Vipi Magari yenye usajiri wa Tanzania kutokuingia Masai Mara?

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Mar 11, 2020
2,712
6,511
Ukiachana na Ndege, kuna tatizo kule Masaia Mara, hilo liliwahi kuibuliwa na mzungu mmoja anaishi Arusha.

Kule Masai Mara hawarusu gari zenye usajiri wa Tanzania kuingia hifadhini, na badala yake ukifika na gari ya Tanzania utaacha getini utachukua ya Kenya.

Cha ajabu sasa ukiwa na gari hata la Zambia, South Africa, Uganda, Rwanda unaingia bila tatizo. Wao hawaruhusu za Tanzania pekee.

Hii ishu ipo na sijui kama ilisha tatuliwa au la. Cha ajabu hifadhi za Tanzania wao wanarusu gari za Kenya kuingia.
 
Mkenya siku zote akikuchekea ni kijino pembe. Ni watu wa kukaa nao kwa tahadhari Sana . Nakumbuka wakati wa ukoloni ndio walikuwa wmachawa wakuu wa wakoloni kuwachoma waafrika wenzao.Hiyo tabia wanaendea nayo hadi leo
 
Kwenye fursa Kenya hawapoi. ukitorosha madini kutoka nchi kama Congo,Tz au Msumbiji Kenya wanakurasimisha na unauza,ila Tz ukiingiza madini kinyemela kutoka Msumbiji au Congo unakamatwa.
angalau kidogo utawala wa anko Magu uliweka sawa hili jambo la kuingiza madini kutuka nchi jirani unarasimishwa.
 
Nadhani hujaelewa mada, hapa issue ni uzembe wa vingozi wa tanzania kwenye kulinda ushindani walitakiwa wazuie na wao magari ya kenya , ili watanzania wapate ajira na vilevile itavutia mtalii kuja tz as kwa sasa anaona akiingilia kenya yupo free analetwa hadi tz without hustles which is not the case akiingilia tz kutaka kwenda kenya lazima abadilishiwe gari etc, jana ile move ya hamza johari wa mamlaka ya anga niliipenda wakenya ni selfish na wanaona watu ni wajinga sana
Watanzania punguzeni janja janja na uhovyo hovyo.
 
Ukiachana na Ndege, kuna tatizo kule Masaia Mara, hilo liliwahi kuibuliwa na mzungu mmoja anaishi Arusha.

Kule Masai Mara hawarusu gari zenye usajiri wa Tanzania kuingia hifadhini, na badala yake ukifika na gari ya Tanzania utaacha getini utachukua ya Kenya.

Cha ajabu sasa ukiwa na gari hata la Zambia, South Africa, Uganda, Rwanda unaingia bila tatizo. Wao hawaruhusu za Tanzania pekee.

Hii ishu ipo na sijui kama ilisha tatuliwa au la. Cha ajabu hifadhi za Tanzania wao wanarusu gari za Kenya kuingia.
= usajili

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Mkenya siku zote akikuchekea ni kijino pembe. Ni watu wa kukaa nao kwa tahadhari Sana . Nakumbuka wakati wa ukoloni ndio walikuwa wmachawa wakuu wa wakoloni kuwachoma waafrika wenzao.Hiyo tabia wanaendea nayo hadi leo
Historia ya wapi hiyo, mzungu na mkenya walikuwa hawakutani kirahisi, wazungu wa Kenya muda wote walikuwa wanatembea na bastola siyo kama hapa tulikuwa tunakunywa nao madafu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom