Visungura mtaani na k vant vinamaliza vijana!

passion_amo1

JF-Expert Member
Dec 3, 2023
1,578
3,148
Kheri ya mwaka mpya wakuu?

Mimi binafsi mtaani nilipopanga na ninapoishi naitwaga mshamba na washkaji sababu nikitoka asubuhi kwenye mishe zangu kariakoo kurudi saa3 usiku au saa2 nikiwahi.

siku ya mwaka mpya hapa mtaani kuna vijana wengi walioshindwa kusoma, wasio na kujua nini wanataka kwenye maisha yao.

Hawa vijana walinunua visungura vingi sana sijui idadi kamili. Walianza kunywa mida ya saa4 usiku mpaka saa6 mwaka mpya unafika kilichokuwa kikiendelea ni kusikia tu k....ma wewe, unato...bwa na mengine mengi.


Baada ya muda kidogo tukasikia kama ugomvi tukajua kama kawaida yao, ugomvi ulipoendelea baadae tukasikia mmoja analia akasema UNANIUA!!


Kumbe yale matusi tuliyoyasikia na pombe zilizonywewa pale tayar zipo kichwani, wakawa wanabishana kuhusu mademu, mmoja mkubwa wao pale akamchoma visu vtatu tumboni.

Baada ya kuona mwenzake anagugumia maumivu dogo akakimbia na pikipiki ya jamaa mmoja pale mtaani huwa anampaga dogo deiwaka.

Kumbe pikipiki imefungwa gprs wakamkuta dogo kaanguka mtaroni na pikipiki imeharibika sababu ya ulevi kuwa mwingi kichwani.

Dogo yupo nyuma ya nondo mpaka sasa, pamoja na wenzake na mwenzao mmoja kachomwa visu na amepoteza maisha.


Naomba nitoe rai kwa vijana wenzangu, hizi kismart, visungura vinamaliza sana vijana.

sasahiv wanapewa mpaka ya kupima ili waendelee kumaliza vijana.serikali yetu tunaomba iliangalie hili hivi vidude vinamaliza vijana mitaani.

Victim wengi wakiwa ni vijana miaka kuanzia miaka15_ 25

Sikatai kweli ni starehe na nimekua nikiongea baadhi na vijana wenzangu ila nimeishiwa kuonekana mshamba.

Serikali yetu kuna vitu huwa vinapotezea lakini vijana ndio taifa la kesho, pombe ni starehe hatukatai lakini hii sasa ni harmful

Naomba vyombo husika na serikali litazame hili kwa jicho la tatu.

Nawasilisha.
 
Kheri ya mwaka mpya wakuu?

Mimi binafsi mtaani nilipopanga na ninapoishi naitwaga mshamba na washkaji sababu nikitoka asubuhi kwenye mishe zangu kariakoo kurudi saa3 usiku au saa2 nikiwahi.

siku ya mwaka mpya hapa mtaani kuna vijana wengi walioshindwa kusoma, wasio na kujua nini wanataka kwenye maisha yao.

Hawa vijana walinunua visungura vingi sana sijui idadi kamili. Walianza kunywa mida ya saa4 usiku mpaka saa6 mwaka mpya unafika kilichokuwa kikiendelea ni kusikia tu k....ma wewe, unato...bwa na mengine mengi.


Baada ya muda kidogo tukasikia kama ugomvi tukajua kama kawaida yao, ugomvi ulipoendelea baadae tukasikia mmoja analia akasema UNANIUA!!


Kumbe yale matusi tuliyoyasikia na pombe zilizonywewa pale tayar zipo kichwani, wakawa wanabishana kuhusu mademu, mmoja mkubwa wao pale akamchoma visu vtatu tumboni.

Baada ya kuona mwenzake anagugumia maumivu dogo akakimbia na pikipiki ya jamaa mmoja pale mtaani huwa anampaga dogo deiwaka.

Kumbe pikipiki imefungwa gprs wakamkuta dogo kaanguka mtaroni na pikipiki imeharibika sababu ya ulevi kuwa mwingi kichwani.

Dogo yupo nyuma ya nondo mpaka sasa, pamoja na wenzake na mwenzao mmoja kachomwa visu na amepoteza maisha.


Naomba nitoe rai kwa vijana wenzangu, hizi kismart, visungura vinamaliza sana vijana.

sasahiv wanapewa mpaka ya kupima ili waendelee kumaliza vijana.serikali yetu tunaomba iliangalie hili hivi vidude vinamaliza vijana mitaani.

Victim wengi wakiwa ni vijana miaka kuanzia miaka15_ 25

Sikatai kweli ni starehe na nimekua nikiongea baadhi na vijana wenzangu ila nimeishiwa kuonekana mshamba.

Serikali yetu kuna vitu huwa vinapotezea lakini vijana ndio taifa la kesho, pombe ni starehe hatukatai lakini hii sasa ni harmful

Naomba vyombo husika na serikali litazame hili kwa jicho la tatu.

Nawasilisha.
cuca & gongo sio poah,hawa madogo wa 99-20000 wanavinywa sana .

ishu kubwa ni ukuaji na usela mmavi unawasumbua
 
Inasikitisha sana bado unakuta hivo vidude ni fake.. usipokufa kwa ugomvi ini na Figo vina feli
Mkuu,

Nilisikia kipindi cha madubu kuwekwq sehemu za starehe kama club lakini mpaka sasa bado madubwi ya wachina yapo mtaani.

Na waathirika ni watoto wa shule, ambapo kiuhalisia hawana pesa zaidi ya kupewa na wazazi na wanapokosa pesa lazima watafute namna ya kuiba.

Watoto wengi wanaanza wizi na kushindwa kumaliza shule.

