Vita ya Uchumi: Bei ya mbaazi yashuka hadi kufikia Tsh.50 - Tsh.200 kwa kilo

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,191
103,715
Ndugu wananchi mliojawa na woga msiokuwa tayari kuwachukulia hatua viongozi wasiojua mbele wala nyuma ya uchumi napenda kuwapa habari mbaya za soko la mbaazi na mazao ya jamii ya kunde

Baada ya soko kunawiri msimu uliopita mpaka kufikia Tsh.2500 kwa kilo, bei katika robo hii ya mwaka imeshuka kufikia Tsh.50 mpaka Tsh.200 kwa kilo.

Jiulize mkulima unaelekea wapi,na msimu wa mvua unaotegemewa kuanza hivi karibuni utasimama wapi? Ihoji serikali yako iliyojitapa kutengeneza mazingira mazuri kwa wanunuzi wa nje na ndani pamoja na kukuza uchumi kupitia viwanda.....

Ihoji serikali nguvu inayowekeza kupambana na upinzani,Mange Kimambi,kubwatukia watumishi kwa nini isitumike kuimarisha soko la mazao?

Mpumbavu ni wewe Wilaya ya Masasi Mbaazi zinauzwa Tsh 150/= na hakuna Mnunuzi watu wameacha Mbaazi Shambani bila kuzivuna hawaoni faida................Mimi silimi tena......baada ya kukusa Soko la Tangawizi Gunia mia mbili nilikosa soko................
BILA SOKO, MAJI YA UHAKIKA, MTAJI SILIMI..........HATA KAMA SINA KAZI............
 
Ndugu wananchi mliojawa na woga msiokuwa tayari kuwachukulia hatua viongozi wasiojua mbele wala nyuma ya uchumi napenda kuwapa habari mbaya za soko la mbaazi na mazao ya jamii ya kunde

Baada ya soko kunawiri msimu uliopita mpaka kufikia Tsh.2500 kwa kilo, bei katika robo hii ya mwaka imeshuka kufikia Tsh.50 mpaka Tsh.200 kwa kilo.

Jiulize mkulima unaelekea wapi,na msimu wa mvua unaotegemewa kuanza hivi karibuni utasimama wapi? Ihoji serikali yako iliyojitapa kutengeneza mazingira mazuri kwa wanunuzi wa nje na ndani pamoja na kukuza uchumi kupitia viwanda.....

Ihoji serikali nguvu inayowekeza kupambana na upinzani,Mange Kimambi,kubwatukia watumishi kwa nini isitumike kuimarisha soko la mazao?
Tshs 50/=??
Mungu tusamehe tu aisee,
 
Huu ni uongo wa KUTUPWA na wa kipumbavu mbaazi haijawahi wala haitawahi kuuzwa hiyo bei wala karibu na hiyo bei na kwa taarifa yako mbaazi yetu imepata soko nono Uingereza, Uarabuni na Africa Kusini wanazigombania kama njugu.

Njoo ununue sokoni kwa hiyo bei
 
Eti vita ya kiuchumi???, we jamaa acha kutufanya watanzania wote wajinga atujui nini kinaendelea hatukataa bei ya mbaazi imeshuka. Kwanza Impoter mkubwa wa mbaazi ya tanzania ni india kipindi hichi huko india mavuno ya mbaazi yameongezeka kuliko ilivyo tegemewa sasa goverment ya india "IMELAZIMIKA" kufanya ban kwa nchi zote ambazo kilikua hazina mikataba nayo mojawapo ni TZ hata izo inchi ambazo zinamikataba zimepewa kiwango cha kuimport india. Kwa kua TZ na sisi tupo kwenye ban ndo maana bei ya mbaazi imeshuka kwa sababu tulikua tunategemea soko la india na watanzania wengi sio walaji wa mbaazi. Sio uje utuambie vita ya kiuchumi, vita ya kiuchumi na nani???,Sometime fikiri au kama huwezi nenda kagoogle maana ya kitu/neno ambalo hulijui/ukijui (huku nilipo mbaazi 1000-1500 per 0.5kg)
NOTE:
Sio tanzania tu ndo imepata ban ya kuimport india nchi zote zilizotegemea india zimepata mathara kama hapa kwetu HII sio vita ya uchumi india wanajaribu kufanya price ya maazi kule kwao iwe nzuri wakiruhusu importaion bei ya mbaazi huko kwao itakua 100 per kg wakulima wao watalalamikia goverment
 
Naomba kujua hii bei ya tshs 50 ni mpaka masoko ya huku daslam au ni huko kwa wakulima tu? napenda sana mbaazi hii inaweza kuwa habari njema kwangu.
Mbaazi haijawahi kuuzwa hata japo 500 kwa kilo achilia mbali 200 hiyo ni siasa ya kipumbavu.

Chadema mnatakiwa mfanye siasa kwa mahesabu jf inafatiliwa mijini tu tena wanaofatilia jf hawazidi hata laki moja nchi hii tupo zaidi ya 56 million.
 
Ndugu wananchi mliojawa na woga msiokuwa tayari kuwachukulia hatua viongozi wasiojua mbele wala nyuma ya uchumi napenda kuwapa habari mbaya za soko la mbaazi na mazao ya jamii ya kunde

Baada ya soko kunawiri msimu uliopita mpaka kufikia Tsh.2500 kwa kilo, bei katika robo hii ya mwaka imeshuka kufikia Tsh.50 mpaka Tsh.200 kwa kilo.

Jiulize mkulima unaelekea wapi,na msimu wa mvua unaotegemewa kuanza hivi karibuni utasimama wapi? Ihoji serikali yako iliyojitapa kutengeneza mazingira mazuri kwa wanunuzi wa nje na ndani pamoja na kukuza uchumi kupitia viwanda.....

Ihoji serikali nguvu inayowekeza kupambana na upinzani,Mange Kimambi,kubwatukia watumishi kwa nini isitumike kuimarisha soko la mazao?
Si mlikuwa mnalalamika uchumi sio mazuri. Bei za mazao zipo juu sana pia mbaazi. Sasa zimeshuka bado mnalalamika! Hivi mnataka nini?!
 
Back
Top Bottom