Prosper john
Member
- Apr 14, 2017
- 42
- 40
Any way mm natka hilo kabat mkuu
mpaka ugali mkuuHio Rice Cooker Inapika Wali?

fanya kama ku- edit ile comment yenye namba ili uzifute, mbona simple tu.Naomba mods mnisaidie kunifutia hizo namba zangu please...!!!♂️
♂️
♂️
♂️
Mkuu naomba unielekeze namna ya kufanya pleasefanya kama ku- edit ile comment yenye namba ili uzifute, mbona simple tu.

Hahahaha ila umejitahidi wenzako mwezi Wa 7 on spot walikuwa wamesharudisha chenjiUPDATE:
Vitu vyote nilivyoweka hapa JF vimechukuliwa tayari sikutegemea na nashukuru sana mods kwa kuulinda uzi huu Jamii forum ndo kila kitu yani ndani ya siku mbili kila kitu kimechukuliwa.
THANKS ALL ,,Narudi zangu mkoani nawaachia wenye jiji mpambane na hali zenu![]()
Nielekeze mkuuu please maana nilivyokoment tu hapo kwamba kila kitu kimechukuliwa imekuwa kama nimechokoza nyuki watu watano tayari wameshanipigia wanaulizia hivyo vitu sijui hawasomagi hadi mwishofanya kama ku- edit ile comment yenye namba ili uzifute, mbona simple tu.

unatumia device gani kuingia JF mkuu, .... pc au simu, na kama ni simu unatumia web/browser au unatumia jf app??Mkuu naomba unielekeze namna ya kufanya please![]()
![]()
Picha yake mkuu hivo vitu nije pmYaahh..!!!kitanda kipo pamoja na godoro tano kwa sita bei 100000 Tsh.
Mkuu natumia simu na kuingia natumia app ya jf naomba unielekeze.unatumia device gani kuingia JF mkuu, .... pc au simu, na kama ni simu unatumia web/browser au unatumia jf app??
Mtoto halali na helaHuko wapi tukutane kwa jamaa tuchukue mzigo now.
Maana nikiwa na kahela huwa situliii.
Panda basi uifuate acha kutuambia kijiji chenuMie nahitaji hiyo friji nipo katavi nahipataje?
Hakuuzii nyie watu wa huko ni wagonvi mnaweza msilipe hela,nunua nyamongo.Me nataka io kabati ila nko musoma
@mods naomba mnisaidie kufuta hizi namba please ,watu bado wanaulizia nimeshamaliza kuuza kila kitu kwa hiyo wasiendelee kunitafuta jamaniKwa mawasiliano yangu
Ni 0716-473786 au 0755-922096
Mwenye niya naomba anitafute kwa hizi namba tu.
U'r welcome Nipo hapa mbezi mwisho .

Niko Mbezi mwisho Dar Es Salaam kwa Bashite Malyangili.Ungeeleza uko wapi pia ingesaidia
Hivi nyie si nimeshaandika hapo kwamba nimemaliza kuuza kila kitu nikutafute tena kwa ajili ya nn..??Nicheki WhatsApp mkuu 0682562162

Hivi nyie si nimeshaandika hapo kwamba nimemaliza kuuza kila kitu nikutafute tena kwa ajili ya nn..??
![]()
![]()
![]()
![]()








muendeleze mawasiliano labda baadae kuna bidhaa nyingine utauzamuendeleze mawasiliano labda baadae kuna bidhaa nyingine utauza
haya bhana.