Vitu vifuatavyo vinauzwa.

Vitu vifuatavyo vinauzwa.

UPDATE:

Vitu vyote nilivyoweka hapa JF vimechukuliwa tayari sikutegemea na nashukuru sana mods kwa kuulinda uzi huu Jamii forum ndo kila kitu yani ndani ya siku mbili kila kitu kimechukuliwa.

THANKS ALL ,,Narudi zangu mkoani nawaachia wenye jiji mpambane na hali zenu
Hahahaha ila umejitahidi wenzako mwezi Wa 7 on spot walikuwa wamesharudisha chenji
 
fanya kama ku- edit ile comment yenye namba ili uzifute, mbona simple tu.
Nielekeze mkuuu please maana nilivyokoment tu hapo kwamba kila kitu kimechukuliwa imekuwa kama nimechokoza nyuki watu watano tayari wameshanipigia wanaulizia hivyo vitu sijui hawasomagi hadi mwisho
 
unatumia device gani kuingia JF mkuu, .... pc au simu, na kama ni simu unatumia web/browser au unatumia jf app??
Mkuu natumia simu na kuingia natumia app ya jf naomba unielekeze.
 
Kwa mawasiliano yangu
Ni 0716-473786 au 0755-922096
Mwenye niya naomba anitafute kwa hizi namba tu.
U'r welcome Nipo hapa mbezi mwisho .
@mods naomba mnisaidie kufuta hizi namba please ,watu bado wanaulizia nimeshamaliza kuuza kila kitu kwa hiyo wasiendelee kunitafuta jamani
 
Back
Top Bottom