Vipotabo vs nyaminyama

Vipotabo vs nyaminyama

Hivi mabonge huwa mnapigana? Sijawahi kuona aisee 😂😂😂
IMG-20260610-WA0016.jpg
 
Vipotable ni minyama nyama ajae..

Binafs napenda sana vipotable nilikuwa na ki sister du kimoja kipotable kizuri nilikuwa najipigiaga sema alikuwa na kibwana chake sio mme ila ni kibwana tu

Sasa tukapotezana kama miaka 3 hivi kuja kuonana kawa bonge hatari baada ya kuzaa kwa upasuaji, nasikia kuna sindano unapigwa hiyo inakufanya unenepe

Na nilikuwa nampenda hatari anashangaa tumeonana tunebadilishana namba za simu na huwa naview tu status zake na wala simuombi wala kumsumbua kama zamani

Minyana nyama sio plan
 
Nyeto ni dhambi, mpiga nyeto hana tofauti na muuaji
Nyeto huvisha najisi mwili, tena ukiwa maskini hata uwe smart vipi unakua na gundu kupitiliza kila ukitongoza utakua unapigwa za mbavu.

Hiyo kukataliwa mpaka na vijuso huwa si bahati mbaya bali ni ile energy mbovu unayokuwa nayo ndani ya mwili.

Soma 1 Wakorintho 6:18, 6:19–20.
 
Nyeto huvisha najisi mwili, tena ukiwa maskini hata uwe smart vipi unakua na gundu kupitiliza kila ukitongoza utakua unapigwa za mbavu.

Hiyo kukataliwa mpaka na vijuso huwa si bahati mbaya bali ni ile energy mbovu unayokuwa nayo ndani ya mwili.

Soma 1 Wakorintho 6:18, 6:19–20.
Uongo.
 
Back
Top Bottom