Hii haina tofauti na anaelipia chumba Mwananyamala pamoja na kujitoa hifi kuondoka na na kodi ya nyumba.Watakufuata kukudai Kodi ya jengo nasikia buku kila mwezi wale wa maghorofa Elfu 60 kila floor na waviji ghorofa kama uliamua ukajenga ka room ka moja nawe kafloor Kako unakalipia 60 hahahaah Raha sana.
Nimebaki nacheka tu.Mimi nimeshanunua mitambo miwili ya solar! Watt 100, na watt 200! Muda si mrefu naipandisha juu ya bati. Unit 27, nitakuwa natumia mwezi mzima kwa ajili tu ya pasi, tv na friji!!
Hakuna namna. Itatulazimu kupunguza matumizi, ili kujiepusha na tozo ziso na ulazima.
Usimkimbie jamaa yako Sabaya! Huonekani kabisa siku hizi ukimpigania humu jukwaani! Usikate tamaa mkuu.Nimebaki nacheka tu.
Units 27 kwa mwezi kama ni taa peke yake sawa but pasi, friji, TV etc sidhani kama utatoboa mkuu...Mimi nimeshanunua mitambo miwili ya solar! Watt 100, na watt 200! Muda si mrefu naipandisha juu ya bati. Unit 27, nitakuwa natumia mwezi mzima kwa ajili tu ya pasi, tv na friji!!
Hakuna namna. Itatulazimu kupunguza matumizi, ili kujiepusha na tozo ziso na ulazima.
Kwa bahati mbaya sana tuna viongozi muingu watu na ambao wanadhani they know everything. Hii kitu ilitakiwa kwanza wachague mikoa miwili wafanye majaribio ili kuona how it's going to work and the challenges encountered...Haitakuwa rahisi hivyo. Kwamba ikifika 12,000/= wanaacha kukukata? Hauijui serikali inayotafuta pesa kwa nguvu. Labda uwe unanunua umeme mara 12 tu mwaka. Wengine tunanunua hata 50 kwa mwaka.
Watu wana maswali ya msingi. Je itakuwaje kwa watu ambao wana nyumba moja yenye mita zaidi ya moja?
Uko mkoa gani kiongozi?Laki 6 kwa solar ya watt 100 ikiwa comlete na ufundi. Anaye niunganishia ni mtu wangu wa karibu.
Kwa Mzee Mgaya! Iringa.Uko mkoa gani kiongozi?
Kwa bahati mbaya sana tuna viongozi muingu watu na ambao wanadhani they know everything. Hii kitu ilitakiwa kwanza wachague mikoa miwili wafanye majaribio ili kuona how it's going to work and the challenges encountered...
Usimkimbie jamaa yako Sabaya! Huonekani kabisa siku hizi ukimpigania humu jukwaani! Usikate tamaa mkuu.
watt 300 zote bei gani mkuu..?Mimi nimeshanunua mitambo miwili ya solar! Watt 100, na watt 200! Muda si mrefu naipandisha juu ya bati. Unit 27, nitakuwa natumia mwezi mzima kwa ajili tu ya pasi, tv na friji!!
Hakuna namna. Itatulazimu kupunguza matumizi, ili kujiepusha na tozo ziso na ulazima.
kwa mwaka kumbe unakatwa 12000 tena..?Unadhania wao ni wajinga kiasi hicho, hata ukae miezi sita hujanunua, siku ukinunua wanakata deni lote la miezi ambayo hukununua!!ni kama ile service charge ilivyokuwa!!kwa mwaka lazima ukatwe , 12, 000 kama ni nyumba ya kawaida!!
Mkubwa ulifanikiwa kufunga? Nahitaji kupata abc.Watt 10 inawasha bulb 10 zenye mwanga mkali kabisa! Unaangalia tv, unasikiliza sub wofer, unachaji simu! Muhimu ufunge pia battery ya N 100!
Hiyo ya watt 200, ndiyo bado sipata mwongozo wake. Ila itakuwa ina nguvu mara mbili ya hiyo ya watt 100! Tupo tu kumchallenge Dr. Mwigulu Nchemba na Tozo zake zisizo eleweka.