Vipotabo vs nyaminyama

Vipotabo vs nyaminyama

Uyu kidogo hila vitu vyangu ujaniwekea
Hii database haijawahi kuishiwa
7308a605-1c90-43c2-bafc-b4177eeb07e0.jpeg
 
Tatizo ajali nyingine jau sana unateseka huku unafurahia😂
Kipindi cha foolish age niliwahi mpakata binti mmoja kibonge (tulikuwa tunasoma nae darasa moja) kipindi cha tour za shule, mfukoni nilikuwa na simu,nikahisi itavunjika ila nilijikaza, mpaka tunafika simu kioo hakionyeshi, nilijilaumu sanaaa ila nikikumbuka ile minyamaaaaa nasahauuu
 
Hii inategemea na aina ya Mwanaume mfano itashangaza sana kwa mwanaume Mfupi sana kuwa na mwanamke Bonge. Hiyo nayo ni Elimu nyingine 😊
 
965fe913-08bc-4cde-84a4-ac00d539165d.jpeg
b0bb5ab2-2e3b-47f5-b3de-b7a133902bf9.jpeg

Hii ndiyo ile mizigo tunayoipendaga sisi wanaume wa kiafrika (in Sheikh Kipoozeo voice)
Hawa peponi unapewa 72 sheikh...mmh
Na nguvu za wanaume 100....
Hatari sana...Allah atusaidie tufike peponi sheikh Mshana Jr
loose Nut
adriz
 
Back
Top Bottom