Vitabu vitakatifu vimekataza kuabudu miungu. Je, kuanzisha uchifu siyo kupingana na maagizo ya Mungu? Wanasiasa mnamkufuru Mungu

Hee we unaakili hata moja kweli?walimu wote ni zao la African Educated Elites walioandaliwa na shule za kikristu chini ya utawala wa kikoloni na walichofundishwa na kupandikizwa ilikuwa ni elimu ya ulaya na siyo ya Afrika baadae ndicho walikuja kukipandikiza kwenu wajinga kama wewe kwa faida ya wakoloni.

Ndipo mmezaliwa mara yapili ndani ya imani za western countries
Naona pointi yako sasa kwamba elimu yako ya ^Afrika asilia,^ umeweza kuvumbua mtandao wa JF na kutengeneza smartphone yako and so forth.

You must be a wasted, defective robot or something, si bure!
 
Nchi imekuwa ngumu kutawalika, tunawatafuta machifu Kwa lengo lakuwatumia Kwenye Siasa 2025. Hii inatokana na ukweli kwamba wale wanaoitwa machifu siyo viongozi wa kimila Bali ni wazee wastaafu wenye kadi ya Chama cha Mapinduzi. It's like Jumuiya ya wazazi imeshindwa kuaminika nakufanya kazi sasa wametafuta wazee flan flan aidha wa vyombo vya usalama au wazee maarufu nakuwafanya machifu wakiamini 2025 matamko ya machifu yatapunguza nguvu ya uponzani.

Lakini jambo la pili uchifu unamiiko yake ambayo ni kinyume kabisa na miiko ya KIKRISTO na KIISLAM. Machifu wanaamini kwenye mizimu. Lakini fuatilia majina ya machifu wote wanaotajwa, wengi Wana majina ya kiislam au Ukristo Jambo linaloashiria kwamba Hawa siyo machifu maana wanakosa sifa kuu ya uchifu ambayo ni kuabudu Miungu. Chief kwa mfano akina Fundikira huko Tabora, wanao mfumo wao wa kusali, kutoa Sadaka na kuomba Toba. Vyote hivi havielekezwi Kwa Mungu vinaenda Kwa Miungu.

Nataka kusema hivi; Hawa chiefs wamegawanywa mostly Kwa Kanda. Na kama nilivyorleza hapo juu tunaowaita machifu siyo machifu Bali ni viongozi wa siasa wenye mrengo wa CCM waliopewa jukumu lakisiasa 2025 na Sasa wapo kwenye majaribio. Chiefs wengi hawana nguvu ya kiuchumi kuweza kusafiri kutoka Kanda zote kwenda Mwanza na Kilimanjaro, wamelipiwa na serikali na walilipiwa na serikali. Kwanini wanalipiwa ni kwa Sababu siyo wao wanaoandaa tamasha na hawana economic power yakuandaa tamasha Bali serikali inaandaa tamasha Kisha wanaalikwa na ndiyo maana unaona imetoka short notice na wamesafiri.

Lakini pia Kwa wale tuliowahi kufanya kazi kwenye mashirika tutakubaliana kwamba hii ni Mbinu ya viongozi wachache wasio na patriotism kutengeneza Mbinu za kupata pesa. Wapo watumishi wamekaa Kilimanjaro more than 14 days wanaandaa tamasha, wapo waliopewa tenda nk hii yote nikutafuta ada ya Januari watoto wakasome bila usumbufu na Januari isionekane Kama mwezi wa kabeji kwao.

Kwa kuwa tumeanza kuona umuhimu wa kuandaa utawala wa kikanda, ni vyema pia tukaamua Sasa kwamba sera ya Majimbo ni sera sahihi kwenye ugatuzi wa Madaraka. Tukiendelea kutumia fedha za Umma kwenye matamasha ya machifu tutaitia nchi hasara Kwa watu wachache kunufaika na haya machaka. Twende tukaestablish Majimbo tuteue masenetor wasimamie hizi zones tunazotaka kufufua nazo uchief.

