Vita ya kidini inachipua chinichini

Vita ya kidini inachipua chinichini

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
23,891
Reaction score
31,675
Kwa yanayoendelea.

Ni ngumu kumuona mkristo akiishabikia Iran na pia ni ngumu kumuona muislamu akiishabikia Israel.

Tena ni afadhali kwa muislamu yeye anaweza akabaki neutral ila kwa mkristo huwezi kumuona hata mmoja kwa bahati mbaya akawa upande wa Iran.

Ukitaka kuthibitisha hilo angalia hata wakristo wa humu/makafiri utagundua.
 
Haiwezi kua ya kidini kwa sababu ushabiki maandazi wa dini upo huku bongo tu kwa mtogole!
 
Kwa yanayoendelea.

Ni ngumu kumuona mkristo akiishabikia Iran na pia ni ngumu kumuona muislamu akiishabikia Israel.

Tena ni afadhali kwa muislamu yeye anaweza akabaki neutral ila kwa mkristo huwezi kumuona hata mmoja kwa bahati mbaya akawa upande wa Iran.

Ukitaka kuthibitisha hilo angalia hata wakristo wa humu/makafiri utagundua.
Chai Mzee haujafanya tafiti vizuri
 
hakuna sehemu kwenye kitabu cha wakristo kimewaamulu waichukie Iran ila kitabu cha upande wa pili kimewamulu kuwachukiwa waislam na wakristo kwa ujumla.
furthermore vita kidini kwa hapa Tanzania imechelewa na ujinga wa wakristo maana hawajui kuwa wako vitani wakati waislam uwafundisha watoto wa kuanzia wakiwa wadogo kuwa adui zao na Allah ni wakristo na wayahudi.
 
Kwa yanayoendelea.

Ni ngumu kumuona mkristo akiishabikia Iran na pia ni ngumu kumuona muislamu akiishabikia Israel.

Tena ni afadhali kwa muislamu yeye anaweza akabaki neutral ila kwa mkristo huwezi kumuona hata mmoja kwa bahati mbaya akawa upande wa Iran.

Ukitaka kuthibitisha hilo angalia hata wakristo wa humu/makafiri utagundua.
Hao ni Wagalatia wa Nigeria na Kenya ndio wako brainwashed hivyo. Kuna wakristo wengi tu wa US, Ulaya, Africa Kusini na Tanzania wanaopinga uvamizi wa US Iran na genocide ya Israel kwa Wapalestina.
 
Ukristo haufundishi chuki, tena utakuja kitabuni pameandikwa wapendeni adui zenu. Kuruani inafundisha chuki, mafundisho yamejaa fujo na matumizi ya nguvu kumtetea allah. Duniani dini yenye chuki ni uislam, angalia wanavyoita wasio waislam ni makafiri
 
Ukristo haufundishi chuki, tena utakuja kitabuni pameandikwa wapendeni adui zenu. Kuruani inafundisha chuki, mafundisho yamejaa fujo na matumizi ya nguvu kumtetea allah. Duniani dini yenye chuki ni uislam, angalia wanavyoita wasio waislam ni makafiri
Christian Nationalists has evangelicals fanatics wa US na pia Zionists wanasapoti vurugu, chuki, ubaguzi na hata vita dhidi ya watu wa dini nyingine hasa Waislamu na Wahindu.
 
Waandishi wa habari wanaripoti taarifa kishabiki.

Watu wamechagua upande kutokana na interest zao.

Hamna shida yeyote watu kuchagua upande kwa sababu zozote.

Hizi hisia za Udini Tz zilikuepo tangu miaka ya 1950's wakati US, Israel & Iran wakiwa marafiki.
 
53D1E1E9-2E79-4325-95C3-E629A89EF7FD.jpeg
 
Back
Top Bottom