaambatanisha nakala ya cheti chake cha kuzaliwa; na nakala ya picha yake ya pasipoti. Nitalipia ada basi na kutuma kila kitu mtandaoni.

Baada ya wiki mbili nitaitwa posta kwenda kuchukua pasipoti yake. Nitakwenda na cheti cha kuzaliwa original. Kazi kwisha!

Na kama kungekuwa na haraka ningeweza kulipia malipo ya dharura na pasipoti yake ningeipata ndani ya masaa 24 - 48!

Tusione watu wameendelea. Hawapotezeani muda. Mifumo iko wazi. Karibu kila kitu unajifanyia mwenyewe tu. Hebu linganisha na vituko vya hapa kwetu. Mpaka ukaipate pasipoti mweh!

Nasubiri siku tutakayoachana na mambo ya kujuana (connection) na rushwa katika utoaji wa huduma zetu kwa jamii.

Vituko!

Screenshot_20240210_032502_Gmail.jpg
 
Back
Top Bottom