OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,667
- 105,968
changia mada kama haikuhusu pita kushoto. usitake kunijuajua humu JF,Vip
Mmeshapoa sasa mnawaza mapanki ni bora muyale tu?
Vipi kuhisu bosi wenu LISU mnaanza kumsahau kiaina, vipi misheni zake mara maandamano au mme mpuuza?
Watakufa na njaa, na kubaki kama chama cha dovutwa.Kama wako serious, hakuna kushiriki ubatili. Chama kipitishe azimio marufuku kushiriki kwenye udiwani wala ubunge. Atakayekaidi, fukuza chama aende CCM akapate ubunge au udiwani. Viti maalumu inatumwa na Chama, simuoni Mnyika, Mbowe na Lissu wakituma hayo majina. Over
List huwa inawasilishwa tume ya uchaguzi kabla ya uchaguzi kufanyika. Hivyo tume ndiyo itateua kwa kufuata orodha hiyo wakianzia na jina la kwanza hadi nafasi zinapoishia. Kwa sasa huwezi kuchomekea majina.nawashauri wasisusie,bunge ni sehemu ya kupeleka ajenda za chama. Nashauri hizo nafasi wapewe viongozi/watu machachari ambao kimsingi kila mtu anawajua. Huwezi kuwaacha Halima Mdee, Bulaya, Matiko, Makamba na wengine wapya ambao ni moto kama yule binti aliyemshinda ubunge MwanaFA ila akaibiwa kura
Kwani kutakua na kelele?waende tu ili wahalalishe uchaguzi ulikuwa huru na wahaki,pia itasaidia kupunguza kelele za mabeberu.
Sahivi makamanda mnahasira!changia mada kama haikuhusu pita kushoto. usitake kunijuajua humu JF,
..nashauri waachwe waende bungeni.
..wakifika huko wawe jeshi la WANAWAKE dhidi ya wabunge wa ccm.
Pole saaana kwani mabeberu wanasemajechangia mada kama haikuhusu pita kushoto. usitake kunijuajua humu JF,
Hata mimi ningewashauri waende bungeni wakavute mshiko ambao pia utawasaidia kusolve matatizo madogo ya chama chao.Kutokana na kura za ubunge walizopata Chadema wanaweza kupata wabunge wa viti maalum kati ya 12 na 18.
Sasa wazo la wao kususia bunge na mabaraza ya madiwani limekuwa gumu kwa sababu kuna wanawake wanaoamini bora kutumia fursa hiyo kuliko kuiachia iende bure.
Katika kikao chao, Halima Mdee na Esther Bulaya wameweka msimamo kuwa bora waende bungeni walau kupooza machungu ya kushindwa bungeni.
Wakati huohuo vita ya ninani na nani watateuliwa kuwa wabunge wa viti maalum kupitia Chadema inaendelea huku wanawake wanaofukuzia nafasi hizo wamezidi kujiweka karibu na viongozi wanaofanya maamuzi ndani ya chama.
Wacha tusubiri hii movie itaishia wapi.
Utakufa hivyo Hivyodaah nime block CCM kibao ila bado sijamaliza. nichunie mwana. Hili la kutesa wenzenu inabidi lilete mpasuku. Kwa hiyo ukiniona humu nipotezee, au sio? sina zuri na CCM
Alhamisi tarehe 5 anaapishwa mzee msikose kuangalia tvendelea kutunga uongo
Kumbuka listi ya wabunge wa Viti maalum ilishapelekwa Tume siku nyingi sana. Kwahiyo huwezi kubadilisha kitu pale.Nawashauri wasisusie, bunge ni sehemu ya kupeleka ajenda za chama. Nashauri hizo nafasi wapewe viongozi/watu machachari ambao kimsingi kila mtu anawajua. Huwezi kuwaacha Halima Mdee, Bulaya, Matiko, Makamba na wengine wapya ambao ni moto kama yule binti aliyemshinda ubunge MwanaFA ila akaibiwa kura.
Ilishatumwa siku nyingi sana.Kama wako serious, hakuna kushiriki ubatili. Chama kipitishe azimio marufuku kushiriki kwenye udiwani wala ubunge. Atakayekaidi, fukuza chama aende CCM akapate ubunge au udiwani. Viti maalumu inatumwa na Chama, simuoni Mnyika, Mbowe na Lissu wakituma hayo majina. Over
Ufipa.Umetoa wapi uongo huo ?
Chanzo ni msaidizi wa MboweHata hujasema chanzo cha habari yako, umekuja kuripoti hisia zako hapa, kawadanganye wajinga wenzio.
Huna ujualo,Kutokana na kura za ubunge walizopata CHADEMA wanaweza kupata wabunge wa Viti Maalum kati ya 12 na 18.
Sasa wazo la wao kususia bunge na mabaraza ya madiwani limekuwa gumu kwa sababu kuna wanawake wanaoamini bora kutumia fursa hiyo kuliko kuiachia iende bure.
Katika kikao chao, Halima Mdee na Esther Bulaya wameweka msimamo kuwa bora waende bungeni walau kupooza machungu ya kushindwa bungeni.
Wakati huohuo vita ya ninani na nani watateuliwa kuwa wabunge wa viti maalum kupitia CHADEMA inaendelea huku wanawake wanaofukuzia nafasi hizo wamezidi kujiweka karibu na viongozi wanaofanya maamuzi ndani ya chama.
Wacha tusubiri hii movie itaishia wapi.
Umenena vyemaNawashauri wasisusie, bunge ni sehemu ya kupeleka ajenda za chama. Nashauri hizo nafasi wapewe viongozi/watu machachari ambao kimsingi kila mtu anawajua. Huwezi kuwaacha Halima Mdee, Bulaya, Matiko, Makamba na wengine wapya ambao ni moto kama yule binti aliyemshinda ubunge MwanaFA ila akaibiwa kura.
Tuandamane hizo nafasi asikose Mbowe, Lema, Sugu, Msigwa na tumfikirie hata Zitto maana ameshaacha usaliti! Tuandamane keshokutwa saa mbili...Nawashauri wasisusie, bunge ni sehemu ya kupeleka ajenda za chama. Nashauri hizo nafasi wapewe viongozi/watu machachari ambao kimsingi kila mtu anawajua. Huwezi kuwaacha Halima Mdee, Bulaya, Matiko, Makamba na wengine wapya ambao ni moto kama yule binti aliyemshinda ubunge MwanaFA ila akaibiwa kura.
Kisiasa hilo ni kosa wanajiuaKama wako serious, hakuna kushiriki ubatili. Chama kipitishe azimio marufuku kushiriki kwenye udiwani wala ubunge. Atakayekaidi, fukuza chama aende CCM akapate ubunge au udiwani. Viti maalumu inatumwa na Chama, simuoni Mnyika, Mbowe na Lissu wakituma hayo majina. Over