Vitu vifuatavyo vinauzwa.

Vitu vifuatavyo vinauzwa.

UPDATE VITU VIFUATAVYO VIMESHACHUKULIWA TAYARI:

TV, REDIO + MEZA,KING'AMUZI ,DISH NA BLENDER,,

AMBAVYO BADO NI.

FRIDGE,KABATI,SOFA,PASI ,COOKER, na mtungi wa gas 14.6kg
 
Nakupa 80 kwa kabati ila mbona picha haioneshi kua ni milango mitatu
 
Mkuu weka picha ya kitanda na godoro nione nikiridhika tunaweza Fanya biashara
 
UPDATE:

Vitu vyote nilivyoweka hapa JF vimechukuliwa tayari sikutegemea na nashukuru sana mods kwa kuulinda uzi huu Jamii forum ndo kila kitu yani ndani ya siku mbili kila kitu kimechukuliwa.

THANKS ALL ,,Narudi zangu mkoani nawaachia wenye jiji mpambane na hali zenu
 
Naomba mods mnisaidie kunifutia hizo namba zangu please...!!!‍♂️‍♂️‍♂️‍♂️
 
Back
Top Bottom