Vitambulisho vya Taifa vyakataliwa Benki

Vitambulisho vya Taifa vyakataliwa Benki

Halafu hiyo expiry date ina maana gani? Kwamba ikifika hiyo tarehe mwenye kitambulisho atakuwa amebadilika au?
Mmmmmmmmmmmmmmh!!!! labda tutakua tuna-renew kama kikadi cha benk, kumbe tupo wengi sana tunaojiuliza swali hili???????
 
Kuelekea 2015 watawala watahakikisha kila nyumba/taasisi inapekuliwa mwanzo mwisho...
 
Kwa mtu mwenye akili vitu vya muhm kama HV vingetakiwa kuanza kutengenezwa baada ya katiba mpya kupatikana sababu ingedifine kila kitu
Let me ask u
What if zikapatikana serial I Tatu au simply Zanzibar ikajitenga itakuaje kwa visiwani?
Mkuu gwijimimi kwanza kabisa nimefurahi kwa hii post yako yenye mtanzamo chanya.............Kwa upande wa Zanzibar tayari walishakuwa na Vitambulisho vya Ukazi(Taifa), ni tanganyika tu ndiyo haina na hii ni kwa sababu ya eitha siri iliyojificha ya kutaka kuwa na Taifa moja la Tanzania isiyo na nchi mbili ndani yake (Tanganyika na Zanzibar) au ulofa na kutokujali kwa watawala.........kuna mambo mengi yamejificha ambayo yanatakiwa yafanyiwe kazi kabla ya mchakato wa KATIBA MPYA
  1. ziainishwe kero zote za Muungano
  2. Kuwe na tume ya kuombana msamaha kwa yale yote yaliyotokea(kuelekea kupata Uhuru hadi sasa)
  3. Yaainishe na yapimwe kwa umakini malengo ya muungano
  4. nk......................................
Watawala wasipoangalia kwa jicho la tatu eti kwa kusukumwa na nguvu za makundi yao na uroho wa madaraka na mali................matokeo yake ni hayo uliyouliza hapo juu na matokeo ya kuficha ubadhilifu wa "madudu" hayo ni kuliingiza Taifa kwenye hasara.........................niishie hapo mkuu nina hasira sanaaaa na yanayoendelea............
 
Hii nchi inachezea hela zetu za kodi;
- Kitambulisho cha kupigia kura cha zamani eti hakitumiki tena;
- Kitambulisho cha taifa, sijui nacho ni feki;
- Kitambulisho kipya cha kupigia kura.

Hivi nyie wanasheria mliobobea mnawezaje kukaa kimya
na kuangalia upotevu mkubwa kama huu wa pesa
za walipa kodi.
Hivi chini ya CCM kuna wanasheria waliobobea wanaotetea haki za waliolala hoi wenye kusumbuliwa na maradhi, ujinga na umasikini?
kama wapo basi wamelalia masikio!
Wengine wako dodoma kutunga sheria za kuongeza urefu wa kamba zao wawapo malishoni!
 
Jamani .... hivi vitambulisho ni biometric .... pale unapoweka Alana za vidole ndipo details na utambulisho wako vinakuwa revealed ikiwamo saini yako, picha na mahali unapoishi ulipo jiandikisha, kwani address yako wewe hauhami? .... hakuna haja ya kujaza mavitu mengi kwenye ile kadi

I don't support any mis-use of taxpayers money ... but a fact remain fact ....

Kama ndivyo, basi vizuri!
 
Katika list ya vitambulisho nilivyo navyo kwenye pochi yangu hakuna ambacho ni low quality kama cha taifa!!!
 
Nilimuangalia mwansheria wa ccm pale ubungo plaza nikasema tumekwisha
hivi chini ya ccm kuna wanasheria waliobobea wanaotetea haki za waliolala hoi wenye kusumbuliwa na maradhi, ujinga na umasikini?
Kama wapo basi wamelalia masikio!
Wengine wako dodoma kutunga sheria za kuongeza urefu wa kamba zao wawapo malishoni!
 
katika list ya vitambulisho nilivyo navyo kwenye pochi yangu hakuna ambacho ni low quality kama cha taifa!!!
nimeshindwa kukiweka hata kwenye walleti, wewe umeweza?
 
Blood fool...
Hapa ndipo Zile kauli za mh.Mnyika za...
.......sababu ya Udhaifu wa .,,,..
.......sababu ya uzembe wa....... Nk KWANGU NIMEANZA KUONA ZINA UKWELI.

Mh.Mkuu njoo huku uchukue kadi ya Chama chako siitaki tena japo uchaguzi wa Jimbo la Moshi mjini ilinipa Baiskeli.

Hehehehehehe aiseeee
Umenichekesha duuu japo inasikitisha sana
 
wamesema saini imefichwa ki elektroniki

sasa kama imefichwa kielektroniki itaonekana vipi kwa hali ya kawaida? au kila mtu anatakiwa awe na machine ya kuangalia? nimefanya kazi benki, ni kweli kitambulisho hicho hakina mashiko kwa sababu huwezi ku-verify signature.
 
Kwa macho tu ya haraka haraka driving licence zina hadhi kuliko hivi vitambulisho vilivyokula mamilioni ya walipa kodi.... Mimi changu nimekitia kabatini sina hata haja nacho driving licence ni kitambulisho tosha maana ina kila kitu, hata bank wanaitambua.
 
Signature ilikuwa ya muhimu sana maana kitambulisho cha kura kinayo.
Afu pia walivyotengeneza wametengeza kizembe sana ile karatasi waliyobandika kwa juu inaweza tolewa.
Hapa wamekula hela za bure hata sikitaki kwa sasa
 
Hawawezi kukosekana mkuu,
Pia tusiseme ccm inafika wakati tuuvae utaifa kwanza;
Ikifika hapo vyama tunaviweka hukooo, tunaangalia maslahi ya taifa.

Hivi chini ya CCM kuna wanasheria waliobobea wanaotetea haki za waliolala hoi wenye kusumbuliwa na maradhi, ujinga na umasikini?
kama wapo basi wamelalia masikio!
Wengine wako dodoma kutunga sheria za kuongeza urefu wa kamba zao wawapo malishoni!
 
Jamani TZ noma

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Sio kweli na kama bank sio zote... bank nyingine vinatumika sana na vinahitajika sana tu ila ukweli vinamapungufu mengi ukilinganisha na vya kura... vya taifa havina sahihi ya mhusika pia havionyeshi hata place of birth kama leseni so ni rahisi hata mtu kufoji kama leseni ambayo inatumika na raia eote watanzania na wasio watanzania.
 
~Sio Smart ID.
~Vina Expire Date
~Havina Signature
~Easy ku-fake
~Lack of important informations eg Makazi

Mwanzoni nilidhani ni smart ID kiasi kwamba hakuna haja ya kuweka details nyingi juu yake isipokuwa kama mtu anahitaji info yoyote basi kuna reader ya ID itayomwaga data zote...

Maybe kutakuwa na version ya pili ya hii makitu huko mbeleni...
 
Wanasheria wa bongo ni njaa tu!! Heeee mimi hata hicho kitambulisho cha taifa sina, itabidi nikivizie Mwanza.

Usiombe ukutane na viongozi warafi na wazinzi kama hawa wa CCM na wakurungezi wao, wanapenda sana anasa, magari yao V8, BMW, yanakula mafuta hatari liter 1 km 4-5, ni lazima wafirisi mifuko.
Starehe na uzinzi ni gharama je wanatoa wapi pesa?? Mbona wengine tunazisaka masaa 16 hatupati kitu?
kweli mkuu umetoa hoja yenye mashiko safi sana
 
Back
Top Bottom