Vita vya wazalendo

Vita vya wazalendo

Jamani huyu makonda wawapi mbna mnamkondesha zaidi kwa madongo??

Mkuu.
Jamaa ni Failure wa pale chuo cha ushirika moshi aliyeamua kujipatia mkate wake kwa kuwa mnafiq na kulamba viatu vya wana siasa.
Assume mtu ana fail kwenye chuo kama ushirika then anateuliwa kwenda kushiriki mchakato wa kutunga katiba.
What a Joke ?
 
Hadi huu mwaka uishe tutaona v.mada wengi sana.....tuombe 2015 salama........hadi ma housigeli watatoka huko waliko.....uwendawazimu si mchezo??????ohooooo
 
UZALENDO ni Pamoja na Kuwa na Msimamo kwa Yale Unayoyaamini Ni Mazuri kwa Taifa bila Kujali kwamba nani anakupuuza na kwa nini Anakupuuza.


Kwenye Vita vya Uzalendo, Hata Marafiki Huwa maadui. Na wapo Marafiki ambao huanza kuhofia Hatma ya Wazalendo.


Nia Thabiti na Moyo Shupavu Pekee Vifuani Mwa Wazalendo Vitainua Taifa.


Hatutaacha Kupambana na WAFITINI wa TAIFA na MAFISADI eti sababu hatujui Hatma Yetu, Tunatengeneza Hatma ya Taifa halafu Hatma Yetu Itajitengeneza Yenyewe.


MUNGU IBARIKI TANZANIA

Kumbe ndio maana huko hivyoo!!! Usipojali wanaokupuuza na kwa nini wanakupuuza huwezi kujirekebisha kwa sababu utajiona uko sahihi wakati wote. Na huo sio uzalendo(patriotism) kama unavyofikiri, ni arrogance.

Kwenye vita vya uzalendo...we! nani kakwambia kuna vita vya uzalendo mahali popote duniani? Uzalendo watu wanafundishwa tangu utotoni ukitaka kupata wazalendo wa kweli. Uzalendo...(patriotism is love for your country and loyalty towards it). Hapa hakuna vita mkuu ni busara na hekima tu vinahitajika basi.

Eti nini?? Hatma yetu itajitengeneza yenyewe!!?? Wake up Makonda... We are masters of our own destiny. U must decide ur own destiny! Kama unasubiri hatma yako ijitengeneze yenyewe utasuburi sana mpaka utakonda.

MUNGU IBARIKI TANGANYIKA
 
UZALENDO ni Pamoja na Kuwa na Msimamo kwa Yale Unayoyaamini Ni Mazuri kwa Taifa bila Kujali kwamba nani anakupuuza na kwa nini Anakupuuza.


Kwenye Vita vya Uzalendo, Hata Marafiki Huwa maadui. Na wapo Marafiki ambao huanza kuhofia Hatma ya Wazalendo.


Nia Thabiti na Moyo Shupavu Pekee Vifuani Mwa Wazalendo Vitainua Taifa.


Hatutaacha Kupambana na WAFITINI wa TAIFA na MAFISADI eti sababu hatujui Hatma Yetu, Tunatengeneza Hatma ya Taifa halafu Hatma Yetu Itajitengeneza Yenyewe.


MUNGU IBARIKI TANZANIA

Kweli njaa mbaya sana baada ya kutumwa kumtukana Lowasa na kuzawadiwa ubunge maalum leo unakuja na Pumba.si ni wewe ulitaka iongezwe POSHO mpaka laki 5 kwa Siku? Sio wewe uliehongwa Gari na Nyumba na Mzee Sitta?Sio wewe uliembatiza Mzee sitta kuwa baba yako katika harusi yako?? Siyo wewe uliye watapeli marais wa Vyuo nauli kwenda kumuona spika wakati ukiwa chuo??? Siyo wewe uliekuwa CCJ kwa mlango wa nyuma na sasa upo Ccm na kujifanya mzalendo??? Siyo wewe uliekuwa ukimtapeli mzee Mengi na Ndesamburo pale MUCCOBS?? Uzalendo gani unaosema ??? Kijana mdogo unakuwa mnafiki??? Siyo wewe ulieitukana Ccm kwenye mkutano wa Uvccm na baadae ukafukuzwa na Sadifa katika kikao pale Dodoma??? Siyo wewe ulieenda kupiga goti kwa Ridhiwani ili upate Katibu hamasa na chipkizi wa Vijana??? Baada ya kupewa utafanya nini kipya zaidi ya kurudisha fadhila kwa waliokupatia cheo kina Ridhwani??? Huo uzalendo gani unaopigania na kuusema??? Acha unafiki kijana mdogo unaonekana ukiwa mzee lazima utakuwa mchawi
 
Makonda kalewa laki 3 kwa siku,basi anatapika tu kama hana akili njema vile.

uje huku kigamboni utuburudishe ktk kijiwe chetu bana Makonda,ututoe na pesa ya kahawa
 
UZALENDO ni Pamoja na Kuwa na Msimamo kwa Yale Unayoyaamini Ni Mazuri kwa Taifa bila Kujali kwamba nani anakupuuza na kwa nini Anakupuuza.

