Vitabu vitakatifu vimekataza kuabudu miungu. Je, kuanzisha uchifu siyo kupingana na maagizo ya Mungu? Wanasiasa mnamkufuru Mungu

Nchi imekuwa ngumu kutawalika, tunawatafuta machifu Kwa lengo lakuwatumia Kwenye Siasa 2025. Hii inatokana na ukweli kwamba wale wanaoitwa machifu siyo viongozi wa kimila Bali ni wazee wastaafu wenye kadi ya Chama cha Mapinduzi. It's like Jumuiya ya wazazi imeshindwa kuaminika nakufanya kazi sasa wametafuta wazee fulan fulan aidha wa vyombo vya usalama au wazee maarufu nakuwafanya machifu wakiamini 2025 matamko ya machifu yatapunguza nguvu ya uponzani.

Lakini jambo la pili uchifu unamiiko yake ambayo ni kinyume kabisa na miiko ya KIKRISTO na KIISLAM. Machifu wanaamini kwenye mizimu. Lakini fuatilia majina ya machifu wote wanaotajwa, wengi Wana majina ya kiislam au Ukristo Jambo linaloashiria kwamba Hawa siyo machifu maana wanakosa sifa kuu ya uchifu ambayo ni kuabudu Miungu. Chief kwa mfano akina Fundikira huko Tabora, wanao mfumo wao wa kusali, kutoa Sadaka na kuomba Toba. Vyote hivi havielekezwi Kwa Mungu vinaenda Kwa Miungu.

Nataka kusema hivi; Hawa chiefs wamegawanywa mostly Kwa Kanda. Na kama nilivyorleza hapo juu tunaowaita machifu siyo machifu Bali ni viongozi wa siasa wenye mrengo wa CCM waliopewa jukumu lakisiasa 2025 na Sasa wapo kwenye majaribio. Chiefs wengi hawana nguvu ya kiuchumi kuweza kusafiri kutoka Kanda zote kwenda Mwanza na Kilimanjaro, wamelipiwa na serikali na walilipiwa na serikali. Kwanini wanalipiwa ni kwa Sababu siyo wao wanaoandaa tamasha na hawana economic power yakuandaa tamasha Bali serikali inaandaa tamasha Kisha wanaalikwa na ndiyo maana unaona imetoka short notice na wamesafiri.

Lakini pia Kwa wale tuliowahi kufanya kazi kwenye mashirika tutakubaliana kwamba hii ni Mbinu ya viongozi wachache wasio na patriotism kutengeneza Mbinu za kupata pesa. Wapo watumishi wamekaa Kilimanjaro more than 14 days wanaandaa tamasha, wapo waliopewa tenda nk hii yote nikutafuta ada ya Januari watoto wakasome bila usumbufu na Januari isionekane Kama mwezi wa kabeji kwao.

Kwa kuwa tumeanza kuona umuhimu wa kuandaa utawala wa kikanda, ni vyema pia tukaamua Sasa kwamba sera ya Majimbo ni sera sahihi kwenye ugatuzi wa Madaraka. Tukiendelea kutumia fedha za Umma kwenye matamasha ya machifu tutaitia nchi hasara Kwa watu wachache kunufaika na haya machaka. Twende tukaestablish Majimbo tuteue masenetor wasimamie hizi zones tunazotaka kufufua nazo uchief.

Ukijiuliza tamasha limetumia kiasi gani na limeingiza kiasi gani utapata kichefuchefu, watu wamekatwa tozo zikaandae tamasha lisilo na tija. Na viongozi wa Dini Ili nijaribu la kiimani kwenu. Mnapohubiri tusiabudu MIUNGU MINGINE ILA MUNGU jitahidini mbapoona waumini wenu wameanza kuabudu Miungu MINGINE basi watengeni na Kanisa au misikiti kuepusha nyumba za ibada kuingiliwa na Miungu.

Tumewaona wanasiasa wanavyosherekea Miungu ya uchifu kwanini tusizame rohoni tukaomba ujasiri wa kuhubiri kuwakanya? Kama tunaamini wanachoabudu na kukitukuza kina usahihi basi Anzeni upya kutufundisha hiyo Miungu MINGINE ni ipi?
WAPINZANI wa Rais SSH hamna hoja kwa kuwa Mama anaupiga mwingi , mumeishia kuchukua NON ISSUES na kuzifanya kuwa ndiyo UKOSIAJI. Kimsingi Uchifu wenye AUTHORITY ulifutwa wakati wa Nyerere. Ila bado makabila yanawaheshimu Machifu katika mambo ya kimila. Na hakuna kabila lisilo na Mila. Pili Rais Samia siyo wa kwanza kusimikwa Uchifu wa makabila mbalimbali. Angalia hapa Mbowe, Mnyika na Lissu

Screenshot_20220123-202217.png


Screenshot_20220123-202247.png


Screenshot_20220123-202140.png
 
Unaandikaje uozo kama huo Mkuu kwenye nchi isiyokua na dini kwahiyo Tz saizi imekua ya kichifu tunachopinga apo ni siasa za ukanda tu basi sababu uchifu umejikita katika kanda mbalimbali,,, lakini sio kusema uchifu una uhusiano na uchawi au miungu huo ni ujinga kwa nchi kama yetu kwanini wewe unataka nchi iendeshwe kiislamu na kikristo wakati wapo wadau wa dini nyinginezo, tena ikiwa n hizo dini za asili.
Hivi afrika kabla wazungu na waarabu kutuletea
Dini zao
Sisi tulikuwa tunamuomba mungu gani????
Beatrice Kamugisha

Ova
 
WAPINZANI wa Rais SSH hamna hoja kwa kuwa Mama anaupiga mwingi , mumeishia kuchukua NON ISSUES na kuzifanya kuwa ndiyo UKOSIAJI. Kimsingi Uchifu wenye AUTHORITY ulifutwa wakati wa Nyerere. Ila bado makabila yanawaheshimu Machifu katika mambo ya kimila. Na hakuna kabila lisilo na Mila. Pili Rais Samia siyo wa kwanza kusimikwa Uchifu wa makabila mbalimbali. Angalia hapa Mbowe, Mnyika na Lissu

View attachment 2093106

View attachment 2093107

View attachment 2093108
Beatrice Kamugisha

Ova
 
Hivyo vitabu vyenu vinaitwaje?
Hizi mentality mtatawaliwa Sana mpaka mtakoma. Ndo Mana m anirhara Sana unakuta mtu anatana kitu flani kwa kiswahili na anachomekea hapohapo halafu anaita eti kwa lugha ya kitaalamu. Kwa hiyo wazungu ndo Wana lugha ya kitaalamu sisi hatuna!!
 
Nchi imekuwa ngumu kutawalika, tunawatafuta machifu Kwa lengo lakuwatumia Kwenye Siasa 2025. Hii inatokana na ukweli kwamba wale wanaoitwa machifu siyo viongozi wa kimila Bali ni wazee wastaafu wenye kadi ya Chama cha Mapinduzi. It's like Jumuiya ya wazazi imeshindwa kuaminika nakufanya kazi sasa wametafuta wazee fulan fulan aidha wa vyombo vya usalama au wazee maarufu nakuwafanya machifu wakiamini 2025 matamko ya machifu yatapunguza nguvu ya uponzani.

Lakini jambo la pili uchifu unamiiko yake ambayo ni kinyume kabisa na miiko ya KIKRISTO na KIISLAM. Machifu wanaamini kwenye mizimu. Lakini fuatilia majina ya machifu wote wanaotajwa, wengi Wana majina ya kiislam au Ukristo Jambo linaloashiria kwamba Hawa siyo machifu maana wanakosa sifa kuu ya uchifu ambayo ni kuabudu Miungu. Chief kwa mfano akina Fundikira huko Tabora, wanao mfumo wao wa kusali, kutoa Sadaka na kuomba Toba. Vyote hivi havielekezwi Kwa Mungu vinaenda Kwa Miungu.

