NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,493
- 1,311
thread hii imenigusa sana,ni kweli haya yanayozungumzwa huenda yanafanyika na ni vema kuchukua hatua kukabiliana na vitendo hivi vya kishenzi la sivyo watoto wetu wa kiume kwa wa kike watakuwa katika hatari ya kuharibiwa future yao au hata kuambukizwa magonjwa!
Mie pia imenigusa sana