Ambassador
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 933
- 75
Mahakamani. Kijana wa miaka 22 anashitakiwa kumbaka bibi kizee wa watu.
Hakimu: Bibi, hebu ieleze mahakama kilichotokea.
Bibi Kizee: Nimelala nyumbani kwangu usiku wa manane. Mlango unavunjiliwa mbali na anaingia huyu kijana, aliyesimama pale.
Hakimu: Endelea, Bibi.
Bibi Kizee: Si, akanivua nguo zote na kunipanda.
Hakimu: Enhee!
Bibi Kizee: Akawa anakata kushoto, mimi kulia. Alidhani mimi siyawezi!
Hakimu: Enhee!
Bibi Kizee: Kila akikata, na mimi najibu!
Hakimu: Sasa tatizo lililokuleta hapa mahakamani ni nini?
Bibi Kizee: Atengeneze ule mlango aliouvunja!
Hakimu: Bibi, hebu ieleze mahakama kilichotokea.
Bibi Kizee: Nimelala nyumbani kwangu usiku wa manane. Mlango unavunjiliwa mbali na anaingia huyu kijana, aliyesimama pale.
Hakimu: Endelea, Bibi.
Bibi Kizee: Si, akanivua nguo zote na kunipanda.
Hakimu: Enhee!
Bibi Kizee: Akawa anakata kushoto, mimi kulia. Alidhani mimi siyawezi!
Hakimu: Enhee!
Bibi Kizee: Kila akikata, na mimi najibu!
Hakimu: Sasa tatizo lililokuleta hapa mahakamani ni nini?
Bibi Kizee: Atengeneze ule mlango aliouvunja!