Badilika sasa.Hakika roho yangu inashida kubwa sana😅
Sawa mkuu nitalizingatia.Cha kuongezea hakuna mtu anayejua maisha perfectly ila ni vile tunaamua kuachilia mizigo ili muda usonge kumbuka ili uweze kusonga ni lazima uachilie baadhi ya vitu moyoni mwako ikiwezekana kupoteza marafiki au watu wako wa karibu hii itakusaidia kurejesha mindset yako ya mwanzo before kuingia kwenye faulting. Kingine anza kula vyakula vinavyozalisha HAPPY HORMONES mf.fish,Almond na Aromatic foods
Umehama maeneo hayo au bado upo? Wew unatakiwa uondoe watu flan katika maisha yako kabisa wasitokee yanNashukuru Sana mkuu,
Hii komenti imejaaa madini, hekima na busara ambazo wachache katika Dunia hii uliyo jaa husda wanayo. Nitaisoma kila asubuhi niamkapo Asante sana mkuu.
Pia mimi ni Wale wahusika nilikua napinga uwepo wa Mungu, ila kila kukicha ananikumbusha mimi si kitu, majivuno na kutaka watu wengine wanipende ni kuangamiza ukuu alio weka ndani yangu.
Ukweli nilihama ila Nahisi sikuwahi kukaa kuchakata ni kwa namna gani waliharibu saikolojia yangu. Kwa hiyo nilibeba mwili wangu ila walikua ndani ya mawazo na hicho ndo kifungo nilicho ishi nacho. Sasa naona mwanga japo ni hafifu ila naona ninaweza kuyaacha yote na kuanza upyaUmehama maeneo hayo au bado upo? Wew unatakiwa uondoe watu flan katika maisha yako kabisa wasitokee yan
Kwa eficiency ya tukio hilo itakuwa ndugu ndo wamekumenya mkuu. Sema 20 years now bado una kinyongo au kwenye matukio ya kiukoo unaenda? We ulitakiwa ufutike kabisaUkweli nilihama ila Nahisi sikuwahi kukaa kuchakata ni kwa namna gani waliharibu saikolojia yangu. Kwa hiyo nilibeba mwili wangu ila walikua ndani ya mawazo na hicho ndo kifungo nilicho ishi nacho. Sasa naona mwanga japo ni hafifu ila naona ninaweza kuyaacha yote na kuanza upya
Kawambie pia Infroprenour na Kiranga mwenzie kuwa sifa na utukufu apewe aliye juu kabisa(YESU KRISTU) Pilato mwenyewe alimwandika YHWHNashukuru Sana mkuu,
Hii komenti imejaaa madini, hekima na busara ambazo wachache katika Dunia hii uliyo jaa husda wanayo. Nitaisoma kila asubuhi niamkapo Asante sana mkuu.
Pia mimi ni Wale wahusika nilikua napinga uwepo wa Mungu, ila kila kukicha ananikumbusha mimi si kitu, majivuno na kutaka watu wengine wanipende ni kuangamiza ukuu alio weka ndani yangu.
Mimi naona labda kama nilivyo Sema awali sikukaa kujua jinsi mambo yalini athiri sana. Na kingine ni kuwa kukimbia ilikuwa ni kama dhana ya kutafuta amani nje yangu. Hata kuandika hapa tu haikuwa rahisi miaka 2 iliyopita nisinge weza kabisa.Kwa eficiency ya tukio hilo itakuwa ndugu ndo wamekumenya mkuu. Sema 20 years now bado una kinyongo au kwenye matukio ya kiukoo unaenda? We ulitakiwa ufutike kabisa
Nashukuru kwa ushauri, ila scenario yangu siyo ya kufikia kutafta daktari. Na therapy nayo ifafuta siyo ya kuelezea matatizo because Tyr nimeshajua chanzo. Most therapist wa kibongo huwa na tamaa ya hela tu. Kuna jamaa alifiwa na mkewe ila alizunguka kwa Hao jamaa bila kupona, alikuja kupona baada ya kufanya arobaini.Pole mkuu,
Katika suluhu zote ulizoandika kwamba umejaribu kutafuta, sijaona kama umejaribu msaada wa wataalam wa afya ya akili. Ushauri wangu nenda hospital za serikali, ulizia kitengo cha afya ya akili na utarudi kunishukuru.
Nina shuhuda mbili tatu za watu waliosaidika huko, maana tatizo lako linaonekana ni la ki saikolojia zaidi. Please usitumie hawa wa mitandaoni, nenda hospital.
Nami pia nahisi sipo sawa kuna muda nipo sawaNatamani tubadilishane mawazo nawe ili nijifunze kwako na ujifunze kwangu,I think healing itakuwepo baina yetu.