Visa na matukio (adventures) binafsi niliopitia maishani

Corazon Espinado

JF-Expert Member
Jan 25, 2024
217
430
Binadam tunapitia mengi sana maishani. Yanaweza yakawa ya kila namna, mazuri au mabaya.

Yapo yakusikitisha, kufurahisha, maudhi, kutisha, kufurahia na kuchukia lakini mwisho wa siku yanabaki kua ni (adventure) au hadithi ya maisha (kwa sauti ya mzee Rukhsa).

Tajitahidi kuweka katika kila post yangu kisa kimojawapo kitachonijia kumbukumbu zake.
 
1) Dar - Mwanza kupitia Arusha.

Miaka mingi iliopita nikiwa kijana mdogo. Niliondoka na gari la mizigo linalotoka Dar kuelekea Mwanza, tulipita njia ya Arushabkwankuw njia ya Morogoro Dodoma uilikua haipitiki, kama sijakosea jina, "magole" palikua pamefurika hapapitiki.

Tukaenda salama Arusha na kuondoka kuelekea Singida kupitia Dareda - Katesh - Singida. Enzi hizo ilikua bado ni barabara ya tope, haina hata kipande cha lami.

Cha kuvutia ilikua ni kila aina ya wanyama tuliokutana na kupishana nao njiani.

Cha kuvutia zaidi ni wenyeji wa barabara Hiyo, wengine, hususan wa kiume, walikua hawavai nguo kabisa na tayari wana umri wa ujana, licha ya watoto. Baadhi ya wanawake walikua na kipande cha ngozi tu kinachoficha tupu zao kwa mbele. Kwa nyuma ilikua ni holela.

Tukafika Singida salama lakini hoi bin taabani. Mtu niliefatana nae alikua ni mwenyeji singida na tukaenda kwa Dada yake, tukapokewa vizuri sana tukachinjiwa kuku na wali wa mafuta.

Ilikua ni Mara yangu ya kwanza kuona kuku mkubwa namna hiyo. Mguu na paja tu niling'ang'ana kuumaliza.

Siku ya pili tukaondoka Singida, kwa bahati mbaya kabisa kabla ya kufika Sekenge gari likapinduka kwa kulala kiubavu, dereva alilipitisha pembeni ya barabara kumbe lilikua ni tope tupu lililokauka juu tu. Gari ikalala ubavu.

Mwenzangu akaumia mkono, ingawa hakuumia sana lakini ilibidi tumpeleke hospitali kwani alilia sana kwa maumivu.

Wenyeji wakatwambia hospitali ya karibu ni Kiomboi, tukapata gari (landrover) tukaikodi ikatupeleka kiomboi, moja kwa moja hospitali, wakamtazama na kumpiga sindano za maumivu, bahati alikua hajavunjika. Tukalala Kiomboi.

siku ya pili
tukaenda tukayanyua gari na mwenzangu akaondoka nalo, lilikua halijaumia kiasi cha kutokutembea lenyewe.

Mimi ikabidi nipande land-rover, kufika kimji kimoja kabla ya Sekenge nadhani panaitwa "Msisi" au "kwa Msisi", kama sijasahau. Hapo ikabidi tulale, Sekenge, njia ya zamani, mpya ilikua bado, wamezuia hakuna gari kupita.

Bahati nikapata gesti ya kupunguza machovu, kwenye hiyo gesti kulikua na mwanamke wa kizungu, alikua mkubwa kwangu kiunri lakini ni kijana. Alikua ni mtu wa ma adventure, ni Mjerumani. Alitoka Kiomboi na yeye amekwama hapo kwa Msisi. Tukajuana na kupiga stori, ikawa bahati na yeye alikua anaelekea Mwanza. Tukaunganisha tukawa safari moja.

Siku ya pili tukapata lifti ya gari la mizigo linaenda Nzega. Tukawa safari moja. Hapo Nzega ikabidi tulale. (To make the long story short), hapo Nzega ndio nilikula ngoma ya kwanzà ya kizungu, bila kuitongoza wala kuiambia chochote kuhusiana na mapenzi.
 
1)

Miaka mingi iliopita nikiwa kijana mdogo. Niliondoka na gari la mizigo linalotoka Dar kuelekea Mwanza, tulipita njia ya Arushabkwankuw njia ya Morogoro Dodoma uilikua haipitiki, kama sijakosea jina, "magole" palikua pamefurika hapapitiki.

Tukaenda salama Arusha na kuondoka kuelekea Singida kupitia Dareda - Katesh - Singida. Enzi hizo ilikua bado ni barabara ya tope, haina hata kipande cha lami.

