Ziltan
JF-Expert Member
- Aug 20, 2011
- 2,649
- 6,832
Salamu wanajf,
wakati tukiendelea kufurahia ushindi tulioupata huko Arumeru, naomba tukumbushane viongozi na watu wengine wenye influence ktk jamii yetu ambao wamejikuta wakiondolewa nyadhifa zao na wengine kuhujumiwa baada ya mkuu wa kaya kuingia mjengoni kutokana na tofauti walizokuwa nazo na mkuu wa kaya,
kwa kuanza Steven Masishanga kapigwa chini ukku wa mkoa,
waziri mkubwa enzi za fupi nyundo wamehujumiwa kampuni yao ya mabasi ya scandinavia ,hayapo,
endelea
wakati tukiendelea kufurahia ushindi tulioupata huko Arumeru, naomba tukumbushane viongozi na watu wengine wenye influence ktk jamii yetu ambao wamejikuta wakiondolewa nyadhifa zao na wengine kuhujumiwa baada ya mkuu wa kaya kuingia mjengoni kutokana na tofauti walizokuwa nazo na mkuu wa kaya,
kwa kuanza Steven Masishanga kapigwa chini ukku wa mkoa,
waziri mkubwa enzi za fupi nyundo wamehujumiwa kampuni yao ya mabasi ya scandinavia ,hayapo,
endelea