Vipotabo vs nyaminyama

Vipotabo vs nyaminyama

Uyu kidogo hila vitu vyangu ujaniwekea
Hii database haijawahi kuishiwa
7308a605-1c90-43c2-bafc-b4177eeb07e0.jpeg
 
Tatizo ajali nyingine jau sana unateseka huku unafurahia😂
Kipindi cha foolish age niliwahi mpakata binti mmoja kibonge (tulikuwa tunasoma nae darasa moja) kipindi cha tour za shule, mfukoni nilikuwa na simu,nikahisi itavunjika ila nilijikaza, mpaka tunafika simu kioo hakionyeshi, nilijilaumu sanaaa ila nikikumbuka ile minyamaaaaa nasahauuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom