Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 23,891
- 31,675
Kwa yanayoendelea.
Ni ngumu kumuona mkristo akiishabikia Iran na pia ni ngumu kumuona muislamu akiishabikia Israel.
Tena ni afadhali kwa muislamu yeye anaweza akabaki neutral ila kwa mkristo huwezi kumuona hata mmoja kwa bahati mbaya akawa upande wa Iran.
Ukitaka kuthibitisha hilo angalia hata wakristo wa humu/makafiri utagundua.
Ni ngumu kumuona mkristo akiishabikia Iran na pia ni ngumu kumuona muislamu akiishabikia Israel.
Tena ni afadhali kwa muislamu yeye anaweza akabaki neutral ila kwa mkristo huwezi kumuona hata mmoja kwa bahati mbaya akawa upande wa Iran.
Ukitaka kuthibitisha hilo angalia hata wakristo wa humu/makafiri utagundua.