Siku ya kwanza kupanda ndege aisee nilizinguana na muhudumu kakagua vitu vyangu sasa nashangaa mabeg yangu wanachukua wanapita nayo nyuma kule nami nikajua ndege tunaenda pandia huko huko wanapopeleka mizigo ile muhudumu kuzubaa nshapita afu ww kaka ndege wanaenda kupandia kule watu wote airport hoi bahat nzur ilikuwa ndege ya ucku saa 11
Yaani nimecheka sana mkuu...kuna mtu alipiga magoti Amsterdam wakati wanaunga ndege waende switz. Haya ni maneno waliokuwa karibu walimsikia akisema.
"eh baba! ushukuriwe kwa kunifikisha huku juu mbinguni baba! duniani dhiki na shida nyng baba! Mweh ndaga mwalafyale mweh"
kuna mtu alipiga magoti Amsterdam wakati wanaunga ndege waende switz. Haya ni maneno waliokuwa karibu walimsikia akisema.
"eh baba! ushukuriwe kwa kunifikisha huku juu mbinguni baba! duniani dhiki na shida nyng baba! Mweh ndaga mwalafyale mweh"
Hii Ilishanikutaga, Nikiwa Na Mwenzangu, Ilibidi tudanganye ni Wanasheria, Suti Kuubwaa! Kumbe Hatuna Lolote, Ushamba tuMimi ilikuwa 2007 nilipata ride ya kwenda serengeti, nikapiga suti na scaf; kuingia kwenye ndege (hizi ndogo za watu 12) nakuta watu wamevaa simple sana kwa kuwa wanaenda bush; nilijisikia vibaya sana...
Babu kashasepaNdege zinunuliwe tuwe tunapanda bure sisi wenye kipato kidogo.
Shusha kisa chako na wewe tufurahi mkuuHuu uzi hauishagi utamu aisee
Nishakiweka humu mbona? Nachokumbuka siku hiyo sikulala, niliwahi saaaaaana😂😂, nilikuwa mstari wa mbele kabisa pale wanapokagua nikakukumbuka sijui kitu, ikabidi nijifanye napokea simu ila wengine watangulie,😂 kiwewe sikuona kama wanavua viatu, nikapita navyo nikarudishwa, kufika mbele lotion yangu kubwaa wakaitupa dustbin😂 matangazo yalikuwa ni mengi mara ndege hii inaenda wapi mara hii wapi walivyofungua geti mi nikapita, mara nikaambiwa pita geti lile.yaan ni full vurugu. All in all nilifika thanks to fast jet ndege ya kwanza kupanda.Shusha kisa chako na wewe tufurahi mkuu
Nishakiweka humu mbona? Nachokumbuka siku hiyo sikulala, niliwahi saaaaaana😂😂, nilikuwa mstari wa mbele kabisa pale wanapokagua nikakukumbuka sijui kitu, ikabidi nijifanye napokea simu ila wengine watangulie,😂 kiwewe sikuona kama wanavua viatu, nikapita navyo nikarudishwa, kufika mbele rotion yangu kubwaa wakaitupa dustbin😂 matangazo yalikuwa ni mengi mara ndege hii inaenda wapi mara hii wapi walivyofungua geti mi nikapita, mara nikaambiwa pita geti lile.yaan ni full vurugu. All in all nilifika thanks to fast jet ndege ya kwanza kupanda.
Kila ninaemfahamu alisimuliwa nyumbani wote walijua nimepanda ndege. Sema sikuwa na siku mzuri hakuwa na selfie sijui ingekuwa kama sasa hivi ingeku
rotion ndo nini??? au mafutaNishakiweka humu mbona? Nachokumbuka siku hiyo sikulala, niliwahi saaaaaana, nilikuwa mstari wa mbele kabisa pale wanapokagua nikakukumbuka sijui kitu, ikabidi nijifanye napokea simu ila wengine watangulie, kiwewe sikuona kama wanavua viatu, nikapita navyo nikarudishwa, kufika mbele rotion yangu kubwaa wakaitupa dustbin matangazo yalikuwa ni mengi mara ndege hii inaenda wapi mara hii wapi walivyofungua geti mi nikapita, mara nikaambiwa pita geti lile.yaan ni full vurugu. All in all nilifika thanks to fast jet ndege ya kwanza kupanda.
Kila ninaemfahamu alisimuliwa nyumbani wote walijua nimepanda ndege. Sema sikuwa na siku mzuri hakuwa na selfie sijui ingekuwa kama sasa hivi ingekuwaje?
Hata.mimi sijui😂😂rotion ndo nini??? au mafuta