Nataka kusema hivi; Hawa chiefs wamegawanywa mostly Kwa Kanda. Na kama nilivyorleza hapo juu tunaowaita machifu siyo machifu Bali ni viongozi wa siasa wenye mrengo wa CCM waliopewa jukumu lakisiasa 2025 na Sasa wapo kwenye majaribio. Chiefs wengi hawana nguvu ya kiuchumi kuweza kusafiri kutoka Kanda zote kwenda Mwanza na Kilimanjaro, wamelipiwa na serikali na walilipiwa na serikali. Kwanini wanalipiwa ni kwa Sababu siyo wao wanaoandaa tamasha na hawana economic power yakuandaa tamasha Bali serikali inaandaa tamasha Kisha wanaalikwa na ndiyo maana unaona imetoka short notice na wamesafiri.

Lakini pia Kwa wale tuliowahi kufanya kazi kwenye mashirika tutakubaliana kwamba hii ni Mbinu ya viongozi wachache wasio na patriotism kutengeneza Mbinu za kupata pesa. Wapo watumishi wamekaa Kilimanjaro more than 14 days wanaandaa tamasha, wapo waliopewa tenda nk hii yote nikutafuta ada ya Januari watoto wakasome bila usumbufu na Januari isionekane Kama mwezi wa kabeji kwao.

Kwa kuwa tumeanza kuona umuhimu wa kuandaa utawala wa kikanda, ni vyema pia tukaamua Sasa kwamba sera ya Majimbo ni sera sahihi kwenye ugatuzi wa Madaraka. Tukiendelea kutumia fedha za Umma kwenye matamasha ya machifu tutaitia nchi hasara Kwa watu wachache kunufaika na haya machaka. Twende tukaestablish Majimbo tuteue masenetor wasimamie hizi zones tunazotaka kufufua nazo uchief.

Ukijiuliza tamasha limetumia kiasi gani na limeingiza kiasi gani utapata kichefuchefu, watu wamekatwa tozo zikaandae tamasha lisilo na tija. Na viongozi wa Dini Ili nijaribu la kiimani kwenu. Mnapohubiri tusiabudu MIUNGU MINGINE ILA MUNGU jitahidini mbapoona waumini wenu wameanza kuabudu Miungu MINGINE basi watengeni na Kanisa au misikiti kuepusha nyumba za ibada kuingiliwa na Miungu.

Tumewaona wanasiasa wanavyosherekea Miungu ya uchifu kwanini tusizame rohoni tukaomba ujasiri wa kuhubiri kuwakanya? Kama tunaamini wanachoabudu na kukitukuza kina usahihi basi Anzeni upya kutufundisha hiyo Miungu MINGINE ni ipi?
Mayowe mengi sana
Kwani vitabu hivyo havikukataza uongo na uzinzi pia?

Hebu kuweni na akili kidogo
 
Hizi mentality mtatawaliwa Sana mpaka mtakoma. Ndo Mana m anirhara Sana unakuta mtu anatana kitu flani kwa kiswahili na anachomekea hapohapo halafu anaita eti kwa lugha ya kitaalamu. Kwa hiyo wazungu ndo Wana lugha ya kitaalamu sisi hatuna!!
Wewe una stress nini??
 
Hivi afrika kabla wazungu na waarabu kutuletea
Dini zao
Sisi tulikuwa tunamuomba mungu gani????
Beatrice Kamugisha

Ova
Tulikua tunaamini katika Mungu, miungu yetu ya asili, lakin kuna wengine waliamini mizimu, majini na kufanya matambiko n.k, labda nimuombe alieandika thread akasome vizuri kuhusu ATR pamoja na islamic and Christian religion hapo atapata majibu.
 
Tulikua tunaamini katika Mungu, miungu yetu ya asili, lakin kuna wengine waliamini mizimu, majini na kufanya matambiko n.k, labda nimuombe alieandika thread akasome vizuri kuhusu ATR pamoja na islamic and Christian religion hapo atapata majibu.
Sawa sawa
Maana kabla wa wazungu na waarabu kuja tulikuwa tunaabudu kwa style zetu na kweli mambo yetu yalikuwa yanaenda na tulikuwa tunaishi vizuri kabisa
Waljpokuja wazungu na waarabu ndiyo waliaribu mfumo wetu wote wa maisha
Tulivurugwa kiuchumi hadi kijamii
Ndomana mpaka leo afrika tuna suasua

Ova
 
Back
Top Bottom