Paul Makonda
Member
- Jul 8, 2011
- 97
- 186
UZALENDO ni Pamoja na Kuwa na Msimamo kwa Yale Unayoyaamini Ni Mazuri kwa Taifa bila Kujali kwamba nani anakupuuza na kwa nini Anakupuuza.
Kwenye Vita vya Uzalendo, Hata Marafiki Huwa maadui. Na wapo Marafiki ambao huanza kuhofia Hatma ya Wazalendo.
Nia Thabiti na Moyo Shupavu Pekee Vifuani Mwa Wazalendo Vitainua Taifa.
Hatutaacha Kupambana na WAFITINI wa TAIFA na MAFISADI eti sababu hatujui Hatma Yetu, Tunatengeneza Hatma ya Taifa halafu Hatma Yetu Itajitengeneza Yenyewe.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Kwenye Vita vya Uzalendo, Hata Marafiki Huwa maadui. Na wapo Marafiki ambao huanza kuhofia Hatma ya Wazalendo.
Nia Thabiti na Moyo Shupavu Pekee Vifuani Mwa Wazalendo Vitainua Taifa.
Hatutaacha Kupambana na WAFITINI wa TAIFA na MAFISADI eti sababu hatujui Hatma Yetu, Tunatengeneza Hatma ya Taifa halafu Hatma Yetu Itajitengeneza Yenyewe.
MUNGU IBARIKI TANZANIA