Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,465
- 4,675
Leo nimeamua kuperuzi baada ya kupata business idea ya kufungua duka la electronics, phone and accecories.
Nikasema acha niiingie kwenye application ya Alibaba kuona bei za electronics huko china na huku bongo.
Mfano hapo glass protector ni Usd 0.01 napo zingine ni mpaka Usd 0.15 sawa na tsh 375.
Nimefanya research kwa bidhaa nyingi sana mfano system charge, mic, flash, radio, tv, subwoofer, earphones, simu ndogo, charges, pasi, blender, na vifaa vyote vya electronics ambavyo nafikiria kuuza nimeona kwamba bei zake ziko chini saana, sijajua kuhusu shipping na Kodi ikifika Tanzania.
Huku mkoani charges,earphone, glass protector, system charge na vitu vingi bei yake inaanzia 5000/= wakati huko duniani Wanauza 300-700.
Nimegundua kwa mtaji wangu huu wa million 10 nikiagiza china hizo bidhaa kwa huku mkoani naweza Fanya kitu kikaonekana.
Nikasema acha niiingie kwenye application ya Alibaba kuona bei za electronics huko china na huku bongo.
Mfano hapo glass protector ni Usd 0.01 napo zingine ni mpaka Usd 0.15 sawa na tsh 375.
Nimefanya research kwa bidhaa nyingi sana mfano system charge, mic, flash, radio, tv, subwoofer, earphones, simu ndogo, charges, pasi, blender, na vifaa vyote vya electronics ambavyo nafikiria kuuza nimeona kwamba bei zake ziko chini saana, sijajua kuhusu shipping na Kodi ikifika Tanzania.
Huku mkoani charges,earphone, glass protector, system charge na vitu vingi bei yake inaanzia 5000/= wakati huko duniani Wanauza 300-700.
Nimegundua kwa mtaji wangu huu wa million 10 nikiagiza china hizo bidhaa kwa huku mkoani naweza Fanya kitu kikaonekana.