Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1704948074544.jpg
 
Ulituokoa na njaa ya mwaka 1973/74. Washukuriwe watu wa Marekani
Pamoja na hiyo pia njaa ya mwaka 1984/85.
Ukame mkali ulipiga pembe ya Afrika pamoja na Tanzania ukasababisha njaa kwenye eneo hilo.
Ikatokea waimba muziki wa Marekani wakabuni wazo la kutoa single ile maarufu ya "We are the world" mauzo ya single hiyo yaliletwa Afrika kama msaada wao kukabiliana na janga hilo.
Shukrani sana watu wa Marekani na hasa mastaa wa muziki wakati ule, Michael Jackson, Harry Belafonte, Lionel Richie, Tina Turner, Steve Wonder , Kenny Rogers, Diana Ross na wengineo.
Mungu awabariki sana
 
Back
Top Bottom