Ukijiuliza tamasha limetumia kiasi gani na limeingiza kiasi gani utapata kichefuchefu, watu wamekatwa tozo zikaandae tamasha lisilo na tija. Na viongozi wa Dini Ili nijaribu la kiimani kwenu. Mnapohubiri tusiabudu MIUNGU MINGINE ILA MUNGU jitahidini mbapoona waumini wenu wameanza kuabudu Miungu MINGINE basi watengeni na Kanisa au misikiti kuepusha nyumba za ibada kuingiliwa na Miungu.

Tumewaona wanasiasa wanavyosherekea Miungu ya uchifu kwanini tusizame rohoni tukaomba ujasiri wa kuhubiri kuwakanya? Kama tunaamini wanachoabudu na kukitukuza kina usahihi basi Anzeni upya kutufundisha hiyo Miungu MINGINE ni ipi?
Another brainwashed creature..hivi hizi dini za waarabu na wazungu ndio zimewaharibu hivyo..hadi mnaona asili yenu haifai wakati babu na bibi zenu waliishi hadi ninyi mkazaliwa..hii nchi haisongi mbele mana tumeacha asili yetu.

Kosa kubwa sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Nchi imekuwa ngumu kutawalika, tunawatafuta machifu Kwa lengo lakuwatumia Kwenye Siasa 2025. Hii inatokana na ukweli kwamba wale wanaoitwa machifu siyo viongozi wa kimila Bali ni wazee wastaafu wenye kadi ya Chama cha Mapinduzi. It's like Jumuiya ya wazazi imeshindwa kuaminika nakufanya kazi sasa wametafuta wazee flan flan aidha wa vyombo vya usalama au wazee maarufu nakuwafanya machifu wakiamini 2025 matamko ya machifu yatapunguza nguvu ya uponzani.

Lakini jambo la pili uchifu unamiiko yake ambayo ni kinyume kabisa na miiko ya KIKRISTO na KIISLAM. Machifu wanaamini kwenye mizimu. Lakini fuatilia majina ya machifu wote wanaotajwa, wengi Wana majina ya kiislam au Ukristo Jambo linaloashiria kwamba Hawa siyo machifu maana wanakosa sifa kuu ya uchifu ambayo ni kuabudu Miungu. Chief kwa mfano akina Fundikira huko Tabora, wanao mfumo wao wa kusali, kutoa Sadaka na kuomba Toba. Vyote hivi havielekezwi Kwa Mungu vinaenda Kwa Miungu.

Nataka kusema hivi; Hawa chiefs wamegawanywa mostly Kwa Kanda. Na kama nilivyorleza hapo juu tunaowaita machifu siyo machifu Bali ni viongozi wa siasa wenye mrengo wa CCM waliopewa jukumu lakisiasa 2025 na Sasa wapo kwenye majaribio. Chiefs wengi hawana nguvu ya kiuchumi kuweza kusafiri kutoka Kanda zote kwenda Mwanza na Kilimanjaro, wamelipiwa na serikali na walilipiwa na serikali. Kwanini wanalipiwa ni kwa Sababu siyo wao wanaoandaa tamasha na hawana economic power yakuandaa tamasha Bali serikali inaandaa tamasha Kisha wanaalikwa na ndiyo maana unaona imetoka short notice na wamesafiri.

Lakini pia Kwa wale tuliowahi kufanya kazi kwenye mashirika tutakubaliana kwamba hii ni Mbinu ya viongozi wachache wasio na patriotism kutengeneza Mbinu za kupata pesa. Wapo watumishi wamekaa Kilimanjaro more than 14 days wanaandaa tamasha, wapo waliopewa tenda nk hii yote nikutafuta ada ya Januari watoto wakasome bila usumbufu na Januari isionekane Kama mwezi wa kabeji kwao.

Kwa kuwa tumeanza kuona umuhimu wa kuandaa utawala wa kikanda, ni vyema pia tukaamua Sasa kwamba sera ya Majimbo ni sera sahihi kwenye ugatuzi wa Madaraka. Tukiendelea kutumia fedha za Umma kwenye matamasha ya machifu tutaitia nchi hasara Kwa watu wachache kunufaika na haya machaka. Twende tukaestablish Majimbo tuteue masenetor wasimamie hizi zones tunazotaka kufufua nazo uchief.

Ukijiuliza tamasha limetumia kiasi gani na limeingiza kiasi gani utapata kichefuchefu, watu wamekatwa tozo zikaandae tamasha lisilo na tija. Na viongozi wa Dini Ili nijaribu la kiimani kwenu. Mnapohubiri tusiabudu MIUNGU MINGINE ILA MUNGU jitahidini mbapoona waumini wenu wameanza kuabudu Miungu MINGINE basi watengeni na Kanisa au misikiti kuepusha nyumba za ibada kuingiliwa na Miungu.

Tumewaona wanasiasa wanavyosherekea Miungu ya uchifu kwanini tusizame rohoni tukaomba ujasiri wa kuhubiri kuwakanya? Kama tunaamini wanachoabudu na kukitukuza kina usahihi basi Anzeni upya kutufundisha hiyo Miungu MINGINE ni ipi?
Unamaanisha hivi viatabu vya wazungu na waarabu yaani biblia na Quran ndo vitabu vitakatifu Ila vyetu si vitakatifu. Aise huu ukoloni sijui utaisha link.
 
Nchi imekuwa ngumu kutawalika, tunawatafuta machifu Kwa lengo lakuwatumia Kwenye Siasa 2025. Hii inatokana na ukweli kwamba wale wanaoitwa machifu siyo viongozi wa kimila Bali ni wazee wastaafu wenye kadi ya Chama cha Mapinduzi. It's like Jumuiya ya wazazi imeshindwa kuaminika nakufanya kazi sasa wametafuta wazee fulan fulan aidha wa vyombo vya usalama au wazee maarufu nakuwafanya machifu wakiamini 2025 matamko ya machifu yatapunguza nguvu ya uponzani.

Lakini jambo la pili uchifu unamiiko yake ambayo ni kinyume kabisa na miiko ya KIKRISTO na KIISLAM. Machifu wanaamini kwenye mizimu. Lakini fuatilia majina ya machifu wote wanaotajwa, wengi Wana majina ya kiislam au Ukristo Jambo linaloashiria kwamba Hawa siyo machifu maana wanakosa sifa kuu ya uchifu ambayo ni kuabudu Miungu. Chief kwa mfano akina Fundikira huko Tabora, wanao mfumo wao wa kusali, kutoa Sadaka na kuomba Toba. Vyote hivi havielekezwi Kwa Mungu vinaenda Kwa Miungu.

Nataka kusema hivi; Hawa chiefs wamegawanywa mostly Kwa Kanda. Na kama nilivyorleza hapo juu tunaowaita machifu siyo machifu Bali ni viongozi wa siasa wenye mrengo wa CCM waliopewa jukumu lakisiasa 2025 na Sasa wapo kwenye majaribio. Chiefs wengi hawana nguvu ya kiuchumi kuweza kusafiri kutoka Kanda zote kwenda Mwanza na Kilimanjaro, wamelipiwa na serikali na walilipiwa na serikali. Kwanini wanalipiwa ni kwa Sababu siyo wao wanaoandaa tamasha na hawana economic power yakuandaa tamasha Bali serikali inaandaa tamasha Kisha wanaalikwa na ndiyo maana unaona imetoka short notice na wamesafiri.

Lakini pia Kwa wale tuliowahi kufanya kazi kwenye mashirika tutakubaliana kwamba hii ni Mbinu ya viongozi wachache wasio na patriotism kutengeneza Mbinu za kupata pesa. Wapo watumishi wamekaa Kilimanjaro more than 14 days wanaandaa tamasha, wapo waliopewa tenda nk hii yote nikutafuta ada ya Januari watoto wakasome bila usumbufu na Januari isionekane Kama mwezi wa kabeji kwao.

Kwa kuwa tumeanza kuona umuhimu wa kuandaa utawala wa kikanda, ni vyema pia tukaamua Sasa kwamba sera ya Majimbo ni sera sahihi kwenye ugatuzi wa Madaraka. Tukiendelea kutumia fedha za Umma kwenye matamasha ya machifu tutaitia nchi hasara Kwa watu wachache kunufaika na haya machaka. Twende tukaestablish Majimbo tuteue masenetor wasimamie hizi zones tunazotaka kufufua nazo uchief.

Ukijiuliza tamasha limetumia kiasi gani na limeingiza kiasi gani utapata kichefuchefu, watu wamekatwa tozo zikaandae tamasha lisilo na tija. Na viongozi wa Dini Ili nijaribu la kiimani kwenu. Mnapohubiri tusiabudu MIUNGU MINGINE ILA MUNGU jitahidini mbapoona waumini wenu wameanza kuabudu Miungu MINGINE basi watengeni na Kanisa au misikiti kuepusha nyumba za ibada kuingiliwa na Miungu.

Tumewaona wanasiasa wanavyosherekea Miungu ya uchifu kwanini tusizame rohoni tukaomba ujasiri wa kuhubiri kuwakanya? Kama tunaamini wanachoabudu na kukitukuza kina usahihi basi Anzeni upya kutufundisha hiyo Miungu MINGINE ni ipi?
Kitabu gani umesoma mkuu?
 
Umeandika niliyotaka kuandika, na hii ndio maana halisi ya kuwa brainwashed.. Kila kitu chenye asili yetu tunakichukia na kuona hakina maana na mbaya zaidi wale waliowatesa na kuwaua wazee wetu ndio wametuelekeza namna ya kumjua MUNGU

Lakini huo uchifu ulifutwa na Nyerere alipokuwa anapambana kuondoa ukabila na akafanikiwa sasa kurudisha uchifu inamaana tunataka kurudisha ukabila na je kwanini sheria iliyofuta uchifu habadilishwi maana ilivyo sasa kufanya kazi za uchifu ni kosa la jinai kwa mujibu wa sheria za nchi yetu. Sasa nani atalinda katiba na sheria zetu kama zinakiukwa mchana kweupe namna hii
 
Hee we unaakili hata moja kweli?walimu wote ni zao la African Educated Elites walioandaliwa na shule za kikristu chini ya utawala wa kikoloni na walichofundishwa na kupandikizwa ilikuwa ni elimu ya ulaya na siyo ya Afrika baadae ndicho walikuja kukipandikiza kwenu wajinga kama wewe kwa faida ya wakoloni.

Ndipo mmezaliwa mara yapili ndani ya imani za western countries
Unaweza kuwa sahihi. Huko Kaskazini mwa Nigeria baadhi ya watu wamekuwa na mawazo kama yako. Wakaamua njia ya mkato ni kuanzisha vuguvugu la boko haram. Naona hakuna utulivu tena. Sasa unashauri tufanyeje baada ya kuingizwa mkenge na wazungu na/au waarabu
 
Nchi imekuwa ngumu kutawalika, tunawatafuta machifu Kwa lengo lakuwatumia Kwenye Siasa 2025. Hii inatokana na ukweli kwamba wale wanaoitwa machifu siyo viongozi wa kimila Bali ni wazee wastaafu wenye kadi ya Chama cha Mapinduzi. It's like Jumuiya ya wazazi imeshindwa kuaminika nakufanya kazi sasa wametafuta wazee fulan fulan aidha wa vyombo vya usalama au wazee maarufu nakuwafanya machifu wakiamini 2025 matamko ya machifu yatapunguza nguvu ya uponzani.

Lakini jambo la pili uchifu unamiiko yake ambayo ni kinyume kabisa na miiko ya KIKRISTO na KIISLAM. Machifu wanaamini kwenye mizimu. Lakini fuatilia majina ya machifu wote wanaotajwa, wengi Wana majina ya kiislam au Ukristo Jambo linaloashiria kwamba Hawa siyo machifu maana wanakosa sifa kuu ya uchifu ambayo ni kuabudu Miungu. Chief kwa mfano akina Fundikira huko Tabora, wanao mfumo wao wa kusali, kutoa Sadaka na kuomba Toba. Vyote hivi havielekezwi Kwa Mungu vinaenda Kwa Miungu.

Nataka kusema hivi; Hawa chiefs wamegawanywa mostly Kwa Kanda. Na kama nilivyorleza hapo juu tunaowaita machifu siyo machifu Bali ni viongozi wa siasa wenye mrengo wa CCM waliopewa jukumu lakisiasa 2025 na Sasa wapo kwenye majaribio. Chiefs wengi hawana nguvu ya kiuchumi kuweza kusafiri kutoka Kanda zote kwenda Mwanza na Kilimanjaro, wamelipiwa na serikali na walilipiwa na serikali. Kwanini wanalipiwa ni kwa Sababu siyo wao wanaoandaa tamasha na hawana economic power yakuandaa tamasha Bali serikali inaandaa tamasha Kisha wanaalikwa na ndiyo maana unaona imetoka short notice na wamesafiri.

Lakini pia Kwa wale tuliowahi kufanya kazi kwenye mashirika tutakubaliana kwamba hii ni Mbinu ya viongozi wachache wasio na patriotism kutengeneza Mbinu za kupata pesa. Wapo watumishi wamekaa Kilimanjaro more than 14 days wanaandaa tamasha, wapo waliopewa tenda nk hii yote nikutafuta ada ya Januari watoto wakasome bila usumbufu na Januari isionekane Kama mwezi wa kabeji kwao.

Kwa kuwa tumeanza kuona umuhimu wa kuandaa utawala wa kikanda, ni vyema pia tukaamua Sasa kwamba sera ya Majimbo ni sera sahihi kwenye ugatuzi wa Madaraka. Tukiendelea kutumia fedha za Umma kwenye matamasha ya machifu tutaitia nchi hasara Kwa watu wachache kunufaika na haya machaka. Twende tukaestablish Majimbo tuteue masenetor wasimamie hizi zones tunazotaka kufufua nazo uchief.

Ukijiuliza tamasha limetumia kiasi gani na limeingiza kiasi gani utapata kichefuchefu, watu wamekatwa tozo zikaandae tamasha lisilo na tija. Na viongozi wa Dini Ili nijaribu la kiimani kwenu. Mnapohubiri tusiabudu MIUNGU MINGINE ILA MUNGU jitahidini mbapoona waumini wenu wameanza kuabudu Miungu MINGINE basi watengeni na Kanisa au misikiti kuepusha nyumba za ibada kuingiliwa na Miungu.

Tumewaona wanasiasa wanavyosherekea Miungu ya uchifu kwanini tusizame rohoni tukaomba ujasiri wa kuhubiri kuwakanya? Kama tunaamini wanachoabudu na kukitukuza kina usahihi basi Anzeni upya kutufundisha hiyo Miungu MINGINE ni ipi?
We need emancipation of mental slavery
 
Nchi imekuwa ngumu kutawalika, tunawatafuta machifu Kwa lengo lakuwatumia Kwenye Siasa 2025. Hii inatokana na ukweli kwamba wale wanaoitwa machifu siyo viongozi wa kimila Bali ni wazee wastaafu wenye kadi ya Chama cha Mapinduzi. It's like Jumuiya ya wazazi imeshindwa kuaminika nakufanya kazi sasa wametafuta wazee fulan fulan aidha wa vyombo vya usalama au wazee maarufu nakuwafanya machifu wakiamini 2025 matamko ya machifu yatapunguza nguvu ya uponzani.

Lakini jambo la pili uchifu unamiiko yake ambayo ni kinyume kabisa na miiko ya KIKRISTO na KIISLAM. Machifu wanaamini kwenye mizimu. Lakini fuatilia majina ya machifu wote wanaotajwa, wengi Wana majina ya kiislam au Ukristo Jambo linaloashiria kwamba Hawa siyo machifu maana wanakosa sifa kuu ya uchifu ambayo ni kuabudu Miungu. Chief kwa mfano akina Fundikira huko Tabora, wanao mfumo wao wa kusali, kutoa Sadaka na kuomba Toba. Vyote hivi havielekezwi Kwa Mungu vinaenda Kwa Miungu.

Nataka kusema hivi; Hawa chiefs wamegawanywa mostly Kwa Kanda. Na kama nilivyorleza hapo juu tunaowaita machifu siyo machifu Bali ni viongozi wa siasa wenye mrengo wa CCM waliopewa jukumu lakisiasa 2025 na Sasa wapo kwenye majaribio. Chiefs wengi hawana nguvu ya kiuchumi kuweza kusafiri kutoka Kanda zote kwenda Mwanza na Kilimanjaro, wamelipiwa na serikali na walilipiwa na serikali. Kwanini wanalipiwa ni kwa Sababu siyo wao wanaoandaa tamasha na hawana economic power yakuandaa tamasha Bali serikali inaandaa tamasha Kisha wanaalikwa na ndiyo maana unaona imetoka short notice na wamesafiri.

Lakini pia Kwa wale tuliowahi kufanya kazi kwenye mashirika tutakubaliana kwamba hii ni Mbinu ya viongozi wachache wasio na patriotism kutengeneza Mbinu za kupata pesa. Wapo watumishi wamekaa Kilimanjaro more than 14 days wanaandaa tamasha, wapo waliopewa tenda nk hii yote nikutafuta ada ya Januari watoto wakasome bila usumbufu na Januari isionekane Kama mwezi wa kabeji kwao.

Kwa kuwa tumeanza kuona umuhimu wa kuandaa utawala wa kikanda, ni vyema pia tukaamua Sasa kwamba sera ya Majimbo ni sera sahihi kwenye ugatuzi wa Madaraka. Tukiendelea kutumia fedha za Umma kwenye matamasha ya machifu tutaitia nchi hasara Kwa watu wachache kunufaika na haya machaka. Twende tukaestablish Majimbo tuteue masenetor wasimamie hizi zones tunazotaka kufufua nazo uchief.

Ukijiuliza tamasha limetumia kiasi gani na limeingiza kiasi gani utapata kichefuchefu, watu wamekatwa tozo zikaandae tamasha lisilo na tija. Na viongozi wa Dini Ili nijaribu la kiimani kwenu. Mnapohubiri tusiabudu MIUNGU MINGINE ILA MUNGU jitahidini mbapoona waumini wenu wameanza kuabudu Miungu MINGINE basi watengeni na Kanisa au misikiti kuepusha nyumba za ibada kuingiliwa na Miungu.

Tumewaona wanasiasa wanavyosherekea Miungu ya uchifu kwanini tusizame rohoni tukaomba ujasiri wa kuhubiri kuwakanya? Kama tunaamini wanachoabudu na kukitukuza kina usahihi basi Anzeni upya kutufundisha hiyo Miungu MINGINE ni ipi?
Ngoja Ukame na Majanga yaipate Nchi ndio watamjua MUNGU
 
Hawa watu wanaamini katika ushirikina ili wakalie nafasi walizopo, unapowaasa kuhusu Mungu ni sawasawa na kumpigia mbuzi gitaa.........
 
Nchi imekuwa ngumu kutawalika, tunawatafuta machifu Kwa lengo lakuwatumia Kwenye Siasa 2025. Hii inatokana na ukweli kwamba wale wanaoitwa machifu siyo viongozi wa kimila Bali ni wazee wastaafu wenye kadi ya Chama cha Mapinduzi. It's like Jumuiya ya wazazi imeshindwa kuaminika nakufanya kazi sasa wametafuta wazee fulan fulan aidha wa vyombo vya usalama au wazee maarufu nakuwafanya machifu wakiamini 2025 matamko ya machifu yatapunguza nguvu ya uponzani.

Lakini jambo la pili uchifu unamiiko yake ambayo ni kinyume kabisa na miiko ya KIKRISTO na KIISLAM. Machifu wanaamini kwenye mizimu. Lakini fuatilia majina ya machifu wote wanaotajwa, wengi Wana majina ya kiislam au Ukristo Jambo linaloashiria kwamba Hawa siyo machifu maana wanakosa sifa kuu ya uchifu ambayo ni kuabudu Miungu. Chief kwa mfano akina Fundikira huko Tabora, wanao mfumo wao wa kusali, kutoa Sadaka na kuomba Toba. Vyote hivi havielekezwi Kwa Mungu vinaenda Kwa Miungu.

Nataka kusema hivi; Hawa chiefs wamegawanywa mostly Kwa Kanda. Na kama nilivyorleza hapo juu tunaowaita machifu siyo machifu Bali ni viongozi wa siasa wenye mrengo wa CCM waliopewa jukumu lakisiasa 2025 na Sasa wapo kwenye majaribio. Chiefs wengi hawana nguvu ya kiuchumi kuweza kusafiri kutoka Kanda zote kwenda Mwanza na Kilimanjaro, wamelipiwa na serikali na walilipiwa na serikali. Kwanini wanalipiwa ni kwa Sababu siyo wao wanaoandaa tamasha na hawana economic power yakuandaa tamasha Bali serikali inaandaa tamasha Kisha wanaalikwa na ndiyo maana unaona imetoka short notice na wamesafiri.

Lakini pia Kwa wale tuliowahi kufanya kazi kwenye mashirika tutakubaliana kwamba hii ni Mbinu ya viongozi wachache wasio na patriotism kutengeneza Mbinu za kupata pesa. Wapo watumishi wamekaa Kilimanjaro more than 14 days wanaandaa tamasha, wapo waliopewa tenda nk hii yote nikutafuta ada ya Januari watoto wakasome bila usumbufu na Januari isionekane Kama mwezi wa kabeji kwao.

Kwa kuwa tumeanza kuona umuhimu wa kuandaa utawala wa kikanda, ni vyema pia tukaamua Sasa kwamba sera ya Majimbo ni sera sahihi kwenye ugatuzi wa Madaraka. Tukiendelea kutumia fedha za Umma kwenye matamasha ya machifu tutaitia nchi hasara Kwa watu wachache kunufaika na haya machaka. Twende tukaestablish Majimbo tuteue masenetor wasimamie hizi zones tunazotaka kufufua nazo uchief.

Ukijiuliza tamasha limetumia kiasi gani na limeingiza kiasi gani utapata kichefuchefu, watu wamekatwa tozo zikaandae tamasha lisilo na tija. Na viongozi wa Dini Ili nijaribu la kiimani kwenu. Mnapohubiri tusiabudu MIUNGU MINGINE ILA MUNGU jitahidini mbapoona waumini wenu wameanza kuabudu Miungu MINGINE basi watengeni na Kanisa au misikiti kuepusha nyumba za ibada kuingiliwa na Miungu.

Tumewaona wanasiasa wanavyosherekea Miungu ya uchifu kwanini tusizame rohoni tukaomba ujasiri wa kuhubiri kuwakanya? Kama tunaamini wanachoabudu na kukitukuza kina usahihi basi Anzeni upya kutufundisha hiyo Miungu MINGINE ni ipi?
Huyo tayari kachagua upande kwa kumwabudu shetani msihangaike nae maana muda si mrefu atapata kinachomstahili
 
Nchi imekuwa ngumu kutawalika, tunawatafuta machifu Kwa lengo lakuwatumia Kwenye Siasa 2025. Hii inatokana na ukweli kwamba wale wanaoitwa machifu siyo viongozi wa kimila Bali ni wazee wastaafu wenye kadi ya Chama cha Mapinduzi. It's like Jumuiya ya wazazi imeshindwa kuaminika nakufanya kazi sasa wametafuta wazee fulan fulan aidha wa vyombo vya usalama au wazee maarufu nakuwafanya machifu wakiamini 2025 matamko ya machifu yatapunguza nguvu ya uponzani.