Cha kuvutia ilikua ni kila aina ya wanyama tuliokutana na kupishana nao njiani.

Cha kuvutia zaidi ni wenyeji wa barabrara Hiyo, wengine,hususan wa kiume, walikua hawavai nguo kabisa na tayari wana umri wa ujana, licha ya watoto. Baadhi ya wanawake walikua na kipande cha ngozi tu kinachoficha tupu zao kwa mbele. Kwa nyuma ilikua ni holela.

Tukafika Singida salama lakini hoi bin taabani. Mtu niliefatana nae alikua ni mwenyeji singida na tukaenda kwa Dada yake, tukapokewa vizuri sana tukachinjiwa kuku na kwa wali wa mafuta.

Ilikua ni Mara yangu ya kwanza kuona kuku mkubwa namna hiyo. Mguu na paja tu niling'ang'ana kuumaliza.

Siku ya pili tukaondoka Singida, kwa bahati mbaya kabisa kabla ya kufika Sekenge gari likap9nduka kiubavu, dereva alilip8tisha pembeni ya barabara kumbe lilikua ni tope tupu lililokauka juu tu.

Gari ikalala ubavu, mwenzangu akaumia mkono, ingaws hakuumia sana lakini ilibidi tumpeleke hospitali kwani alilia sana kwa maumivu.

Wenyeji wakatwambia hospitali ya karibu ni Kiomboi, tukapata gari (landrover) tukaikod8 ikatupelekea kiomboi. Moja kwa moja hospitali, wakamtazama na kumpiga sindano za maumivu, bahati alikua hajavunjika. Tukalala Kiomboi.

siku ya pili
tukaenda tukayanyua gari na mwenzangu akaondoka nalo, lilikua halijaumia kiasi cha kutokutembea wenyewe.

Mimi ikabidi nipande land-rover, kufika kimji kimoja kabla ya Sekenge nadhani panaitwa "Msisi" au "kwa Msisi", kama sijasahau. Hapo ikabidi tulale, Sekenge, njia ya zamani, mpya ilikua bado, wamezuia hakuna gari kupita.

Bahati nikapata gesti ya kupunguza machovu, kwenye hiyo gesticulating kulikua na mwanamke wa kizungu, alikua mkubwa kwangu lakini ni kijana, ni mtu wa ma adventure, alikua ni Mjerumani alitoka Kiomboi na yeye amekwama hapo kwa Msisi. Tukajuana na kupiga stori,na yeye alikua anaelekea Mwanza. Tukaunganisha tukawa safari moja.

Siku ya pili tukapata lifti ya gari la mizigo linaenda Nzega. Tukawa safari moja. Hapo Nzega ikabidi tulale. To make the long story short, hapo Nzega ndio nilikula ngoma ya kwanzà ya kizungu, bila kuitongoza wala kuiambia chochote kuhusiana na mapenzi.
Huu uzi nimeupenda utafika mbali
 
Nata
1) Dar - Mwanza kupitia Arusha.

Miaka mingi iliopita nikiwa kijana mdogo. Niliondoka na gari la mizigo linalotoka Dar kuelekea Mwanza, tulipita njia ya Arushabkwankuw njia ya Morogoro Dodoma uilikua haipitiki, kama sijakosea jina, "magole" palikua pamefurika hapapitiki.

Tukaenda salama Arusha na kuondoka kuelekea Singida kupitia Dareda - Katesh - Singida. Enzi hizo ilikua bado ni barabara ya tope, haina hata kipande cha lami.

Cha kuvutia ilikua ni kila aina ya wanyama tuliokutana na kupishana nao njiani.

Cha kuvutia zaidi ni wenyeji wa barabara Hiyo, wengine, hususan wa kiume, walikua hawavai nguo kabisa na tayari wana umri wa ujana, licha ya watoto. Baadhi ya wanawake walikua na kipande cha ngozi tu kinachoficha tupu zao kwa mbele. Kwa nyuma ilikua ni holela.

Tukafika Singida salama lakini hoi bin taabani. Mtu niliefatana nae alikua ni mwenyeji singida na tukaenda kwa Dada yake, tukapokewa vizuri sana tukachinjiwa kuku na wali wa mafuta.

Ilikua ni Mara yangu ya kwanza kuona kuku mkubwa namna hiyo. Mguu na paja tu niling'ang'ana kuumaliza.

Siku ya pili tukaondoka Singida, kwa bahati mbaya kabisa kabla ya kufika Sekenge gari likapinduka kwa kulala kiubavu, dereva alilipitisha pembeni ya barabara kumbe lilikua ni tope tupu lililokauka juu tu. Gari ikalala ubavu.

Mwenzangu akaumia mkono, ingawa hakuumia sana lakini ilibidi tumpeleke hospitali kwani alilia sana kwa maumivu.

Wenyeji wakatwambia hospitali ya karibu ni Kiomboi, tukapata gari (landrover) tukaikodi ikatupeleka kiomboi, moja kwa moja hospitali, wakamtazama na kumpiga sindano za maumivu, bahati alikua hajavunjika. Tukalala Kiomboi.

siku ya pili
tukaenda tukayanyua gari na mwenzangu akaondoka nalo, lilikua halijaumia kiasi cha kutokutembea lenyewe.

Mimi ikabidi nipande land-rover, kufika kimji kimoja kabla ya Sekenge nadhani panaitwa "Msisi" au "kwa Msisi", kama sijasahau. Hapo ikabidi tulale, Sekenge, njia ya zamani, mpya ilikua bado, wamezuia hakuna gari kupita.

Bahati nikapata gesti ya kupunguza machovu, kwenye hiyo gesti kulikua na mwanamke wa kizungu, alikua mkubwa kwangu kiunri lakini ni kijana. Alikua ni mtu wa ma adventure, ni Mjerumani. Alitoka Kiomboi na yeye amekwama hapo kwa Msisi. Tukajuana na kupiga stori, ikawa bahati na yeye alikua anaelekea Mwanza. Tukaunganisha tukawa safari moja.

Siku ya pili tukapata lifti ya gari la mizigo linaenda Nzega. Tukawa safari moja. Hapo Nzega ikabidi tulale. (To make the long story short), hapo Nzega ndio nilikula ngoma ya kwanzà ya kizungu, bila kuitongoza wala kuiambia chochote kuhusiana na mapenzi.
Natamani utupe muendelezo wa hii mkuu.Mtu wa maana sana wewe!😆
 
2) Nilimla Mke wa mjomba (ma mjomba) bila kutarajia.

Ma Mjomba alikua na mazowea ya kuniomba nimpeleke safari zakee, nilibahatika kupata kagari cha mkopo ningali kijana mbichi kabisa. Ikawa mke wa mjomba ni mazowea yake mara kwa mara kunitaka nimepeleke safari zake. Siku hiyo alikua anakwenda harusini akanambia nimpeleke kama saa moja usiku. Sikuwa na hiyana kwani kila nikimpeleka safari ananitilia mafuta.

Saa moja juu ya alama nimefika kwake nikaingia kumcheki, akanambia ningoje kidogo najitarisha, ile kidogo ndio ikawa kumngoja saa nzima au zaidi. Alipotoka ananukia huyo na kajipamba, kma ulivyo ujana, mimi mishipa ya kiume ikanichwz alipoingia ndani ya gari, nikawa sina raha, hata kusema nashindwa.

Mama mjomba; Leo mbona kimya sana?
Mimi; Sina la kusema, unatoka harusini saa ngapi?
Ma Mjomba; Mimi naona talala hukohuko, mjombako hayuko nisikuhangaishe usiku, harusi inaisha mapema tu lakini naona bora nikae huko mpaka kesho. Kwani wewe unaenda wapi ukinishusha mimi?
Mimi; Leo wikiendi naenda kujirusha, nimesikia kuna disko jipya coco beach.
Ma Mjomba: Si bora na mimi niende huko kuliko kulala harusini? Utanipitia?
Mimi kwa mshangao "utaenda disko?"
Ma mjomba; Kwanini nisende, si naenda na wewe?
Mimi; Mjomba anakuruhusu?
Ma mjomba; kwani wewe utamwambia? Kama humwambii nipitie na mimi nikajirushe.
Mimi; Naweza kukupitia kweli maana hata na mimi tapata partner.
Ma Mjomba; Kweli, nipitie kama saa tano hivi, utakuja?
Mimi; Takuja.
Ma Mjomba; basi takungoja, tukifika takuonesha saa tano kamili uningoje wapi na gari, maana sitaki mtu ajue nikitoka.


Ilipofika muda nikampitia nimepaki gari kama saa tano kasorobi hivi, basi tano na dakika kidogo ikawa kafika, peke yake, akafungua akaingia tukaondoka. Nikaenda nae, yalitokea huko haina haja ya kuyaandika, ikabidi nimgonge tu, maana alikua kishalewa na anataka haswa. Nikafunga macho nikala ngpoma, ikawa nimengea na yeye kanogea, ndio ukawa mchezo wetu kila tunapopata fursa tunakipiga.

