Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1702151410444.jpg
 
Maokoto yamechacha

#HABARI Abdallah Mohamed (53) na Hamidu Athuman (50) wakazi wa Kwadelo wilayani Kondoa Mkoani Dodoma, wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kiteto kwa tuhuma za kukutwa na madawa ya kulevya aina ya mirugi gunia sita eneo la Ilkiushbour tarafa ya Makame zikiwa na bunda 300 sawa na kg 150 zikiwa zimepakiwa kwenye gari aina ya Toyota land Cruser LX T 711 ADE rangi nyeusi. #EastAfricaRadio
FB_IMG_1702294047877.jpg
FB_IMG_1702294030359.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom