Msolopagazi
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 663
- 153
Kuna shule moja jirani na ninapoishi mabasi yanaposubiri wanafunzi ni balaa ni moshi tu sijui ni bangi au sigara halafu wanawake wakipita utasikia miruzi ya tamaa za ngono sasa unategemea watoto watakuwa salama kweli kwenye mabasi:sad::sad::sad: