Nakuheshimu sana mtumishi wa Mungu mshana natamani kuonana nawewe sana mana hujawahi kua mjinga au punguani au pumbavu ,toka nakufahamu fanya mpango tuonane. Sema iwe lini
Picha ni Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu baada ya kufutiwa mashtaka ya ugaidi na Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP) leo Ijumaa Machi 4, 2022.
Kwanza habari za kifo cha Prof J ni za uongo hivyo zipuuzeni..Imebidi nifanye masahihisho ya haraka kwenye hiki kifungu cha kwanza Pili nipende mno kumpongeza Mama Samia Suluhu kwa kujitua furushi zito lililomlemea sana tangu alipotwishwa na hao wenye agenda zao. Hatimaye ukweli amekuja kuuona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.