Hata hilo nale serikali imeshindwa kulisimamia.
 
Mkuu,

Nilisikia kipindi cha madubu kuwekwq sehemu za starehe kama club lakini mpaka sasa bado madubwi ya wachina yapo mtaani.

Na waathirika ni watoto wa shule, ambapo kiuhalisia hawana pesa zaidi ya kupewa na wazazi na wanapokosa pesa lazima watafute namna ya kuiba.

Watoto wengi wanaanza wizi na kushindwa kumaliza shule.

Hata hilo nale serikali imeshindwa kulisimamia.
Hata ps za mtaani pia zimepelekea vijana wengi kukatisha masomo
 
Kheri ya mwaka mpya wakuu?

Mimi binafsi mtaani nilipopanga na ninapoishi naitwaga mshamba na washkaji sababu nikitoka asubuhi kwenye mishe zangu kariakoo kurudi saa3 usiku au saa2 nikiwahi.

siku ya mwaka mpya hapa mtaani kuna vijana wengi walioshindwa kusoma, wasio na kujua nini wanataka kwenye maisha yao.

Hawa vijana walinunua visungura vingi sana sijui idadi kamili. Walianza kunywa mida ya saa4 usiku mpaka saa6 mwaka mpya unafika kilichokuwa kikiendelea ni kusikia tu k....ma wewe, unato...bwa na mengine mengi.


Baada ya muda kidogo tukasikia kama ugomvi tukajua kama kawaida yao, ugomvi ulipoendelea baadae tukasikia mmoja analia akasema UNANIUA!!


Kumbe yale matusi tuliyoyasikia na pombe zilizonywewa pale tayar zipo kichwani, wakawa wanabishana kuhusu mademu, mmoja mkubwa wao pale akamchoma visu vtatu tumboni.

Baada ya kuona mwenzake anagugumia maumivu dogo akakimbia na pikipiki ya jamaa mmoja pale mtaani huwa anampaga dogo deiwaka.

Kumbe pikipiki imefungwa gprs wakamkuta dogo kaanguka mtaroni na pikipiki imeharibika sababu ya ulevi kuwa mwingi kichwani.

Dogo yupo nyuma ya nondo mpaka sasa, pamoja na wenzake na mwenzao mmoja kachomwa visu na amepoteza maisha.


Naomba nitoe rai kwa vijana wenzangu, hizi kismart, visungura vinamaliza sana vijana.

sasahiv wanapewa mpaka ya kupima ili waendelee kumaliza vijana.serikali yetu tunaomba iliangalie hili hivi vidude vinamaliza vijana mitaani.

Victim wengi wakiwa ni vijana miaka kuanzia miaka15_ 25

Sikatai kweli ni starehe na nimekua nikiongea baadhi na vijana wenzangu ila nimeishiwa kuonekana mshamba.

Serikali yetu kuna vitu huwa vinapotezea lakini vijana ndio taifa la kesho, pombe ni starehe hatukatai lakini hii sasa ni harmful

Naomba vyombo husika na serikali litazame hili kwa jicho la tatu.

Nawasilisha.
Umeandika zile pombe zimeenda kichwani

Sina lazaidi niulize exp zikifika huko zinawafanyaje
 
Kheri ya mwaka mpya wakuu?

Mimi binafsi mtaani nilipopanga na ninapoishi naitwaga mshamba na washkaji sababu nikitoka asubuhi kwenye mishe zangu kariakoo kurudi saa3 usiku au saa2 nikiwahi.

siku ya mwaka mpya hapa mtaani kuna vijana wengi walioshindwa kusoma, wasio na kujua nini wanataka kwenye maisha yao.

Hawa vijana walinunua visungura vingi sana sijui idadi kamili. Walianza kunywa mida ya saa4 usiku mpaka saa6 mwaka mpya unafika kilichokuwa kikiendelea ni kusikia tu k....ma wewe, unato...bwa na mengine mengi.


Baada ya muda kidogo tukasikia kama ugomvi tukajua kama kawaida yao, ugomvi ulipoendelea baadae tukasikia mmoja analia akasema UNANIUA!!


Kumbe yale matusi tuliyoyasikia na pombe zilizonywewa pale tayar zipo kichwani, wakawa wanabishana kuhusu mademu, mmoja mkubwa wao pale akamchoma visu vtatu tumboni.

Baada ya kuona mwenzake anagugumia maumivu dogo akakimbia na pikipiki ya jamaa mmoja pale mtaani huwa anampaga dogo deiwaka.

Kumbe pikipiki imefungwa gprs wakamkuta dogo kaanguka mtaroni na pikipiki imeharibika sababu ya ulevi kuwa mwingi kichwani.

Dogo yupo nyuma ya nondo mpaka sasa, pamoja na wenzake na mwenzao mmoja kachomwa visu na amepoteza maisha.


Naomba nitoe rai kwa vijana wenzangu, hizi kismart, visungura vinamaliza sana vijana.

sasahiv wanapewa mpaka ya kupima ili waendelee kumaliza vijana.serikali yetu tunaomba iliangalie hili hivi vidude vinamaliza vijana mitaani.

Victim wengi wakiwa ni vijana miaka kuanzia miaka15_ 25

Sikatai kweli ni starehe na nimekua nikiongea baadhi na vijana wenzangu ila nimeishiwa kuonekana mshamba.

Serikali yetu kuna vitu huwa vinapotezea lakini vijana ndio taifa la kesho, pombe ni starehe hatukatai lakini hii sasa ni harmful

Naomba vyombo husika na serikali litazame hili kwa jicho la tatu.

Nawasilisha.
Ni hatari sana.
Unakufa fasta.
 
Back
Top Bottom