Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,702
- 36,127
Habari,
Ilikuwa 21 April TBS walitoa tangazo la internship kwa nafasi mbalimbali.
Vipi walishaita vijana kwa ajili ya usaili na kuanza kazi?
Nimeingia kwenye website yao sijaona tangazo lolote, ni bado mchakato au watu wamepigiwa simu direct?
Ilikuwa 21 April TBS walitoa tangazo la internship kwa nafasi mbalimbali.
Vipi walishaita vijana kwa ajili ya usaili na kuanza kazi?
Nimeingia kwenye website yao sijaona tangazo lolote, ni bado mchakato au watu wamepigiwa simu direct?