Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Tena kuna mchizi mmoja alipiga timing on the stroke of midnight ndio alikuwa anatema wadhungu🤣🤣🤣
Tutaelezana vizuri wapi si ajabu ukaishia kupelekewa moto tu na kesi ikaishia hapo? 🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️Yaan hapo nakuvuta mkono ooooh nyumbani tutaelezana vizuri,maana
Mwanamke na mwanaume lazima kuolewa na kuoa mbali na hapo ni kusambaziana maukimwi tuuKwani lazima kuolewa? Why so much pressure? Kha!
Binti yangu nilishamwambia akitaka kuolewa aolewe. Asipotaka napo poa tu. Cha muhimu tu awe na maisha ya furaha na ridhiko kama alivyoamua kuyaishi maisha yake. F*ck society! 🚮
View attachment 2860713
Aisee kwa hiyo anajilia mema ya nchi na hataki kulipa mahali😂😂😂 Tuanze kwanza kula pilau la kwako. Shemeji yako bado hajatoa tamko na siwezi kumfosi.
Kajikausha kaukau na sina cha kumfanya 😂😂Aisee kwa hiyo anajilia mema ya nchi na hataki kulipa mahali
Vumilia tuu ipo siku atakutamkia kuwa anataka uwe mke wake. Ila usikubali akutie mimba kabla ya kukuoa.Kajikausha kaukau na sina cha kumfanya 😂😂
🙏🙏🙏🙏
Siyo kweli!Mwanamke na mwanaume lazima kuolewa na kuoa mbali na hapo ni kusambaziana maukimwi tuu
Nchi yenyewe sasa. .....
Safi kumbe mnakubaliana kuwa watu wagegedane tuu haya mambo ya ukimwi ni urongo.👍Siyo kweli!
Zaidi ya nusu ya Wamarekani hawaoi wala kuolewa.
Na hawasambaziani UKIMWI!
😂😂Product from
Alexandria
Sheikh anamaanisha kama hawa, nataka kuanza mchakato wa kusilim
View attachment 2860649
Hataki tujilie mazaga zaga kama haya😂😂yeye mwenyewe anasema hajawahi kula hata mkate.
We mzee hutaki mijing'ombe?Kwani lazima kuolewa? Why so much pressure? Kha!
Binti yangu nilishamwambia akitaka kuolewa aolewe. Asipotaka napo poa tu. Cha muhimu tu awe na maisha ya furaha na ridhiko kama alivyoamua kuyaishi maisha yake. F*ck society!
View attachment 2860713