aikaruwa1983
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,398
- 1,499
NMB ni kikosi namba ngapi?
hapo Lugalo(Makongo)...miaka ya nyuma kuna konda na dereva wake walikamatwa wakipakia madenti...adhabu waliyopewa na wale maMP eti walipewa kila mmoja mche wa sabuni halafu wakaoge kwenye bwawa moja lilikuwepo pale Makongo Sec....