Vitu sita ambavyo si viumbe vya Mungu

Vitu sita ambavyo si viumbe vya Mungu

Kitu kama kipi sasa?
Chochote kile.

Mpaka useme kwamba uwepo wangu hapa ni uthibitisho kwamba mungu yupo, au unaonesha moja kwa moja kwamba mungu yupo, ni lazima uwe umejiridhisha kwamba hamna namna yoyote nyingine ambayo mimi ninaweza kuwepo hapa bila ya mungu kuwepo.

Umeshajiridhisha hivyo?

Unawezaje kujua kwamba mimi siwezi kuwepo hapa kwa namna yoyote ile ambayo haijamshirikisha mungu?
 
Mungu na Shetani wana Undugu au Ni Maadui wa Asili? wote wana uwezo si ndio? Maana Hadith inasema Theluthi mbili ya Malaika hawakuasi na Theluthi moja ya Malaika iliasi ikawa Vita Mungu akashinda kutokana na wingi wa Jeshi lake la Malaika theluthi Mbili so ni Sawa na Russia na America Ni Ndugu wote Wazungu na wote wana Nguvu Sababu ya Uwezo wao wamebakia kutishiana tu bila Action..... Shetani hata akufanye nini wewe Mungu Atatizama tu Maana Akianzisha Vita ni Balaa zitapigwa Kinoma na Kwa Sasa Shetani wako ana wafuasi wengi zaidi ndio maana Dunia haiishi Hakuna wa Kuanzishisha Vita ila Mikwara itaendelea na Majigambo... Jamani Raha si Raha.....!
kweli ukitaka kumjua Mungu zaid utajikuta unachiz cz Mungu achunguziki kama tunavyo fikiria ndo maana hakuna mwenye jibu kamili lililokamilika kuhusu yeye ACHENI MUNGU AITWE MUNGU NA USIMRINGANISHE NA CHOCHOTE
 
Naomba kuungwa whatsaap kwenye hyo magrpup
 
kweli ukitaka kumjua Mungu zaid utajikuta unachiz cz Mungu achunguziki kama tunavyo fikiria ndo maana hakuna mwenye jibu kamili lililokamilika kuhusu yeye ACHENI MUNGU AITWE MUNGU NA USIMRINGANISHE NA CHOCHOTE
Vitabu vya Dini vinasema Binadamu aumbwe kwa Mfano wa Mungu so ujinga wako wa kutokusoma usikufanye uache kumchunguza Mungu... Hao waliokuadithia walimchunguza au walibuni tu?
 
Vitabu vya Dini vinasema Binadamu aumbwe kwa Mfano wa Mungu so ujinga wako wa kutokusoma usikufanye uache kumchunguza Mungu... Hao waliokuadithia walimchunguza au walibuni tu?

So ukikosa majibu ujue Hakuna Mungu.... Kuwa Makini unapoleta hoja isiyo na Ubongo
umeumbwa kwa mfano wa Mungu lkn hujaumbwa ili umchunguze yeye sawa we mjanja?
 
umeumbwa kwa mfano wa Mungu lkn hujaumbwa ili umchunguze yeye sawa we mjanja?
Akili zenu enyi kizazi cha Nyoka Mmelaaniwa kwa kukosa Maalifa na akili.... Wapi imeandikwa asichunguzwe na wapi imeandikwa asichunguzwe... Hakika hutokuwa na Jibu... So sikia kasome vitabu vyenu uvielewe na usije na tafsiri nje na vitabu vyenu maana nyinyi mkiondolewa nje ya vitabu vya dini kichwani mnabaki na sifuri... Kitaani mnagaragazwa na sie tunavijua hadi aliyeviandika hivyo vitabu mnavyo viamini... hivi hamuwezi kushangazwa vingine vimeandikwa story mtu alikuwa anaota akaandika Story na mnaamini ati kitabu cha Mungu.. Acheni kuamini Ujinga wa mtu
 
1.Naombeni kujua tofauti ya kila kitu na vitu vyote.
Maana mtoa maana katoa jibu mwanzo halafu kalikanyaga kwa ufundi wake wa kukanyaga halafu anakwambia tafuta jibu.
 
