Vitendo ndani ya School buses!

thread hii imenigusa sana,ni kweli haya yanayozungumzwa huenda yanafanyika na ni vema kuchukua hatua kukabiliana na vitendo hivi vya kishenzi la sivyo watoto wetu wa kiume kwa wa kike watakuwa katika hatari ya kuharibiwa future yao au hata kuambukizwa magonjwa!

Mie pia imenigusa sana
 
Wachangiaji mmechukua hatua gani kuondoa ili tatizo?

Je wewe si mzazi tupe mawazo tufanye nini?
Langu kama mzazi na pendekeza wazazi kuliangalia kwa undani hili na kuhakikisha watu wano ben=ba hawa malaika ni watu safi
 
kwakweli ni aibu hivi wenye shule wao wapi au wakishadaka ada na mshiko wa usafiri wanajisahau na je wenye magari wanawajibika vipi kwa hili maana shule nyingi zinakodi magari
 
kwakweli ni aibu hivi wenye shule wao wapi au wakishadaka ada na mshiko wa usafiri wanajisahau na je wenye magari wanawajibika vipi kwa hili maana shule nyingi zinakodi magari

Hawa wanajali mshiko tu, kwa karne hii wazazi ndio wenye jukumu kubwa ya kuwatetea hawa malaika
 
Kuna habari moja niliisikia mwaka jana shule moja iko Upanga kama sikosei. Kuna mtoto wa kike alikuwa wa kwanza kuchukuliwa nyumbani , wa mwisho kurudishwa. Ikafika kipindi akawa anakataa kwenda shule asubuhi. Mama yake akawa anamgombeza sana, umeshakuwa mtoto mbaya wewe, unakataa shule kwa nini (Waafrika ndivyo tulivyo, hatuna muda wa kudadisi atoto we2). Basi mwalimu wa yule mtoto akawa ameobserve changes kwa kale kabinti, mtoto hakuwa na raha hata kidogo. Akapeleleza hakupata jibu. Siku moja akawapa watoto wote darasani kipande cha karatasi. Akawaambia kila m2 aandike asichokipenda. Basi wale watoto wakaanza kuandika. Wengine waliandika hawapendi uji, wengine kuoga, malaria etc. Lakini yule mtoto akaandika sipendi "School Bus"! Mwalimu akajiuliza ni kwa nini? Coz zoezi lote lilimtarget yule mtoto. Nadhani huyu mwalimu anafahamu vizuri saikolojia ya watoto.
Basi akamwita mzazi wa yule mtoto, wakaanza kumpeleleza, wakakuta mtoto keshaharibika siku nyingi! It was too late. Jamani tuwe na mazoea ya kuwahoji watoto wetu kuhusu vitu wasivyovipenda, na wanavyovipenda na tuwafwatilie kwa makini.
 
Kuna habari moja niliisikia mwaka jana shule moja iko Upanga kama sikosei. Kuna mtoto wa kike alikuwa wa kwanza kuchukuliwa nyumbani , wa mwisho kurudishwa. Ikafika kipindi akawa anakataa kwenda shule asubuhi. Mama yake akawa anamgombeza sana, umeshakuwa mtoto mbaya wewe, unakataa shule kwa nini (Waafrika ndivyo tulivyo, hatuna muda wa kudadisi atoto we2). Basi mwalimu wa yule mtoto akawa ameobserve changes kwa kale kabinti, mtoto hakuwa na raha hata kidogo. Akapeleleza hakupata jibu. Siku moja akawapa watoto wote darasani kipande cha karatasi. Akawaambia kila m2 aandike asichokipenda. Basi wale watoto wakaanza kuandika. Wengine waliandika hawapendi uji, wengine kuoga, malaria etc. Lakini yule mtoto akaandika sipendi "School Bus"! Mwalimu akajiuliza ni kwa nini? Coz zoezi lote lilimtarget yule mtoto. Nadhani huyu mwalimu anafahamu vizuri saikolojia ya watoto.
Basi akamwita mzazi wa yule mtoto, wakaanza kumpeleleza, wakakuta mtoto keshaharibika siku nyingi! It was too late. Jamani tuwe na mazoea ya kuwahoji watoto wetu kuhusu vitu wasivyovipenda, na wanavyovipenda na tuwafwatilie kwa makini.

Jamani ma uncle hao! na hawa watoto naona wantishiwa sana
 
Hakuna faida ya kutafuta pesa wakati watoto wanaharibikiwa.

Wazazi wapeleke watoto wao shule wenyewe ni namna ya kujipanga tu hakuna kinachoshindikana.
 
Hakuna faida ya kutafuta pesa wakati watoto wanaharibikiwa.

Wazazi wapeleke watoto wao shule wenyewe ni namna ya kujipanga tu hakuna kinachoshindikana.

Wanaona kama ni uzungu eti,

Oh school bus , school bus huku watoto wanteketea.
Jamani pia kukomesha hivi vitendo inawezekana kwa wazazi kuamua sifa za mbebaji watoto wao
 
watu wengine bwana mtu atunge story kwa maslahi ya nani humu ndani jamvini jaribu kuwa serious watu wanaongea vitu vinvyotokea mitaani

Mtu mwenye mtoto na mtu huyo ni responsible utakuwa utaitiza hii story kwa jicho la "tatu":
Mvula/Msichana au hata mzazi irresponsible unaona hii ni movie.
 
Tatizo lipo na ni kubwa.mara nyingi wenye mashule wana shauriwa waweka matroni mtu mzima badala ya konda wa kiume. kwa namna moja inapunguza tatizo.
 
Tatizo lipo na ni kubwa.mara nyingi wenye mashule wana shauriwa waweka matroni mtu mzima badala ya konda wa kiume. kwa namna moja inapunguza tatizo.

Nadhani wazazi inabidi wafuatilie kama huko kwenye mabus kuna mamatron au ma uncle...

Lakini wazazi hasubuhi wanamtuma house girl kupeleka mtoto kituoni.
Yeye anaendelea kuukung`uta usingizi.

Malezi jamani, mie baba yangu alinipeleka siku zote shule hadi nilipokuwa mkubwa!
 
Ni muhimu kuwe na matron ama mwalimu kwenye basi na jambo hili ni lazima tulifuatilie wote, yaani wazazi, wamiliki na mameneja wa shule na pamoja na mamlaka zinazohusika. Hatuwezi kuacha unyama wa namna hii ukiendelea.
 
hili suala ni la uzito na wazazi inabidi kuwa waangalifu sana. wazazi wenye watoto wapandao haya 'shool buses' inabidi kuwachunguza watoto wao katika maongezi na kupata kujua yote yanayojiri kwenye mabasi. Watoto hawadanganyi, ukiwapatia jinsi ya kuongea wanaongea vizuri.
 
Nashukuru sana maana imenifungua macho hata mimi ingawa sina mtoto lakini its a good alert kwa kuwafahamisha wazazi wengine tunaoishi nao huko
 
hili suala ni la uzito na wazazi inabidi kuwa waangalifu sana. wazazi wenye watoto wapandao haya 'shool buses' inabidi kuwachunguza watoto wao katika maongezi na kupata kujua yote yanayojiri kwenye mabasi. Watoto hawadanganyi, ukiwapatia jinsi ya kuongea wanaongea vizuri.

Cjui wanatishiwa hawa watoto, huwa hawasemi wanayofanyiwa hadi wachunguzwe.

Mzazi mchunguze mwanao kila wakati, jenga tabia ya kuzungumza na mwanao ili asikuogope
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom