Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 9,880
- 19,815
Naona pointi yako sasa kwamba elimu yako ya ^Afrika asilia,^ umeweza kuvumbua mtandao wa JF na kutengeneza smartphone yako and so forth.Hee we unaakili hata moja kweli?walimu wote ni zao la African Educated Elites walioandaliwa na shule za kikristu chini ya utawala wa kikoloni na walichofundishwa na kupandikizwa ilikuwa ni elimu ya ulaya na siyo ya Afrika baadae ndicho walikuja kukipandikiza kwenu wajinga kama wewe kwa faida ya wakoloni.
Ndipo mmezaliwa mara yapili ndani ya imani za western countries
You must be a wasted, defective robot or something, si bure!