Kwenye Vita vya Uzalendo, Hata Marafiki Huwa maadui. Na wapo Marafiki ambao huanza kuhofia Hatma ya Wazalendo.

Nia Thabiti na Moyo Shupavu Pekee Vifuani Mwa Wazalendo Vitainua Taifa.

Hatutaacha Kupambana na WAFITINI wa TAIFA na MAFISADI eti sababu hatujui Hatma Yetu, Tunatengeneza Hatma ya Taifa halafu Hatma Yetu Itajitengeneza Yenyewe.

MUNGU IBARIKI TANZANIA
Naunga mkono hoja
 
Njoo huku jamani tujikumbushe Mambo ya Huyu Bashite hahahahaha daaaah baada ya kupewa kubwa huku akasusa JF kabisa hahahahaha tena bora usirudi tu
 
😱😱😱😱😱🙁🙁🙁😡

Kuchukua cheti cha mwingine ni kutengeneza hatma yako(ugali),halafu hatma ya taifa baadae
 
Kweli njaa mbaya sana baada ya kutumwa kumtukana Lowasa na kuzawadiwa ubunge maalum leo unakuja na Pumba.si ni wewe ulitaka iongezwe POSHO mpaka laki 5 kwa Siku? Sio wewe uliehongwa Gari na Nyumba na Mzee Sitta?Sio wewe uliembatiza Mzee sitta kuwa baba yako katika harusi yako?? Siyo wewe uliye watapeli marais wa Vyuo nauli kwenda kumuona spika wakati ukiwa chuo??? Siyo wewe uliekuwa CCJ kwa mlango wa nyuma na sasa upo Ccm na kujifanya mzalendo??? Siyo wewe uliekuwa ukimtapeli mzee Mengi na Ndesamburo pale MUCCOBS?? Uzalendo gani unaosema ??? Kijana mdogo unakuwa mnafiki??? Siyo wewe ulieitukana Ccm kwenye mkutano wa Uvccm na baadae ukafukuzwa na Sadifa katika kikao pale Dodoma??? Siyo wewe ulieenda kupiga goti kwa Ridhiwani ili upate Katibu hamasa na chipkizi wa Vijana??? Baada ya kupewa utafanya nini kipya zaidi ya kurudisha fadhila kwa waliokupatia cheo kina Ridhwani??? Huo uzalendo gani unaopigania na kuusema??? Acha unafiki kijana mdogo unaonekana ukiwa mzee lazima utakuwa mchawi
Duh 🤦🏾‍♂️
 
Ishakula kwake jamaa nlimwambia aache yale mambo ya kunyanyasa watu hakunisikia nmemuonya mara nyingi kama kaka yake

Sasa hivi anataka kukimbia nchi
 
UZALENDO ni Pamoja na Kuwa na Msimamo kwa Yale Unayoyaamini Ni Mazuri kwa Taifa bila Kujali kwamba nani anakupuuza na kwa nini Anakupuuza.


Kwenye Vita vya Uzalendo, Hata Marafiki Huwa maadui. Na wapo Marafiki ambao huanza kuhofia Hatma ya Wazalendo.


Nia Thabiti na Moyo Shupavu Pekee Vifuani Mwa Wazalendo Vitainua Taifa.


Hatutaacha Kupambana na WAFITINI wa TAIFA na MAFISADI eti sababu hatujui Hatma Yetu, Tunatengeneza Hatma ya Taifa halafu Hatma Yetu Itajitengeneza Yenyewe.


MUNGU IBARIKI TANZANIA
Hatma yetu sisi wananchi, na hatma ya Taifa vinakuwa na tofauti gani endapo Taifa linaundwa na sisi?

Siasa chuki ndizo zimetufikisha hapa. Kwa kujivika uzalendo uchwara. Sasa hao wafitini wa Taifa ndo kina nani? Wamefitini Taifa kivipi?

Msimamo wako kwa yale unayoyaona kuwa ni mazuri, yanaweza yasiwe mazuri kwa Taifa. Kwahiyo misimamo yako siyo lazima iwe ni uzalendo. Ndiyo maana ya demokrasia. Kwamba kuna mawazo tofauti na cha msingi ni kujadili kwa hoja na siyo kushutumu wengine na kujivika uzalendo.
 
Acha nitulie sehemu niwe Observer TU nione Movie inavyoendeleaaaa[/B]
 
Back
Top Bottom