Sasa nauliza na wewe unauliza huoni kama majwabu yanaweza kugongana ,mi nimetoka huko kwa vishindo unakuja wewe unaniharibia mudi,sijawahi hata moja ,ndio nikaomba msaada wa maneno ya kuanzia ,ila nimeokoteza na moja tayari nimeanza kulifanyia mazoezi ,ile kumkazia macho demu ,na hapo imeelezwa kwamba nisibabaike kutazama pembeni ,nimtolee mijicho kikwelikweli mpaka yeye awe wa mwanzo kutazama pembeni.Ila bado naona haya pengine nikimuuliza kipolepole yeye akajibu kwa sauti kubwa na ikawa ni fezeha ,maana hadi leo naona wanawake hawaaminiki anaweza akakupa neno mbele za watu ikabidi kubadilisha njia.
Uwe na confidence kivipi wakati vipimo vyote vinaonyesha unaweza ukachezea msonyo wa nguvu utafikiri kaona shetwani. Msichana unamuuliza hali anruka kwa sauti unikome mwanawamwenzio ,kuna wengine washaenda kunisemea kwao na kufika hadi nyumbani kwa vishindo eti nawadoea. Muda ka miezi mitatu mtaani wakawa wananiita doezi ,yaani ilikuwa noma ile mbaya ,hivyo ndio nimeingia na kuja hapa kutafuta elimu ,wewe unaniambia uwe na confidence ,hiyo confidence ndio ninayoizinga.
Mtaani na kazini simple (itakuchukua kama mwezi mmoja hivi kama hakuna chemistry)
*Jitambulishe ili mfahamiane
*Hakikisha mnaonana mara nyingi (unajidai accidendally kumbe ni mbinu zako)
*Msemeshe kila mkionana na uwe unamsifia
*Usichukulie mambo serious sana, inabidi ufanye jitihada kuwe kama na "kautani flani" kati yako na yeye
*Kisha "unamtania" (unajidai utani, kumbe moyoni uko serious) unataka kumpeleka lunch, outing ama kitu kama hicho
*Hapo mtakuwa kwenye kubadilishana namba za simu
*Mpige message mara kwa mara, kama anajibu (angalia usitume message nyingi kama hajibu)
*mpige vizawadi vya mara kwa mara - hata chewing gum au pipi! (Kutongoza sometimes inabidi ujifanye Mseng.e ili ufanikiwe). lol
*Akikubali outing, una-introduce issue kuwa ulishakufa kwake bado kuoza tu
*Endelea kuwa karibu naye na kumshawishi.
*Outing ya pili mpitie kwako kabla hujamrudisha home kwake, jidai kuna kitu muhimu lazima u-drop au ufanye; akiingia ndani - usifanye kosa, mademu bongo sitaki nataka na first time inaweza ikawa hivyo, akigoma sana unaacha, hatari ni kwamba kama hajawa impressed na unapoishi na ukamkosakosa ndio imetoka, kwa hiyo juu yako hapo.
*Etimated time kwa mambo yote haya, 1 month.
*NB: Demu yeyote anachukulika (awe maskini, tajiri, mrembo, msomi, whatever), ni ku-persist tu mpaka a-give in.
Kwenye party - ni kujitambulisha, kupiga stori kidogo na kujitahidi upate namba ya simu utaendelea baada ya hapo; otherwise demu awe mapepe na wewe ujidai pedejee.
Club kabisaaa, ndio hakuna kingine zaidi ya hela yako ya vinywaji na kuonyesha upedejee!
Nadhani umepata mwanga kidogo ... lol
tatizo lako unaoenekana unapiga sana masterbation...imafanya unakuwa muoga kwa mashori.....Sasa nauliza na wewe unauliza huoni kama majwabu yanaweza kugongana ,mi nimetoka huko kwa vishindo unakuja wewe unaniharibia mudi,sijawahi hata moja ,ndio nikaomba msaada wa maneno ya kuanzia ,ila nimeokoteza na moja tayari nimeanza kulifanyia mazoezi ,ile kumkazia macho demu ,na hapo imeelezwa kwamba nisibabaike kutazama pembeni ,nimtolee mijicho kikwelikweli mpaka yeye awe wa mwanzo kutazama pembeni.Ila bado naona haya pengine nikimuuliza kipolepole yeye akajibu kwa sauti kubwa na ikawa ni fezeha ,maana hadi leo naona wanawake hawaaminiki anaweza akakupa neno mbele za watu ikabidi kubadilisha njia.
