#HABARI Abdallah Mohamed (53) na Hamidu Athuman (50) wakazi wa Kwadelo wilayani Kondoa Mkoani Dodoma, wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kiteto kwa tuhuma za kukutwa na madawa ya kulevya aina ya mirugi gunia sita eneo la Ilkiushbour tarafa ya Makame zikiwa na bunda 300 sawa na kg 150 zikiwa zimepakiwa kwenye gari aina ya Toyota land Cruser LX T 711 ADE rangi nyeusi. #EastAfricaRadio
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.