Nyukii
Member
- Jun 28, 2020
- 46
- 64
umeshinda
umeshinda
Shinyanga kuna tajiri mmoja dukani kwake huwa anakaaga na toto lake moja linatoa kamati zezeta hivi. Yuko karbu na crdb.
Kweli tunatofautiana, kwangu sharti gumu apo kutodindisha apo kwa kweli bora niukose huo utajiri.
Binafsi sharti la kutodindisha siwezi.! Kupiga mashine ndio naiona starehe kubwa hapa duniani. Sijawahi ona starehe yenye starehe kama kupeleka motoo na mtoto ajue kuisugua koni na nyama ya ndani.
Chukue vyoteee niachie mashine yangu
Nipo ziwani hapa najaelekea Kongo kwa mke wa Babu
Mbona mna toa siri zetu .any way part 4 lini
Visa nilivyoshuhudia kwa ndugu yangu Mtaalam wa Tiba za Asili
Habari ndugu zangu, Kwa kuwa leo nimetulia ngoja niwaeleze visa nilivyowahi kuviona katika safari yangu ya mwisho wa mwaka nilipomtembelea ndugu yangu ambae ni mganga. Kwanza kabisa mimi tangu awali siamini mambo ya uchawi wala sina imani juu ya ulozi na uwepo wake hivyo ndugu yangu pamoja na...www.jamiiforums.com
Heeeee mkuuu umeeelezea kwa hisia
Nlipoona umemezwa na Mamba nkajua kabisa hapa napigwa kamba za yule binti JUJU
Mganga niachie dudu languBinafsi sharti la kutodindisha siwezi.! Kupiga mashine ndio naiona starehe kubwa hapa duniani. Sijawahi ona starehe yenye starehe kama kupeleka motoo na mtoto ajue kuisugua koni na nyama ya ndani.
Chukue vyoteee niachie mashine yangu
Pole sana,Mumgu akufanyie wepesiUzi wangu lakini naanza kuuogopa. Naumwa nikikaa vizuri ntaandika.ila nikiendeleza tu baadaye kichwa kinanitesa sana
Mganga niachie dudu langu
nina miaka mitatu sijakaa mjini pale ila nadhani unamzungumzia Yule mama opposite na duka la marehem kwilasa. Mishe hzo sidhani. Location yake ina mfavor pia ana mtaji wa kutosha kuoperate huduma za kifedha. Halafu kingine usukumani kule wasukuma wengi wanapenda kuhudumiwa na mtu na sio mashine ndio maana anaweza ipita atm akaenda fahari huduma.Crdb ? Niliwahi fanya kazi hapo mjini na mitaa ya shy naifahamu. Mie nahisia yule ama mweny M-PESA na huduma za kibenki sio wa kawaida. Anakuwaje na msururu wa mteja wengi hao na jirani kuna ATM MACHINE. Kupitia yule mama wa pale kona aliniaminisha kuwa ukiacha Kigoma, sumbawanga shinyanga nayo imo kwa Madawa ya kimira
Toka Lin mamba kumeza?!Mkuu unamjua mamba lakini!!
Akua alitemwa Kama alivyotemwa na mambaNaomba kuuliza Yule mtu mliyemtupa ziwani alikufa au alikuja kurudi duniani au alipotea Moja KWA Moja?
Shunie! Hio avatar vp?Jamani pole sana usiuogope tupo pamoja na wewe
Tunakuombea upone
Iko na nini mamyShunie! Hio avatar vp?