BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
Uongo haujawahi KAMWE kumuacha muongo salama.
Pamoja na hayo Rais Magufuli amesitiza kwamba uchumi wa nchi unaendelea kukua, na kwamba wanaosema hivyo ni waongo na wazushi, na kuwataka watanzania wawapuuze.
Pamoja na hayo Rais Magufuli amesitiza kwamba uchumi wa nchi unaendelea kukua, na kwamba wanaosema hivyo ni waongo na wazushi, na kuwataka watanzania wawapuuze.
Ndugu wananchi mliojawa na woga msiokuwa tayari kuwachukulia hatua viongozi wasiojua mbele wala nyuma ya uchumi napenda kuwapa habari mbaya za soko la mbaazi na mazao ya jamii ya kunde
Baada ya soko kunawiri msimu uliopita mpaka kufikia Tsh.2500 kwa kilo, bei katika robo hii ya mwaka imeshuka kufikia Tsh.50 mpaka Tsh.200 kwa kilo.
Jiulize mkulima unaelekea wapi,na msimu wa mvua unaotegemewa kuanza hivi karibuni utasimama wapi? Ihoji serikali yako iliyojitapa kutengeneza mazingira mazuri kwa wanunuzi wa nje na ndani pamoja na kukuza uchumi kupitia viwanda.....
Ihoji serikali nguvu inayowekeza kupambana na upinzani,Mange Kimambi,kubwatukia watumishi kwa nini isitumike kuimarisha soko la mazao?