Hiyo ni moja ya adventure ambayo siisahau maishani na kila nikimuona mwanamke anaejifanya ana heshima sana, huwa nanajisemea moyoni "ndio wale wale". Maana huyo mke wa mjomba nikikwambia ndio huyu nimemla sana, huwezi kuamini hata siku moja.
 
takuja
taenda
takungoja
talala

Mwandiko unatia kichefu chefu ,,,, ! Peleka huu uchafu Facebook
 
2) Nilimla Mke wa mjomba (ma mjomba) bila kutarajia.

Ma Mjomba alikua na mazowea ya kuniomba nimpeleke safari zakee, nilibahatika kupata kagari cha mkopo ningali kijana mbichi kabisa. Ikawa mke wa mjomba ni mazowea yake mara kwa mara kunitaka nimepeleke safari zake. Siku hiyo alikua anakwenda harusini akanambia nimpeleke kama saa moja usiku. Sikuwa na hiyana kwani kila nikimpeleka safari ananitilia mafuta.

Saa moja juu ya alama nimefika kwake nikaingia kumcheki, akanambia ningoje kidogo najitarisha, ile kidogo ndio ikawa kumngoja saa nzima au zaidi. Alipotoka ananukia huyo na kajipamba, kma ulivyo ujana, mimi mishipa ya kiume ikanichwz alipoingia ndani ya gari, nikawa sina raha, hata kusema nashindwa.

Mama mjomba; Leo mbona kimya sana?
Mimi; Sina la kusema, unatoka harusini saa ngapi?
Ma Mjomba; Mimi naona talala hukohuko, mjombako hayuko nisikuhangaishe usiku, harusi inaisha mapema tu lakini naona bora nikae huko mpaka kesho. Kwani wewe unaenda wapi ukinishusha mimi?
Mimi; Leo wikiendi naenda kujirusha, nimesikia kuna disko jipya coco beach.
Ma Mjomba: Si bora na mimi niende huko kuliko kulala harusini? Utanipitia?
Mimi kwa mshangao "utaenda disko?"
Ma mjomba; Kwanini nisende, si naenda na wewe?
Mimi; Mjomba anakuruhusu?
Ma mjomba; kwani wewe utamwambia? Kama humwambii nipitie na mimi nikajirushe.
Mimi; Naweza kukupitia kweli maana hata na mimi tapata partner.
Ma Mjomba; Kweli, nipitie kama saa tano hivi, utakuja?
Mimi; Takuja.
Ma Mjomba; basi takungoja, tukifika takuonesha saa tano kamili uningoje wapi na gari, maana sitaki mtu ajue nikitoka.


Ilipofika muda nikampitia nimepaki gari kama saa tano kasorobi hivi, basi tano na dakika kidogo ikawa kafika, peke yake, akafungua akaingia tukaondoka. Nikaenda nae, yalitokea huko haina haja ya kuyaandika, ikabidi nimgonge tu, maana alikua kishalewa na anataka haswa. Nikafunga macho nikala ngpoma, ikawa nimengea na yeye kanogea, ndio ukawa mchezo wetu kila tunapopata fursa tunakipiga.

Hiyo ni moja ya adventure ambayo siisahau maishani na kila nikimuona mwanamke anaejifanya ana heshima sana, huwa nanajisemea moyoni "ndio wale wale". Maana huyo mke wa mjomba nikikwambia ndio huyu nimemla sana, huwezi kuamini hata siku moja.
Mpuuzi mmoja ww.Hujutii hicho kitendo unaona kama ulifanya jambo jema sanaaaaa puuuzi kabisa
 
Mpuuzi mmoja ww.Hujutii hicho kitendo unaona kama ulifanya jambo jema sanaaaaa puuuzi kabisa
Huzijui koo za simba, nakushauri zisome, kandamiza maandishi ya blue:

 
Kwa hiyo hata siku akiamua amle mama yake mzazi sawa tu kwa sababu itaingia huyo mshenzi kamkosea sana mjomba wake
Koo za simba halazimishwi mtu kula au kuliwa na nani. Mwiko ni kuliwa au kula nje ya koo. Kila mmoja ana hiyari yake, lakini takriban skoo za simba wote huanza kujamiiana na watu wa karibu yao.

Kujamiiana kwa koo za simba ni kuzidisha nguvu na mapenzi ya koo.
 
Usiwashangae sana koo za simba.

Hata wewe ngosha wa mwanza ukijichunguza sana utakuta hamu ya mapenzi ilikuanzia kwa walio karibu na wewe.

Simba akiwa mdogo akiwa ananyonya ziwa la mama kama hasimamishi anaweza kuuliwa.
 
Back
Top Bottom