Ila akikupigia kelele za mwizi huyo hakufai na si mstaarabu lol.
tatizo lako unaoenekana unapiga sana masterbation...imafanya unakuwa muoga kwa mashori.......
Mtaani na kazini simple (itakuchukua kama mwezi mmoja hivi kama hakuna chemistry)
*Jitambulishe ili mfahamiane
*Hakikisha mnaonana mara nyingi (unajidai accidendally kumbe ni mbinu zako)
*Msemeshe kila mkionana na uwe unamsifia
*Usichukulie mambo serious sana, inabidi ufanye jitihada kuwe kama na "kautani flani" kati yako na yeye
*Kisha "unamtania" (unajidai utani, kumbe moyoni uko serious) unataka kumpeleka lunch, outing ama kitu kama hicho
*Hapo mtakuwa kwenye kubadilishana namba za simu
*Mpige message mara kwa mara, kama anajibu (angalia usitume message nyingi kama hajibu)
*mpige vizawadi vya mara kwa mara - hata chewing gum au pipi! (Kutongoza sometimes inabidi ujifanye Mseng.e ili ufanikiwe). lol
*Akikubali outing, una-introduce issue kuwa ulishakufa kwake bado kuoza tu
*Endelea kuwa karibu naye na kumshawishi.
*Outing ya pili mpitie kwako kabla hujamrudisha home kwake, jidai kuna kitu muhimu lazima u-drop au ufanye; akiingia ndani - usifanye kosa, mademu bongo sitaki nataka na first time inaweza ikawa hivyo, akigoma sana unaacha, hatari ni kwamba kama hajawa impressed na unapoishi na ukamkosakosa ndio imetoka, kwa hiyo juu yako hapo.
*Etimated time kwa mambo yote haya, 1 month.
*NB: Demu yeyote anachukulika (awe maskini, tajiri, mrembo, msomi, whatever), ni ku-persist tu mpaka a-give in.
Kwenye party - ni kujitambulisha, kupiga stori kidogo na kujitahidi upate namba ya simu utaendelea baada ya hapo; otherwise demu awe mapepe na wewe ujidai pedejee.
Club kabisaaa, ndio hakuna kingine zaidi ya hela yako ya vinywaji na kuonyesha upedejee!
Nadhani umepata mwanga kidogo ... lol
lakini usiwe
i. king'ang'anizi kama ruba
ii.usiwe desperate
Kuwa MKARIMU, usiwe na haraka, huo waweza kuwa ni mradi wa muda mrefu kidogo,wakati mwingine hata miezi sita au zaidi, kama Mtoto ni wa nguvu.Naomba kuwauliza eti vipi unamtongoza mwanamke ? Kuna mbinu zozote au ustadi wa kuweza kuwin msichana mzuri mtaani au kazini ? Au kwenye diskoparty ila sio kwenye baa ingawa naweza pia kuelezewa ka kunahitajika kaufundi ?
Mwiba nani huyo anayekupa shida? Hebu mlengeshe kwangu aone....maana sumu nitakazotema atakuwa hana ujanja
ndio gia yenu hiyo siku hizi, unamvalisha pete halafu baadaye unamtosa....ukishasema, "...nataka kukuoa!" ushamaliza maneno yote,... na kama haamini, within 3-days mvishe pete ('Probation'-Tag)
Kama ni MUOAJI.Hizo ni zetu wazee wa zamani.Ikiwa ni miezi bora basi ,duh kuna mmoja alisema mwezi au miezi mitatu wewe unasema sita,inaonyesha itakuwa mwenye kusubiri kudondokewa na si mwenye kujua kutongoza ,aisee kumbe mambu ni makubwa namna hii ,miezi sita ,pengine hata wazee wake itabidi niwajue.
...ukishasema, "...nataka kukuoa!" ushamaliza maneno yote,... na kama haamini, within 3-days mvishe pete ('Probation'-Tag)