Nashangaa sana kuna VILAZA wanajiona wana akili nyingi sana na wanayaona makosa ya mungu eti kwasababu wana digirii,masters na Phd.Tena wengine wanajiona magenius kwasababu wamesoma UDSM na MZUMBE,kwahiyo wana uwezo mkumbwa sana wa kufikiri na kuchambua mambo ya kuonyesha mapungufu ya mungu.Nathibitisha kwamba wote ni VILAZA kwa mujibu wa aya ya ALLAH isemayo
"Ahadi ya mwenyezi mungu ni kweli lakini watu wengi hawajui"
ALLAH meahidi kila nafsi itaonja umauti na katika hili hakuna haja ya kuhangaika wala digirii kuliona,pia namalizia kuthibitisha kwamba watu hawa ni VILAZA tena kwa level ya profesa kwakuuliza swali lifuatalo;
Je mtu aliyekufa kwakupungukiwa damu mwili wake ambao unakua ni maiti ukiongezewa damu atarudi katika uhai au atafufuka?
 
Nashangaa sana kuna ****** wanajiona wana akili nyingi sana na wanayaona makosa ya mungu eti kwasababu wana digirii,masters na Phd.Tena wengine wanajiona magenius kwasababu wamesoma UDSM na MZUMBE,kwahiyo wana uwezo mkumbwa sana wa kufikiri na kuchambua mambo ya kuonyesha mapungufu ya mungu.Nathibitisha kwamba wote ni ****** kwa mujibu wa aya ya ALLAH isemayo
"Ahadi ya mwenyezi mungu ni kweli lakini watu wengi hawajui"
ALLAH meahidi kila nafsi itaonja umauti na katika hili hakuna haja ya kuhangaika wala digirii kuliona,pia namalizia kuthibitisha kwamba watu hawa ni ****** tena kwa level ya profesa kwakuuliza swali lifuatalo;
Je mtu aliyekufa kwakupungukiwa damu mwili wake ambao unakua ni maiti ukiongezewa damu atarudi katika uhai au atafufuka?
Kama aliyesoma mzumbe ni genius je aliyesoma harvard au Oxford atakuwa nani?
 
Kama aliyesoma mzumbe ni genius je aliyesoma harvard au Oxford atakuwa nani?
Ndio wale wale akili ndogo lakini makelele mengi kupita maelezo soma maelezo haya alafu utaniambia;

Ukitaka kujua wanasayansi akili zao ndogo sana kupita maelezo soma maelezo yafuatayo;

Proxima inapatikana umbali wa kilomita trilioni 40 na inaweza kumchukua mtu, akitumia teknolojia ya sasa ya vyombo vya usafiri wa anga za juu, maelfu ya miaka kufika huko.

hivi kuna binadamu anaweza kuishi hat miaka mia mbili kwasasa?
 
hiyo jamaa ni mpotoshaji mkubwa, nahisi anatumika na watu/viumbe anvyovijua.. Mungu ni MUUMBAJI WA KILA UNACHOKIONA na usivyoviona... nimukumbushe jambo moja kifo ni matokeo ya Uasi, means kwamba kama dhambi isingeingia kifo kisingekuwepo..

rejea mwanzo 1;1-3, Mungu alitenga Nuru na giza, tatzo lako mkuu unajua kuwa Mungu aliumba hii dunia tu, jambo ambalo si kweli, soma vyema utajua kuwa kuna zaidi ya galaxy 100 ambazo Mungu aliziumba, bahati mbaya dunia yetu pekee ndo iliasi, na Mungu kwa mjib wa biblia alimtuma Yesu kuja kuukomboa huu ulimwengu..

ni vyema kabla ya kupost jambo jielimishe,uliza na kisha njoo jf ukiwa na swal siyo hoja za upotoshaji kama hzi..
Na wewe usitupotoshe, sidhani kama ninyi wote mna majibu sahihi, na ushahidi gani kama kuna galaxy zaidi ya mia, kama sio kulishwa na kuaminishwa na uongo wa Vatican na theory yao ya Bigbang pamoja na Mshirika wao NASA. Ukweli wa jinsi ulimwengu ulivyo tutaujua baada ya maisha haya tukijaaliwa. Mimi siamini kuwa eti dunia ni sphere, mimi naamini ipo flat kwa evidence ya maji ya mito na bahari. Theory hizi zimekuja ili kuaminisha watu kuwa hakuna mwisho wa dunia wala maisha yajayo, tuangalie tunavyolishwa na madhehebu ya dini na doctrine zake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom