Wapigaji bwana,masikini kibao duniani hata siku moja hamjawahi kuwaombea ili halizao ziwe nzuri na wapate mafanikio hata huyo samia hamkuwahi kumuombea kabla hajawa rais.
Wazee,wagonjwa,wajane,nk kibao hamjawahi kuwaombea tukaona mafanikio yao .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.