Lakini jambo la pili uchifu unamiiko yake ambayo ni kinyume kabisa na miiko ya KIKRISTO na KIISLAM. Machifu wanaamini kwenye mizimu. Lakini fuatilia majina ya machifu wote wanaotajwa, wengi Wana majina ya kiislam au Ukristo Jambo linaloashiria kwamba Hawa siyo machifu maana wanakosa sifa kuu ya uchifu ambayo ni kuabudu Miungu. Chief kwa mfano akina Fundikira huko Tabora, wanao mfumo wao wa kusali, kutoa Sadaka na kuomba Toba. Vyote hivi havielekezwi Kwa Mungu vinaenda Kwa Miungu.

Nataka kusema hivi; Hawa chiefs wamegawanywa mostly Kwa Kanda. Na kama nilivyorleza hapo juu tunaowaita machifu siyo machifu Bali ni viongozi wa siasa wenye mrengo wa CCM waliopewa jukumu lakisiasa 2025 na Sasa wapo kwenye majaribio. Chiefs wengi hawana nguvu ya kiuchumi kuweza kusafiri kutoka Kanda zote kwenda Mwanza na Kilimanjaro, wamelipiwa na serikali na walilipiwa na serikali. Kwanini wanalipiwa ni kwa Sababu siyo wao wanaoandaa tamasha na hawana economic power yakuandaa tamasha Bali serikali inaandaa tamasha Kisha wanaalikwa na ndiyo maana unaona imetoka short notice na wamesafiri.

Lakini pia Kwa wale tuliowahi kufanya kazi kwenye mashirika tutakubaliana kwamba hii ni Mbinu ya viongozi wachache wasio na patriotism kutengeneza Mbinu za kupata pesa. Wapo watumishi wamekaa Kilimanjaro more than 14 days wanaandaa tamasha, wapo waliopewa tenda nk hii yote nikutafuta ada ya Januari watoto wakasome bila usumbufu na Januari isionekane Kama mwezi wa kabeji kwao.

Kwa kuwa tumeanza kuona umuhimu wa kuandaa utawala wa kikanda, ni vyema pia tukaamua Sasa kwamba sera ya Majimbo ni sera sahihi kwenye ugatuzi wa Madaraka. Tukiendelea kutumia fedha za Umma kwenye matamasha ya machifu tutaitia nchi hasara Kwa watu wachache kunufaika na haya machaka. Twende tukaestablish Majimbo tuteue masenetor wasimamie hizi zones tunazotaka kufufua nazo uchief.

Ukijiuliza tamasha limetumia kiasi gani na limeingiza kiasi gani utapata kichefuchefu, watu wamekatwa tozo zikaandae tamasha lisilo na tija. Na viongozi wa Dini Ili nijaribu la kiimani kwenu. Mnapohubiri tusiabudu MIUNGU MINGINE ILA MUNGU jitahidini mbapoona waumini wenu wameanza kuabudu Miungu MINGINE basi watengeni na Kanisa au misikiti kuepusha nyumba za ibada kuingiliwa na Miungu.

Tumewaona wanasiasa wanavyosherekea Miungu ya uchifu kwanini tusizame rohoni tukaomba ujasiri wa kuhubiri kuwakanya? Kama tunaamini wanachoabudu na kukitukuza kina usahihi basi Anzeni upya kutufundisha hiyo Miungu MINGINE ni ipi?


Mambo ya imani tu. Kwanini vitabu vyako viwe vitakatifu na hivyo vya kimila visiwe vitakatifu! Hii imani yako binafsi haina maana ni ukweli
 
Unaandikaje uozo kama huo Mkuu kwenye nchi isiyokua na dini kwahiyo Tz saizi imekua ya kichifu tunachopinga apo ni siasa za ukanda tu basi sababu uchifu umejikita katika kanda mbalimbali,,, lakini sio kusema uchifu una uhusiano na uchawi au miungu huo ni ujinga kwa nchi kama yetu kwanini wewe unataka nchi iendeshwe kiislamu na kikristo wakati wapo wadau wa dini nyinginezo, tena ikiwa n hizo dini za asili.
 
Back
Top Bottom