Visa gani pombe ilikufanyia hutasahau?

Visa gani pombe ilikufanyia hutasahau?

Njiro ilikuwa zamani Q pub bhas, hapa relini ukipandisha kama unaelekea bia kuna kipub kinabamba na chenyewe, na ile iliyoko pale bia opposite na geti la kuingilia Breweries jina nimesahau. Vipi kwa Msola huko?😂😂😂
Njiro yangu inaishia Tanesco/ Seminary.

Now kuna 101
Hiyo ya opposite na Breweries nahisi unaisemea The Don
 
Njiro yangu inaishia Tanesco/ Seminary.

Now kuna 101
Hiyo ya opposite na Breweries nahisi unaisemea The Don
Exactly The Don.
Tanesco bhas we ni jirani yangu😉
Ukishakuwa na na kimkokoteni viwanja vyote vya A twn utavizungukia. The Boss pamekuwa kama Pin point wako kibao mpaka kero😤😤
Wastaarabu hatutaki kero
 
Exactly The Don.
Tanesco bhas we ni jirani yangu😉
Ukishakuwa na na kimkokoteni viwanja vyote vya A twn utavizungukia. The Boss pamekuwa kama Pin point wako kibao mpaka kero😤😤
Wastaarabu hatutaki kero
Hahaha eti wako kibao mpaka kero...

Fahari ya macho haifilisi duka 😆😅
 
It gives you confidence that's all. Kuna watu si kama kingereza hawajui ila uwoga unaosababishwa na kutokitumia mara kwa mara ndio hutawala kwamba akikosea atachekwa. Na kuna wengine kingereza hawajui zaidi ya broken english lakini anapenda kuongea. Sasa hawa wote wakinywa utafurahi[emoji4][emoji4]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kumbe hata mimi nikinywa nitaongea sana ung'eng'e kesho ngoja nijaribu[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mwaka 2008, Nilikuwa Mbeya Tukuyu Kikazi, Nilikuwa nimetokea Mbeya Mjini ambapo Kuna baridi, Dose yangu ilikuwa Tusker Kumi,

Kwenda Tukuyu Nikaendelea na dose ileile bila kugundua kuwa Hali ya hewa ya Tukuyu Ni Tofauti na Mbeya Mjini. Na Pombe. Hukolea kwenye Joto, Tukuyu Kuna Joto.

Mzee Mzima Nikavesha Kama kawaida, mpaka saa tano FULANI hivi, Sasa kimbembe Nikasahau Guest, Nikaenda kugonga Nyumba ambayo Inaangaliana na Guest Huku Povu likinitoka kwanini wafunge na Mimi bado sijarudi.

Ebwana mlango ulifunguliwa na Mbaba mmoja akiwa na njemba tatu (Watoto wake) Nilichezea vitasa vyakutosha kila nikiweka Gurd wapi.

Niliokolewa na Staff wenzangu Baada ya kuhisi kuwa sijarudi na wanasikia kelele za sauti yangu.

Asee hiyo ilikuwa moja Ila Pombe kuacha bado nafikiria.
Hapo mwishoni kaka umetisha sana
 
Kule sawa

Kule sawa hapa sio[emoji6] Alafu last week ulizingua but it was ok with me. Smirnoff nilikuwa nazipenda ila sasa kwa pombe kali napiga Magic moment of any taste kama nikiikuta hapo mahali. Haiumizi kichwa wala haikupi hang over wala haiumizi kichwa.
Hivi smirnoff beer bado ipo kweli?
Hakuna pombe haina hangover jombaa, nimejaribu pombe nyingi sana nilizoambiwa hazina hangover, hali ni ile ile! Kinacholeta hangover sio jina la pombe but ni ile alcohol
 
Juzi juzi tu hapa nimepanda daladala sayansi kijitonyama na jamaa amelewa saa 6 mchana jua kali,
tumetoka pale tunaelekea mwenge tumefika adi mataa pale mwenge anamwambia konda amuache sayansi na wakati alipopandia gari ndo sayansi[emoji23][emoji23]
Huyo jamaa ulabu aliupigia pale sofani au miti mirefu
 
Siku ingine nilifakamia sana pombe mchanganyiko nilikuwa na binamu yangu wakati tunaondoka tupo ndani ya daladala mimi tu ndo nilikuwa muongeaji watu wote vicheko. Tuliposhuka nikawa naenda njia ambayo sio binamu yangu akaniita.

Tulipofika nyumbani nikasema ngoja nikanywe ya mwisho wakati narudi nikapotea tena nyumbani nikashtuka kuwa nimepotea nyumba baada ya kuona sifunguliwi mlango.

Mlevii hasahau kwake wewe, umetupiga kamba!
 
Hakuna pombe haina hangover jombaa, nimejaribu pombe nyingi sana nilizoambiwa hazina hangover, hali ni ile ile! Kinacholeta hangover sio jina la pombe but ni ile alcohol
Nakubaliana nawe mkuu, nilikosea I was supposed to mean magic haichachushi mdomo asubuhi tofauti na nikinywa K Vant au Konyagi. Hizi hunipa bad taste na kichwa kuuma.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kumbe hata mimi nikinywa nitaongea sana ung'eng'e kesho ngoja nijaribu[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hahaha😂😂😂 unywe alafu uje hapa tukithaminishe mkuu.
 
Back
Top Bottom